Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Haya mambo yanategemea na wewe uko vipi kifedha pia, maana kuna maswali unaweza kujiuliza:
Maana kuna wakati unaweza kuwa nao, ukapoteza kazi au biashara zikaenda tofauti hizo contacts zako zikayeyuka pasikojulikana.
Tupambane wakuu, assurance kubwa ni kutoa kwenye akiba yako. Au uwe na Fixed account, kiasi kwamba unaweza kuitumia kama dhamana kwa dharura.
- Ikitokea kuna Rafiki yako kwenye hizo contacts akahitaji milioni 1, utampa? I mean, huwa kuna wakati unakuwa na balance ya 1m+, na unaweza kumpa rafiki kama hivyo?
- Baada ya hapo jiulize, ni wangapi kwenye contacts zako unaweza kuwapa bila kuwaza mara mbili uwezo wao na utashi wa kurudisha?
Maana kuna wakati unaweza kuwa nao, ukapoteza kazi au biashara zikaenda tofauti hizo contacts zako zikayeyuka pasikojulikana.
Tupambane wakuu, assurance kubwa ni kutoa kwenye akiba yako. Au uwe na Fixed account, kiasi kwamba unaweza kuitumia kama dhamana kwa dharura.