Aisee.....inaumiza chief.Mkuu, namjua how you feel.. Nimepita kwenye Kipindi kama chako.
Tena demu alikua ni demu wa mshikaji wangu wa kufa nikufe.. Blood kabisa.. Ila demu akanipa tunda.. Tukalibanjua siku, miezi, mpaka miezi Sita ikafika.
Akarudi kwa msela. Najua unavyofeel Maana mimi nimewahi kuwa sehemu kama ulipo wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunipa tahadhariKama alikupa wew akiwa na mshikaji basi na wew haupo peke ako kuna mwwngine ambaye humfaham pia.
uyo dem malaya ata akimmwaga mshkaji wake akawa na wew huko mbele na wew utamwagwa pia au mtakuwa wawili tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa....ulicheza kama Messi. Hapo ulimaliza mchezo.Haki ya nani hii issue ilinitokea mm, kilichoniokoa mm nilipatia mimba huyo toto na mpaka saa hv naitwa baba na copy yangu ipo kwa dogo.
Sent using Jamii Forums mobile app