ray57
Senior Member
- Oct 29, 2013
- 102
- 44
NIna Hasira na Mablog yanayoposti UDAKU!! HII INAKUHUSU #BLOGGER
Kujua Kutengeneza Vi Blog Vyenu na ViwebSite Uchwara MsitupeSHida.
Yani kila kukicha wanapost mambo ya ajabu ajabu tuu ambayo hayana hata msingi na mchango katika Jamii.
a)Taarifa Moja utakuta iko kwenye blog 59 na ya 60 ndio ime edit kichwa cha abali tuu zilizobaki zote Copy Past kama ilivyo. bila kuweka kamchango wako wa kimawazo kama blogger au kukubali kuwa ume--share kutoka mahala Gani.
b) HAbari za Majuma au miaka miwili kupostiwa leo kwa Kicha cha Habari kinachoonyesha wakati ULIOPO!! Kama umeishiwa na Habari kaa Kimya na Jipange kisha uwe mbunifu wa kazi yako. PICHA zilizopita na Matukio Ya nyuma kwa LUGHA YA SASA. NIMECHOKA #BLOGGER Nyanyuka na Kaa chini Kufikilia Zaidi
c) Habari Chafu na Zisizokuwa na Msaada wowote katika Maisha tuliyonayo sasa!1 Hivi ni kweli Taarifa Za kupost Kwa jamii zimeisha? Kila kukicha WASANII/MAPENZI na MAuchafu uchafu hadi NAona si vyema kutaja Hapa Ndani. Wangapi wanakufa na kupotea Katika Madawa ya kulevya na magonjwa Hatari Hapa Tanzania. Hivi huu umaskini tulionao Tanzania Tunashindwa hata kuuzungumzia ili Kupata changamoto ya Kupam,bana Nao.
#CODE_NAME_ALPHA_TECH
To all Bloggers
TO ALL HACKERS LETS MAKE A CHANGE TO STOP THIS IF THEY CAN'T CONTROL THEM SELF
Kujua Kutengeneza Vi Blog Vyenu na ViwebSite Uchwara MsitupeSHida.
Yani kila kukicha wanapost mambo ya ajabu ajabu tuu ambayo hayana hata msingi na mchango katika Jamii.
a)Taarifa Moja utakuta iko kwenye blog 59 na ya 60 ndio ime edit kichwa cha abali tuu zilizobaki zote Copy Past kama ilivyo. bila kuweka kamchango wako wa kimawazo kama blogger au kukubali kuwa ume--share kutoka mahala Gani.
b) HAbari za Majuma au miaka miwili kupostiwa leo kwa Kicha cha Habari kinachoonyesha wakati ULIOPO!! Kama umeishiwa na Habari kaa Kimya na Jipange kisha uwe mbunifu wa kazi yako. PICHA zilizopita na Matukio Ya nyuma kwa LUGHA YA SASA. NIMECHOKA #BLOGGER Nyanyuka na Kaa chini Kufikilia Zaidi
c) Habari Chafu na Zisizokuwa na Msaada wowote katika Maisha tuliyonayo sasa!1 Hivi ni kweli Taarifa Za kupost Kwa jamii zimeisha? Kila kukicha WASANII/MAPENZI na MAuchafu uchafu hadi NAona si vyema kutaja Hapa Ndani. Wangapi wanakufa na kupotea Katika Madawa ya kulevya na magonjwa Hatari Hapa Tanzania. Hivi huu umaskini tulionao Tanzania Tunashindwa hata kuuzungumzia ili Kupata changamoto ya Kupam,bana Nao.
#CODE_NAME_ALPHA_TECH
To all Bloggers
TO ALL HACKERS LETS MAKE A CHANGE TO STOP THIS IF THEY CAN'T CONTROL THEM SELF