Katika dunia ya sasa ambapo idadi kubwa ya wahumini wa dini zote ni waelewa je inawezekanaje watu hao kushawishiwa na kufanyiwa maamuzi ya kisiasa na wakuu wao wa dini? wanawezaje kuambiwa mchague nani? au kuwepo kwenye dini ni kupoteza uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi?