Elections 2015 Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Wanabodi,

Tuache
siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

If you don't really kno
w what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.

Naomba kukiri, nimekua in
spired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.Kujitokeza kwa wingi kusikiliza kampeni ni jambo moja, kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ni jambo jingine, lakini pia kuichagua tena CCM ni jambo jingine kabisa!. Naamini hakuna Mtanzania mwenye akili zake timamu, ambae ataelimishwa vya kutosha kuhusu CCM imelifanyia nini taifa hili, na bado akaichagua CCM!.

Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii,
[h=3]Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.[/h] nilisema hivi



Hili lina
weza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.

Na
watakia Jumatano Njema.

Pasco



Pasco Tanzania unayoidhania sio hiyo
 
Wanabodi,

Tuache
siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

If you don't really kno
w what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.

Naomba kukiri, nimekua in
spired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.Kujitokeza kwa wingi kusikiliza kampeni ni jambo moja, kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ni jambo jingine, lakini pia kuichagua tena CCM ni jambo jingine kabisa!. Naamini hakuna Mtanzania mwenye akili zake timamu, ambae ataelimishwa vya kutosha kuhusu CCM imelifanyia nini taifa hili, na bado akaichagua CCM!.

Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii,
Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.

nilisema hivi

Hili lina
weza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.

Na
watakia Jumatano Njema.

Pasco
wanabodi, mimi nimekubali matokeo kwa roho safi, kwa roho nyeupe!, na maadam niliishaiona possibility hii, sasa tujiandae kuufunga huu ukurasa, tuyaanze maisha mapya ya baada ya uchaguzi!.

Pasco
 
wanabodi, mimi nimekubali matokeo kwa roho safi, kwa roho nyeupe!, na maadam niliishaiona possibility hii, sasa tujiandae kuufunga huu ukurasa, tuyaanze maisha mapya ya baada ya uchaguzi!.

Pasco

Simple and Clear...... Usilaumu wala usitukane Watanzania ni upinzani wa kweli ulikosekana.

Huwezi leta mtu ulomponda miaka 8 umsafishe kwa miezi 2. tungekua ignorant zaidi kama tungemchagua huyooo tuloaminishwa ni mwizi na hao wanaotaka tumchague.

Ni kama uambiwe mtu ni muuaji kwa miaka 8 ukilala naye tu anakuua afu siku moja uambiwe ulale naye na hao hao walokua wanamsema will u agree?

You are grown up na wewe ni mwandishi wa muda mrefu sasa ukiahindwa ona hata fact ndogo ndogo kama hizo nadhani usiite Watz ni ignorant ita wachache ambao wameshindwa analyse mambo.
 
WATANZANIA wengi Hawajui uhusiano wa siasa na maisha Yao.

Siasa imekuwa kama tu ushabiki wa simba na Yanga.

Jamii yetu imebobea kwa Ujinga (Ignorance )
 
wanabodi, mimi nimekubali matokeo kwa roho safi, kwa roho nyeupe!, na maadam niliishaiona possibility hii, sasa tujiandae kuufunga huu ukurasa, tuyaanze maisha mapya ya baada ya uchaguzi!.

Pasco

Mkuu nakupongeza kwa kukubali matokeo Hongera sana kwa Ukomavu wako.

Pasco tunatakiwa kuwapongeza kwa dhati CDM na CUF kwa kazi kubwa ambayo wameifanya kwa muda wa miaka takriban 8 ya kupiga Vita UFISADI na kila aina ya UBADHIRIFU unaofanywa na watu walioko Serikalini.

Kila kazi njema inapaswa kupata UJIRA mzuri na Stahiki, CDM na CUF tayari wamelipwa UJIRA wao mzuri na Stahiki kwani Mtu waliyemuandama kwa miaka 8 ameshindwa kwa kazi ya mikono yao wenyewe.

ilikua lazima CDM na CUF wapoteze kama adhabu kwao kwani hata CCM kama wangemsimamisha Mtu wako wangepata adhabu hii,

Bahati mbaya sana kwamba walikutana watu 3 kwa maslahi yao Binafsi niwataje, MBOWE, SEIF na LOWASA kila mmoja akiwa na ndoto zake

MBOWE yeye alikua na malengo 4 kupata Urais, Wabunge wengi, Uwaziri Mkuu na KITITA cha RUZUKU pia kwake yeye na CDM Muungano si kipa umbele chao

SEIF yeye tangu mwanzo anaitaka Zanzibar kwa Udi na Uvumba bila kujali kitakachotokea Muungano kwake si Jambo la kipaumbele hata akamfukuza Mzee Mapalala ktk Chama

LOWASA yeye alikua anataka kutimiza tu NDOTO zake.

Pongezi kwao kwa KAMPENI ya miaka 8 Mwenyezi Mungu amewalipa
 
Wanabodi,

Tuache
siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

Pasco
Hili ni swali niliulizaga ikitokea CCM kushinda, hatimaye sasa ni kweli CCM imeshinda, jee sasa kuna yeyote mwenye jibu la swali hili?

Pasco
 
Hili ni swali niliulizaga ikitokea CCM kushinda, hatimaye sasa ni kweli CCM imeshinda, jee sasa kuna yeyote mwenye jibu la swali hili?

Pasco

Ndiyo, mimi ninalo.

Nalo ni: Tanzania si kisiwa cha amani. Ni kisiwa cha wajinga na majuha.

Wajinga na majuha hawajui chochote. Kutokujua kwao chochote [yaani ujinga wao] ndo kumeifanya CCM iwe chama tawala kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko chama tawala kingine chochote kile barani Afrika.

Ni rahisi sana kumtawala mjinga na juha kuliko mwerevu.

Kati ya mtu taahira na mtu mwenye akili timamu, yupi ni rahisi zaidi kumdhibiti?
 
Ndiyo, mimi ninalo.

Nalo ni: Tanzania si kisiwa cha amani. Ni kisiwa cha wajinga na majuha.

Wajinga na majuha hawajui chochote. Kutokujua chao chochote [yaani ujinga wao] ndo kumeifanya CCM iwe chama tawala kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi kuliko chama tawala kingine chochote kile barani Afrika.

Ni rahisi sana kumtawala mjinga na juha kuliko mwerevu.

Kati ya mtu taahira na mtu mwenye akili timamu, yupi ni rahisi zaidi kumdhibiti?

Nakubaliana na wewe kabisa, lakini ninawasifu mamilioni ya vijana waliochagua upande tofauti wanarudishwa nyuma na kukatishwa tamaa na mamilioni wengine walio katika ignorance ya hali ya juu.
 
Nani anakumbuka haya? 2005: Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya 2010: Ari Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasi Zaidi 2015: Hapa Kazi Tu Wimbo maarufu? CCM ni ile ile. Sasa mnatarajia kipya kipi hicho watakacholeta? CCM ni ile ile! Msijiumize matumbo na vichwa vyenu!
 
Kama walivyofanya Bara, na Wazanzibari wameamua kwa kauli moja kuirudisha CCM.

Hongereni Wanzanzibari, tumeushuhudia uchaguzi, ulikuwa huru na wa haki, utulivu na amani,

Sasa uchaguzi umekwisha, tusonge mbele!.

Pasco
 
Wanabodi,

Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.

Naomba kukiri, nimekua inspired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.Kujitokeza kwa wingi kusikiliza kampeni ni jambo moja, kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ni jambo jingine, lakini pia kuichagua tena CCM ni jambo jingine kabisa!. Naamini hakuna Mtanzania mwenye akili zake timamu, ambae ataelimishwa vya kutosha kuhusu CCM imelifanyia nini taifa hili, na bado akaichagua CCM!.

Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii,
[h=3]Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.[/h] nilisema hivi

Hili linaweza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.

Nawatakia Jumatano Njema.

Pasco
Wanabodi,

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa inawezekana kabisa sisi Watanzania tulio wengi ni "ignorants!", vichwa maji kabisa!, vichwani ni weupe na watupu!, uwezo wa kufikiri kwa kina (deep thinking). na kufikiri ka tafakuri, ("logical thinking"), ni mdogo!, wengi ni sifuri kabisa, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi ya maana, "informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe, au tufanywa mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunadanganyika kwa viahadi vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issue zenyewe ambazo ndicho chanzo, kilizopelekea haya yatokanayo, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!.

Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, ndani ya bunge letu, hadi ndani ya cabinet yetu!, tuna wabunge ma ignorants mule!, tuna viongozi wetu ma ignorants ndani ya cabinet yetu!, tuna viongozi wa taasisi za umma zenye dhamana ambao ni ma ignorants hadi, tuna viongozi wetu wa vyombo vya dola ikiemo mihimili ambao pia ni ma ignotants, na wana jf wengi tuu pia ni ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, ninayeandika hapa, Pasco wa jf, pia ni ignorant tuu!, ila tofauti yangu na wengi wa maignorants wenzetu, wao wanajikalia kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi wengine ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu, tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa ku speak out and expressing our minds, tatizo, ni, in so doing, tunajikuta tumewaambukiza ignorance, hata wengine ambao hawakuwa ignorants!. Sorry for this.

Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura za ushindi, mwaka hadi mwaka, na October 25 tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Hisia za kujiuliza, kama sisi ni ma ignorants au tumelogwa, ni kufuatia kuwa na mtazamo, ya kuwa haiwezekani, watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ajabu ajabu kama haya, tunayofanyia na CCM lakini bado tunaichagua CCM tena na tena!, na October 25, tutaichagua tena!.

Tulipopata uhuru miaka ya 60, maadui wetu wakuu watatu, walikuwa ni Ujinga, Umasikini na Maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 54 baada ya uhuru, sio tuu, wale maadui wakuu watatu bado wapo, bali ujinga umeongezeka mara dufu, umasikini sasa ni uliotopea, kila siku ni afadhali ya jana!, na maradhi hadi mengine ni janga, vimeongezeka afadhali ya zamani na enzi za mkoloni, bali pia, tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, Escrow etc, etc.

Tulijiwekea misingi yetu mikuu minne ya maendeleo kuwa ili tuendelee, tulihitaji vitu vinne: Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora!. Kwenye hiyo misingi, tulisema Pesa sio msingi, pesa ni matokeo!, hili ndilol lililokuwa kosa pekee la Mwalimu, kutofautiana na misingi ya ukweli ya uchumi, kama ilivyofundishwa na Adam Smith (land, labor, capital na interpreneureship)!. Kwenye ile misingi minne tulidharau capital kwa kudai "pesa sii msingi bali pesa ni matokeo!".

Watu tunao na ardhi ya kutosha, yenye rutuba, vyanzo lukuki vya maji, madini, maliasili etc etc tunazo. Tulikuwa na tatizo kidogo la utekelezaji wa siasa safi ya Ujamaa na Kujitegemea na uongozi bora, ndio maana nchi tulizopata nazo uhuru, ile miaka ya 60, wao wakiwa ni masikini wa kutupwa kuliko sisi, with nothing, kana Tiger nations, leo wako mbali!, sababu pekee iliyowafikisha wenzetu pale walipo, wakati sisi tunaendelea kupiga mark time ni Elimu!. Sisi tulitaja tuu kuwa Ujinga ni adui, lakini we never invested on Elimu because we had no capital!. Nyerere aligombana na maprofesor wa uchumi, Kina Prof. Rweyemamu, wakajitimkia zao, akagombana Edwin Mtei na IMF, WB etc matokeo sote tunayajua!.

Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa October 25, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Namalizia kwa kukumbushia hili swali, are we really this ignorant?!, kwa kuchagua tuu ili mradi ni kuchagua, or this time, around tutaonyesha tumeerevuka angalau kidogo, hivyo tutachagua kwa sababu ya kuchagua, yaani kufanya informed decision?!, na sio kujichagulia tuu alimradi tumechagua!.

Nawatakia Jumamosi Njema.

Pasco
KWA WALE MSIOIJUA TANZANIA VIZURI SOMENI KWA MAKINI UTAJIRI WA TANZANIA HALAFU JIULIZE KWANINI NI MASIKINI WA MWISHO NA MALI ZOTE HIZI

1.Tz ilipata uhuru mwaka 1961 ina miaka 54 tangu ipate uhuru ikiwa ni ya kwanza Afrika Mashariki.

2.Tz Kwa miaka 38 imeongozwa na CCM peke yake ambayo ni zao la TANU na ASP.

3.Tz ni nchi ambayo haijawahi kupata majanga makubwa kama matetemeko ya ardhi, magonjwa ya mlipuko kama ebola, mafuriko na vimbunga au ukame.

4.Tz ni nchi ambayo imekuwa na kitu ambacho nchi za Afrika zimekikosa. Kitu hicho ni AMANI. Kwa miaka yote 54 ya uhuru haijawahi kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe.

5.Tz ina ukubwa wa 945,000 km za mraba yani sawa na uchukuwe Denmark, France, United Kingdom, Netherland, Ireland ujumlishe zote kwa pamoja.

6.Tz ina eneo la bahari lenye ukubwa wa 1,424 km. Bahari inaleta fursa za usafirishaji, uvuvi, utalii na nyinginezo.

7.Tz ni nchi ambayo imepakana na nchi za (Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, D. R. Congo) ambazo zinategemea bahari yetu kwa usafirishaji wa mizigo na ni fursa nzuri ya kuzipelekea bidhaa za viwanda vyetu.

8. Tz ina maziwa makubwa manne na mengine madogo mengi.
Maziwa matatu makubwa yako kwenye kumi bora za ukubwa duniani na Maziwa makubwa matatu yote yapo Tanzania. Ziwa Victoria ni la tatu kwa ukubwa duniani (la kwanza Afrika) na ziwa Tanganyika ni la sita kwa ukubwa (la pili Afrika) na la kwanza kwa kuwa na kina kirefu duniani. Ziwa Nyasa ni la tisa kwa ukubwa duniani (ni la tatu Afrika).

9.Tz ina mito mikubwa kumi ambayo ni mto Kagera, mto Ruvuma, mto Rufiji, mto Wami, mto Malagarasi, mto Mara, mto Pangani, mto Ruaha, mto Gombe, mto Mweupe wa Nile na ina mito midogo mengi kama mto Kilombero, mto Mbemkuru n.k

10.Tz ndiyo nchi ya kwanza Afrika kuwa na maji mengi yasio na chumvi yaliyokuwa kwenye uso wa dunia (fresh surface water) kutokana na kuwa
na mito na maziwa mengi na kupitiwa na bonde la ufa.

11.Tz ni nchi ya nne kwa uzalishaji dhahabu Afrika baada ya Afrika Kusini, Ghana na Mali na ipo TOP 20 duniani. Kuna migodi nane inayochimbwa dhahabu na miwili imefungwa. Migodi inayochimbwa ni Buzwagi gold mine- (Shinyanga), Geita gold mine-(Geita), Golden pride gold mine-Nzega (Tabora), Bulyanhulu gold mine- (Shinyanga). New leuka Gold mine- (Mbeya),
Tulawaka gold mine-(Kagera), North mara gold mine-(Mara). Iliyofungwa ni Korandoto gold mine (Shinyanga), Senkenke gold mine-(Shinyanga???).

12.Tz ina madini ya almasi yanayopatikana Mwadui Shinyanga. Mgodi huo ulianza kuchimbwa tangu mwaku 1940. Mpaka leo bado unachimbwa, unamilikiwa na kampuni ya Waingereza.

13.Tz ni nchi ya kwanza na ni nchi pekee inayozalisha madini ya tanzanite duniani. Mkufu wa kuvaa shingoni unatengenezwa na tanzanite na almasi unauzwa hadi shilingi milioni 25 za Kitanzania.

14.Tz ina madini ya chuma yanayopatikana Mchuchuma, Ludewa- Njombe mgodi unamilikiwa na Wachina. Mgodi huo una hifadhi ya madini ya chuma tani milioni 122 ambayo yanawezwa kuchimbwa kwa zaidi ya miaka 100.

15.Tz ina madini ya makaa ya mawe (Coal) yanayochimbwa Kiwira Mbeya, Mchuchuma na Liganga Njombe. Unamilikiwa na Wachina. Pia mgodi wa Ngaka kule Mbinga-Ruvuma unamilikiwa na kampuni ya Tancoal ya Australia. Hifadhi ya madini ya makaa ya mawe iliyopo ni tani bilioni 2. Makaa ya mawe ndio chanzo cha pili cha umeme wa bei nafuu duniani baada ya maji.

16.Tz ina hifadhi ya madini ya Uranium kule Dodoma (Bahi) na ni mgodi ambao unamilikiwa na Warusi. Pia madini haya yanapatikana Namtumbo (Mkuju), Galapo, Minjingu, Mbulu, Simanjiro, Lake Natron, Manyoni, Songea, Tunduru, Madaba and Nachingwea.

17.Tz ni moja ya nchi tatu Afrika zikiwemo Zimbabwe na Madagascar kwa kuwa na madini mengi ya graphite. Madini haya yapo Tanga, Mahenge-Morogoro, Mererani- Manyara. Madini ya graphite ndiyo yanayotumika
kutengenezea betri za simu, kwenye injini na brake za magari na kwenye karamu za risasi (pencili).

18.Tz ina madini ya nickel yanayopatikana kule Kabanga Kagera, milima ya Uluguru-Morogoro, North Mara, Ngasoma-Mwanza.

19.Tz ni nchi ya tatu duniani kwa kuwa na hifadhi kubwa ya magadi soda duniani baada ya Marekani na Uturuki. Magadi soda hutumika kutengeneza vioo vya aina zote. Vioo vya nyumbani hadi magari pia kutengeneza sabuni na dawa mbalimbali za usafi.

20.Tz ina hifadhi na mgodi wa madini ya niobium uliopo Panda hill Mbeya ambao ndio utakuwa mgodi mkubwa wa kwanza Afrika na wa nne duniani. Mgodi huu unamilikiwa na kampuni ya Australia. Madini ya niobium ni magumu sana hutumika kutengeneza mabomba pamoja na madini chuma pia hutumika kutengeneza baadhi ya sehemu za injini za ndege na vyombo vinavyoenda nje ya uso wa dunia (mfano Apollo 15 CSM), vioo vya computer na lenzi za camera.

21.Tz ni nchi ya kwanza Afrika na ya pili duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii. Ya kwanza ni Brazil. Nchi zilizokuwa kwenye tano bora kwa utalii Afrika ni Tanzania, Botswana, Afrika Kusini, Kenya na Zambia.

22.Tz ina mbuga zipatazo 16 na ile mbuga maarufu kuliko zote duniani Serengeti ipo Tanzania, mbuga iliyopakana na bahari iitwayo Saadani ipo Tanzania na mlima mrefu kuliko wote Africa Kilimanjaro upo Tanzania.

24. Tz ina ardhi kubwa yenye rutuba na inayofaa kwa kilimo cha mazao mengi tofauti tofauti. Mashamba makubwa ya mpunga kwa mfano yaliyokuwa chini ya Shirika la NAFCO yalitoa mazao ya kulisha Tanzania na pia nchi nyingine.

24.Tz ina gesi ya asili ya Carbon Dioxide (CO2) inayovunwa kule Kyejo, Rungwe-Mbeya na kampuni ya TOL. Gesi ya asili ya cardon dioxide inatumika sana kutengenezea vinywaji laini kama soda, bia na pia kutengenezea madawa, makaratasi na kutibia maji (water treatment).

25.Tz ina gesi ya asili inayopatikana katika kisiwa cha Songo songo mkoa wa Lindi. Gesi hii imekuwa ikichimbwa na kusafirishwa hadi Dar es salaam tangu mwaka 2004. Inamilikiwa na kampuni ya Songas ya Uingereza.

26.Tz imengundua gesi ya asili yenye zaidi ya meta za ujazo trilioni 55.3 iliyongunguliwa katika maeneo ya bahari ya Hindi na Mtwara.

Pamoja na sifa zote hizi lakini Tz ni nchi iliyo kwenye kundi la nchi maskini duniani ambayo asilimia kubwa ya raia wake wanaishi chini ya Dola moja za Marekani na hali ya huduma za kijamii ikiwa duni.

TATIZO NI NINI? NANI ANAFAIDI HUU UTAJIRI? NANI WA KUMLAUMU? NANI NI SABABU?

KWA NINI TUNASHINDWA KUTUMIA HUU UTAJIRI?
Nimeikuta hli mahli humu jf, nikaguswa nimeomba kulitumia bandiko hili kuboresha bandiko langu hili.

Pasco
 
Wanabodi,

Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.
Nawatakia Jumatano Njema.

Pasco
Wale mnaendelea kumlalamikia rais Magufuli, muache kulalamika because Magufuli is our choice!, we have to live with the consequences of choices we have made!.

Pasco
 
Kabla hujawatukana Watanzania kwamba ni Ignorance!! Lazima ujitazame wewe unayetaka kuchaguliwa (mbadala) Je una Sifa? Kiasi Watanzania wanaweza kukuamini?
 
Kweli mayalla kutokana na uwekezaji wa CCM kwenye ujinga Leo tunaona kwa ujinga ule ule wanashangilia ujinga unaendelea.sizonje ata akifanya ujinga wajinga wanashangilia.akionea watu wanashangilia,kwa ujinga huu tunapoteza kizazi kijacho kitarithi ujinga.kwa ujinga huu hatuwezi kushindana kwenye soko la ajira EAC
 
Pasco hebu tumia japo kiduchu tu cha ufahamu wako ili ujibu hili swali. Mbona Chakubanga pamoja na ufahamu wake mdogo aliweza kulijibu swali hili kwa maneno machache sana? Kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi Ikulu. Wewe Mkuu kwanini upate kigugumizi na kuzunguka huku na kule? Hivi Chakubanga ana ufahamu mkubwa kuliko wewe Mkuu?

Wanabodi,

Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.

If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.

Naomba kukiri, nimekua inspired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.Kujitokeza kwa wingi kusikiliza kampeni ni jambo moja, kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ni jambo jingine, lakini pia kuichagua tena CCM ni jambo jingine kabisa!. Naamini hakuna Mtanzania mwenye akili zake timamu, ambae ataelimishwa vya kutosha kuhusu CCM imelifanyia nini taifa hili, na bado akaichagua CCM!.

Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii,
[h=3]Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.[/h] nilisema hivi



Hili linaweza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.

Nawatakia Jumatano Njema.

Pasco

 
Uchaguzi wa Marudio wa Jimbo la Kinondoni na Siha ni Jumamosi hii. Sitashangaa kama majimbo yote mawili, CCM itashinda kwa kishindo!.
Hivi ndivyo Watanzania tulivyo.
P.
 
Back
Top Bottom