Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,709
Nawasalimuni wanangu hapa jamvini. Nisiwachoshe. Napenda kuwapa changamoto na chemsha bongo kwa kutumia hypothesis kama namna ya kutoa mawazo yenu kwa rais wenu. Je kama mtanzania, ungejaliwa kupewa nafasi hata nusu saa au dakika kumi hata saa kuongea na rais SSH, ungemwambia nini cha mno au ungetaka afanye nini cha mno? Hebu poromosheni hoja hapa ili mama au watu wake wasome tumsaidie namna ya kuendesha nchi tuliyomkasimisha. Pia hii ni fursa ya kumpa taarifa kuwa nchi si yake bali yetu na yuko pale kwa muda.
Karibuni mtoe hoja wanangu ili tuiendesha nchi yetu hata kama ni kinadharia.