Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kufuatilia kauli ya Raisi Samia kuwa atateu watu wa kufanya nae kazi bila kujali itikadi zao; je utaunga mkono ikitokea Lissu anateuliwa kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali?
Mbali na kupiga kura,tutoe pia maoni na ushauri au hata angalizo(kama unalo) kwa wapinzani juu ya swala hili ambalo litakuwa ni geni kwa nchi yetu tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992.
Na je, huu ni wakati wa kubadili katiba ili kuruhusu tuwe na serikali ya mseto na pia kuruhusu mawaziri wateuliwe nje ya ubunge(bila kuwa wabunge)?
Tundu Lissu nimemtumia kama mfano tu ili tupate mawazo ya watanzania kuhusu nia hii ya Raisi Sami ila hii inawahusu wapinzani wote.
Maoni yetu yanaweza kusaidia nchi yetu kuliko hata tunavyodhani.
Mbali na kupiga kura,tutoe pia maoni na ushauri au hata angalizo(kama unalo) kwa wapinzani juu ya swala hili ambalo litakuwa ni geni kwa nchi yetu tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992.
Na je, huu ni wakati wa kubadili katiba ili kuruhusu tuwe na serikali ya mseto na pia kuruhusu mawaziri wateuliwe nje ya ubunge(bila kuwa wabunge)?
Tundu Lissu nimemtumia kama mfano tu ili tupate mawazo ya watanzania kuhusu nia hii ya Raisi Sami ila hii inawahusu wapinzani wote.
Maoni yetu yanaweza kusaidia nchi yetu kuliko hata tunavyodhani.