Eimeeen,siku ya kuburudisha koo kwa ndovu bariiidi.
Mhishimiwa sadakta allahu ibarik na jazakallah ni kweli kabisa na kuna wengeni huwa wabishi ukiwaelikeza pitia kulia wao huwa hawataki kabisa na hata kulisikia neno hilo ni wao wana kazania kupita kushoto tuu basi lakini tusivunjeki moya na tuzidi kuwaelimisha na tusiwe na munkar au jazba pale tunapo taka kuwafahamisha na kuwaelimisha ingawa wao huwa wakali na ubishi sisi tuwe watulivu na mwenyezi mungu atujalie sote kwa pamoja na wale wa kulia na kushoto na atujale atupe akili koliko mali na zisije zikatutia motoni na mwisho ni ijumaa njema na amani allahu ibarik