Ikitokea nchi imememshinda Rais, anaweza kuchukua hatua gani? Katiba inasema nini juu ya hili?

Habari wakuu, hivi kwa mfano ikitokea rais aliye madarakani akashindwa kuiongoza nchi, akagundua kuwa amepoteza mwelekeo na hana uwezo wa kurudi kwenye mstari, anaweza kuchukua hatua gani ili nchi iwe salama nayeye abaki salama? Katiba imesemaje?
Khaa! Ila watu nyie!
 
Habari wakuu, hivi kwa mfano ikitokea rais aliye madarakani akashindwa kuiongoza nchi, akagundua kuwa amepoteza mwelekeo na hana uwezo wa kurudi kwenye mstari, anaweza kuchukua hatua gani ili nchi iwe salama nayeye abaki salama? Katiba imesemaje?
Imeishamshinda sema kwa sababu tumejenga utamaduni wa kuwafukuza viongozi hata kama ni wa hovyo kama mwendazake na makamu wake
 
Habari wakuu, hivi kwa mfano ikitokea rais aliye madarakani akashindwa kuiongoza nchi, akagundua kuwa amepoteza mwelekeo na hana uwezo wa kurudi kwenye mstari, anaweza kuchukua hatua gani ili nchi iwe salama nayeye abaki salama? Katiba imesemaje?
Ngoja uchumi ukikua tutazama katiba inasemaje, ila kwa sasa haipo.
 
Habari wakuu, hivi kwa mfano ikitokea rais aliye madarakani akashindwa kuiongoza nchi, akagundua kuwa amepoteza mwelekeo na hana uwezo wa kurudi kwenye mstari, anaweza kuchukua hatua gani ili nchi iwe salama nayeye abaki salama? Katiba imesemaje?
Anavunja baraza la mawaziri lote na kuitisha uchaguzi
 
Hivi unaifanisha nchi na baiskeli ya phonex ama shang shang ? Kuwa ukipita kwenye mlima ama mchanga unakuwa huwezi.
 
Back
Top Bottom