Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Unajua maana ya Vetting? Basi elewa kuwa wapagani hawateuliwiAtainua mkono juu na kusema e mwenyezi mungu nisaidie.
Unajua maana ya Vetting? Basi elewa kuwa wapagani hawateuliwiAtainua mkono juu na kusema e mwenyezi mungu nisaidie.
Jamaa mpuuzi sanaMi wala sijamsema kingunge na sina tatizo na imani yoyote na mtu awe anamwamini Mungu, mizimu au haabudu chochote ni sawa tu. Nilitaka tu kufahamu.
Anatafuta Kiki aanzishiwe uzi kuwa anadislike kila kitu kama ndugu yangu Extrovert alivyosemwa anacheka kila kitu hata visivyochekesha😀
Kwa kifupi wakati wa vetting Wana vigezo kimojawapo kikiwa dini au imani ya anayeteuliwa. Kama hana jina halipelekwi mbele. Linakatwa pale pale, simpoWadau kuuliza sio ujinga ni kutaka kujua.
Endapo mteuliwa ni MPAGANI ina maana asiyeamini Uwepo wa Mungu na Vitabu vya Viapo ni Viwili Quran na Biblia, mteuliwa huapa kwa Kutumia Kitabu gani au huandaliwa kiapo Maalumu?
Wa mwanalumango huyo bado hajajua kutumia mitandao.We Kitimoto.
Nimehoji vipi wasioamini Mungu Wala mizimu wanaapa vipi?
Umedislike...kwanini sasa. Hebu nikosoe nikuelewe
Kingunge aliteuliwa na aliapa kwa kunyanyua mkono juu bila ya kuwa na kitabu chochote.Unajua maana ya Vetting? Basi elewa kuwa wapagani hawateuliwi
Ataapa kwa kutumia katiba ya jamhuri ya muungano navkazi iendelee!Wadau kuuliza sio ujinga ni kutaka kujua.
Endapo mteuliwa ni MPAGANI ina maana asiyeamini Uwepo wa Mungu na Vitabu vya Viapo ni Viwili Quran na Biblia, mteuliwa huapa kwa Kutumia Kitabu gani au huandaliwa kiapo Maalumu?
Baada yake wameshateuliwa maelfu kwa mamia, yupi umeona ameapa kama Kingunge?Kingunge aliteuliwa na aliapa kwa kunyanyua mkono juu bila ya kuwa na kitabu chochote.
Je, Mzee Kingunge Ngombale Mwilu alikuwa anaapaje, Yeye alikuwa mkomnisti hivyo alitumia katiba ya nchi kuapa.Wadau kuuliza sio ujinga ni kutaka kujua.
Endapo mteuliwa ni MPAGANI ina maana asiyeamini Uwepo wa Mungu na Vitabu vya Viapo ni Viwili Quran na Biblia, mteuliwa huapa kwa Kutumia Kitabu gani au huandaliwa kiapo Maalumu?
Hawaendi ✅Awaendi kulingana na viapo vyao
Una kaziHawaendi ✅
Unapenda kufuga ujinga? unaposahihishwa kua mpole,Una kazi
Kumtaja sio kosa ndio maana wachungaji feki wanamtaja na kupiga hela tu
Mwenyezi Mungu akusaidie, wakati haumuamini?Atainua mkono juu na kusema e mwenyezi mungu nisaidie.
Mpagani anaamini Mungu ila haamini ukristo na Uislam hata mababu zetu walionekana hawana dini ila walimuamini MunguMpagani haamini Uwepo wa Mungu hivyo hapaswi kumtaja.