SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,917
- 1,992
Tulishasahau kero za tanesco jpm alitusaulisha huko aliko mwanga wa milele amwangazie Bwana.naomba wajuzi wa Mambo kama TANESCO Wana uwezo wakulipa vitu vinavyoharibika kutokana na kukata kwao dakika moja na kuurudisha dakika ya pili,Tangu Jana mchezo wao ulikuwa huo jioni ukatulia.
Leo ni Mara ya 3 hii Hali hii inajitokeza je ikitokea Hali hiyo ya vitu kuungua ninaweza wafungulia mashtaka?
Leo ni Mara ya 3 hii Hali hii inajitokeza je ikitokea Hali hiyo ya vitu kuungua ninaweza wafungulia mashtaka?