Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Wanabodi,
Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.
If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.
Naomba kukiri, nimekua inspired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.
Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii, [h=3]Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.[/h] nilisema hivi
Hili linaweza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.
Nawatakia Jumatano Njema.
Pasco
Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.
If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.
Naomba kukiri, nimekua inspired kuandika bandiko hili, kufuatia mchango wa mwana JF huyu, katika bandiko fulani humu baada ya mimi kusema kuwa Watanzania wa sasa, wenye uelewa, wanaelewa CCM imewafanyia nini, hivyo wameichoka CCM na mwezi October, wataipumzisha kwa amani kwa kufanya informed decision na sio tuu kujipigia kura kwa mazoea kama ilivyozoeleka!.
Kujitokeza kwa wingi kusikiliza kampeni ni jambo moja, kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ni jambo jingine, lakini pia kuichagua tena CCM ni jambo jingine kabisa!. Naamini hakuna Mtanzania mwenye akili zake timamu, ambae ataelimishwa vya kutosha kuhusu CCM imelifanyia nini taifa hili, na bado akaichagua CCM!.Hapa nadhani hauko sahihi hata kidogo. Ni hao hao Watanzania ndio wanaojitokeza kwa wingi huko vijijini na mikoani kwa sasa kusikiliza jinsi Magufuli anavyojinadi, yeye kama mgombea urais na ilani ya chama chake. Inaniwia vigumu kukubali huu usemi wa wapinzani eti Watanzania "wameamua kuipumzisha (CCM)". Huu ni utunzi wa wapinzani kujiaminisha kwamba watashinda uchaguzi ujao. Ingekuwa hivyo; kama upinzani ungekuwa umeungana kwa dhati; ki-sera, ki-itikadi na kinadharia, lakini yanayotokea hivi sasa hayaashirii ukweli huu. Cha kushangaza, upinzani bado unaendelea kujipiga konde wakati muda ndio unayoyoma na mambo yao yanazidi kwenda shaghalabaghala. Ni dhahiri kwamba upinzani Tanzania bado haujajipanga vyema licha ya kuwepo nchini kwa miongo zaidi ya miwili.
Hata hivyo, naweza kukubaliana na wewe, pia bado kuna uwezekano CCM, ikachaguliwa tena!. Kwenye mada yangu hii, [h=3]Watanzania ni Ignorants au Tumelogwa?!. October 25, Tutafanya Informed Decision au Tutachagua Tuu?!.[/h] nilisema hivi
Wanabodi,
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa inawezekana kabisa sisi Watanzania tulio wengi ni "ignorants!", vichwa maji kabisa!, vichwani ni weupe na watupu!, uwezo wa kufikiri kwa kina (deep thinking). na kufikiri ka tafakuri, ("logical thinking"), ni mdogo!, wengi ni sifuri kabisa, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi ya maana, "informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe, au tufanywa mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunadanganyika kwa viahadi vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issue zenyewe ambazo ndicho chanzo, kilizopelekea haya yatokanayo, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!.
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, ndani ya bunge letu, hadi ndani ya cabinet yetu!, tuna wabunge ma ignorants mule!, tuna viongozi wetu ma ignorants ndani ya cabinet yetu!, tuna viongozi wa taasisi za umma zenye dhamana ambao ni ma ignorants hadi, tuna viongozi wetu wa vyombo vya dola ikiemo mihimili ambao pia ni ma ignotants, na wana jf wengi tuu pia ni ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, ninayeandika hapa, Pasco wa jf, pia ni ignorant tuu!, ila tofauti yangu na wengi wa maignorants wenzetu, wao wanajikalia kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi wengine ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu, tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa ku speak out and expressing our minds, tatizo, ni, in so doing, tunajikuta tumewaambukiza ignorance, hata wengine ambao hawakuwa ignorants!. Sorry for this.
Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura za ushindi, mwaka hadi mwaka, na October 25 tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.
Hisia za kujiuliza, kama sisi ni ma ignorants au tumelogwa, ni kufuatia kuwa na mtazamo, ya kuwa haiwezekani, watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ajabu ajabu kama haya, tunayofanyia na CCM lakini bado tunaichagua CCM tena na tena!, na October 25, tutaichagua tena!.
Tulipopata uhuru miaka ya 60, maadui wetu wakuu watatu, walikuwa ni Ujinga, Umasikini na Maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 54 baada ya uhuru, sio tuu, wale maadui wakuu watatu bado wapo, bali ujinga umeongezeka mara dufu, umasikini sasa ni uliotopea, kila siku ni afadhali ya jana!, na maradhi hadi mengine ni janga, vimeongezeka afadhali ya zamani na enzi za mkoloni, bali pia, tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, Escrow etc, etc.
Tulijiwekea misingi yetu mikuu minne ya maendeleo kuwa ili tuendelee, tulihitaji vitu vinne: Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora!. Kwenye hiyo misingi, tulisema Pesa sio msingi, pesa ni matokeo!, hili ndilol lililokuwa kosa pekee la Mwalimu, kutofautiana na misingi ya ukweli ya uchumi, kama ilivyofundishwa na Adam Smith (land, labor, capital na interpreneureship)!. Kwenye ile misingi minne tulidharau capital kwa kudai "pesa sii msingi bali pesa ni matokeo!".
Watu tunao na ardhi ya kutosha, yenye rutuba, vyanzo lukuki vya maji, madini, maliasili etc etc tunazo. Tulikuwa na tatizo kidogo la utekelezaji wa siasa safi ya Ujamaa na Kujitegemea na uongozi bora, ndio maana nchi tulizopata nazo uhuru, ile miaka ya 60, wao wakiwa ni masikini wa kutupwa kuliko sisi, with nothing, kana Tiger nations, leo wako mbali!, sababu pekee iliyowafikisha wenzetu pale walipo, wakati sisi tunaendelea kupiga mark time ni Elimu!. Sisi tulitaja tuu kuwa Ujinga ni adui, lakini we never invested on Elimu because we had no capital!. Nyerere aligombana na maprofesor wa uchumi, Kina Prof. Rweyemamu, wakajitimkia zao, akagombana Edwin Mtei na IMF, WB etc matokeo sote tunayajua!.
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa October 25, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.
Namalizia kwa kukumbushia hili swali, are we really this ignorant?!, kwa kuchagua tuu ili mradi ni kuchagua, or this time, around tutaonyesha tumeerevuka angalau kidogo, hivyo tutachagua kwa sababu ya kuchagua, yaani kufanya informed decision?!, na sio kujichagulia tuu alimradi tumechagua!.
Nawatakia Jumamosi Njema.
Pasco
Hili linaweza likajirudia mwezi October, hivyo sitashangaa iwapo CCM itachaguliwa tena, ila nitaamini kuwa kweli sisi Watanzania ni ma ignorant mpaka basi!, bado tuko gizani, na tumelala usingizi mnene wa ujinga na CCM inaendelea kufaidi mavuno ya uwekezaji wake mkubwa kwenye ignorance, na itaendelea kushinda na kushinda hadi pale Watanzania tutakapozinduka au tutakapoamka kwa kufanya uchaguzi kwa kuamua kwa kufanya informed decision na kuachana na hii ignoronce ya kuchagua kwa mazoea tuu!.
Nawatakia Jumatano Njema.
Pasco