Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,533
- Thread starter
- #41
Du!.Watanzania ni wajinga kupita maelezo.
p
Du!.Watanzania ni wajinga kupita maelezo.
Hebu tusibiri kesho tuone Kinondoni na Siha watafanya nini!.jibu ni ignorance !!
Ni kweli huu ndio mtaji wa ushindi wa CCM, japo wewe umeuita ni ujinga, kwa wajinga hao, kwao hayo ni mapenzi kwa CCM, kwa CCM wenyewe, huo ujinga ndio mtaji wao!.Watu kama hawa ndiyo mtaji mkubwa wa ccm kuendelea kubaka demokrasia hapa nchini na ndiyo walio wengi sana,hapa Nape akipita juu ya migongo ya kina mama kisa ni kipi?ujinga ulio pitiliza!!!!View attachment 840926
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Nyanjomigire, pole, hatuandiki kuhusu chama kimoja tuu, na huu sio tuu ni mfano hao, mwandishi wa hoja kama hii, anaweza kuwa kibaraka wa CCM?.Vyama viko kibau mbona hamuandiki habari zao? Tabia ya kuandika habari za chama kimoja tu cha upinzani inafanya waandishi waonekane vibaraka wa ccm.
Habari za chama kimoja tu siku zote hadi inakuwa "Routine and Monotonous". Acheni ukanjanja andikeni habari ya vyama vingine pia ili pia tuvifahamu. Sasa nchi utafikiri chama ni kimoja tu. This is very silly and rather bore some. Please we're fed up.
Wanabodi,
Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM kukubalika na Watanzania walio wengi kwa kuwaletea maendeleo chanya ya kuonekanika, majengo, miundo mbinu, mabarabara, madaraja, uhaulishaji fedha za ruzuku kwa kaya masikini etc, etc?!, au CCM itachaguliwa kwa mazoea tuu kufuatia ignorance ya Watanzania walio wengi, hawajui ni nini maendeleo halisi na maendeleo ya kweli, kiasi kwamba, serikali inapotimiza wajibu wake kwao hayo ndio maendeleo yenyewe kwao, hivyo ushindi wa CCM unaweza kabisa ukapatikana kutokana na ku take advantage ya hii ignorance yetu?!.
If you don't really know what you really need, you'll take anything that you are given!, or what you get!, na kufuatia umasikini uliotopea wa Watanzania tulio wengi kiasi kwamba people do not know the real and true taste of development, then one can not miss what you never had!, tutajikuta CCM inashinda tena na tena kwa sababu za kijinga jinga kabisa! na wote watakaoshangilia ushindi kama huu, watakuwa wanashangilia ujinga tuu, kwa kujijua (wafaidika) au kwa kutojijua (wafaidikwa) kuwa ni wajinga?!.
Pasco
Mkuu DEU87 , kwanza asante sana kwa mada hii, naunga mkono hoja, Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana tuu, ila...Tanzania is amongst the most blessed countries in the world.