Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Mimi bado nailaumu polisi.
Mara baada ya Quran kuchomwa moto waislamu walitoa taarifa polisi ila polisi waka'delay kushughulikia.
Hali imeanza kuwa mbaya ndio wanawakamata wahusika waliochoma Quran.
Ni sawa sawa na mtu uibiwe na mtu unayemfahamu kisha unatoa taarifa polisi still unamwona mwizi wako anadunda tuu mtaani.
Mara baada ya Quran kuchomwa moto waislamu walitoa taarifa polisi ila polisi waka'delay kushughulikia.
Hali imeanza kuwa mbaya ndio wanawakamata wahusika waliochoma Quran.
Ni sawa sawa na mtu uibiwe na mtu unayemfahamu kisha unatoa taarifa polisi still unamwona mwizi wako anadunda tuu mtaani.