Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Ni muda mrefu sasa nashuhudia vijana mateja wakivamia malori na kukinga mafuta yaliyobaki kwenye foleni, jana niliwakuta Tazara wakikinga mafuta wengine wakiwa wanavuta sigara.
Nataka kujua hawa polisi wa usalama barabarani wanalijua hili?nina hakika madereva wa malori hayo wanaona na hawachukui hatua yoyote.Na je ikitokea(siombei)mlipuko wa moto katika foleni hizi ni nani wa kumlaumu kama sio hawa polisi wetu?
Ninachojua TAMKO LA SERIKALI LA SIKU MOJA LINATOSHA KUTUEPUSHA NA BALAA HILI LISITOKEE
Nawasilisha
Nataka kujua hawa polisi wa usalama barabarani wanalijua hili?nina hakika madereva wa malori hayo wanaona na hawachukui hatua yoyote.Na je ikitokea(siombei)mlipuko wa moto katika foleni hizi ni nani wa kumlaumu kama sio hawa polisi wetu?
Ninachojua TAMKO LA SERIKALI LA SIKU MOJA LINATOSHA KUTUEPUSHA NA BALAA HILI LISITOKEE
Nawasilisha