RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,475
Wakuu najaribu kujiuliza sana,hivi ikitokea mkuu wa nchi yeyote duniani akigundulika sio raia wa nchi husika nini kinaweza tokea?
Maana wapo maraisi wengine huko duniani hufurahi wanapoona walalahoi walio wachaguwa kwa ahadi kedekede wakiteseka sana ndani ya nchi yao.
Kuna maraisi wengine huwa wanataka raia wao waishi maisha ya shida karaha na kushibdia mlo mmoja,hakuna haja ya nchi hizo kufanya uchunguzi kugundua mkuu wa nchi hiyo duniani kama hana uzalendo na taifa lake(si RAIA) nini kinaweza tokea?.
Maana huwa nasikia nchi yeyote duniani huwa inakitengo maalumu kinachochaguwa raisi wa nchi(huthibitishwa na wananchi)je kitengo kikigundua kimemchagua raisi wa nchi nakashapewa madaraka lakini si raia nini kinaweza tokea?.
Ningeomba mada hii ichagiwe bila kutaja jina la kiongozi yeyote wa nchi yeyote duniani,maana mada nzima kuna neno ikitokea ikitokea ikitokea,sasa kwa bahati nzuri au mbaya haijawahi tokea.Ningeomba watu wa usalama na wanaofahamu issues hizi watupe somo nini kinaweza tokea.
Maana wapo maraisi wengine huko duniani hufurahi wanapoona walalahoi walio wachaguwa kwa ahadi kedekede wakiteseka sana ndani ya nchi yao.
Kuna maraisi wengine huwa wanataka raia wao waishi maisha ya shida karaha na kushibdia mlo mmoja,hakuna haja ya nchi hizo kufanya uchunguzi kugundua mkuu wa nchi hiyo duniani kama hana uzalendo na taifa lake(si RAIA) nini kinaweza tokea?.
Maana huwa nasikia nchi yeyote duniani huwa inakitengo maalumu kinachochaguwa raisi wa nchi(huthibitishwa na wananchi)je kitengo kikigundua kimemchagua raisi wa nchi nakashapewa madaraka lakini si raia nini kinaweza tokea?.
Ningeomba mada hii ichagiwe bila kutaja jina la kiongozi yeyote wa nchi yeyote duniani,maana mada nzima kuna neno ikitokea ikitokea ikitokea,sasa kwa bahati nzuri au mbaya haijawahi tokea.Ningeomba watu wa usalama na wanaofahamu issues hizi watupe somo nini kinaweza tokea.