Njia ya Dar-Kigoma, Dar-Sumbawanga Ni miongoni mwa njia chache Sana ambazo ukiomba kibari Cha njia (TLB ) Kutoka SUMATRA hutasumbuka hata kidogo!
Hii inatokana na dhana ya uhaba wa mabasi kwenda maeneo hayo!
Swali hapa je, kwanini Ni machache?
kwasababu;
Yes! Bila kuweka Natural Capastor! Njia ya kigoma Basi jipya Halitoboi hata siku moja! Akijitahidi Sana Atakwenda ruti moja ya pili hageuki!
Wababe wa njia Saratoga, adventure wamedumu kwenye njia hizi kwasababu ya Natural Capacitor!
Mwenye Basi jipya akithubutu njia hizo bila kufunga capacitor ajiandae na mapigo Kama;
Kama Imani yako ni haba FUNGA capacitor kwenye kila jambo!
Kila njia Ina Barrier (BERIA) ya kishirikina kila mkoa kwa wafanya biashara hususani maroli na mabasi; Mfano BERIA ya MTO WAMI :
kibaha na mlandizi kwa mkoa wa pwani etc
Na kwasababu wazungu wanalijua Hilo!
Wengi wamefungwa na password hii"
" Amelaaniwa Amtegemeae Binadam na kumfanya Kinga yake"
Je; Hujawahi kuta Basi limeacha njia Wakati nyuma limeandikwa "IN G*D WE TRUST"?
Hii inatokana na dhana ya uhaba wa mabasi kwenda maeneo hayo!
Swali hapa je, kwanini Ni machache?
- Wengi wanadhani uhaba wa mabasi unachangiwa na Miondombinu (barabara)
- Wengi wanadhani uhaba wa mabasi unachangiwa na uchache wa abiria.
- wengi wanadhani uhaba wa mabasi unachangiwa na uwepo wa Gari Moshi!
kwasababu;
- Kama ni ishu ya barabara, Njia ya zamani ya kuzunguka RUNZEWE haitumiki tena, Sahivi Kuna lami mpya kutokea Manyoni hadi Tabora (shortcut) na kutoka Tabora hadi Kigoma
- Kama ni Abiria toka kigoma wapo wa kutosha tena wengine kutoka Rwanda na Burundi
- Kama ni Gari Moshi, Ukweli Ni kwamba, Abiria wa mabasi na wale wa treni hawafungamani, hii ni sawa na abiria wa tax na wa bodaboda wasivyofungamana, Kila usafiri una abiria wake!
Yes! Bila kuweka Natural Capastor! Njia ya kigoma Basi jipya Halitoboi hata siku moja! Akijitahidi Sana Atakwenda ruti moja ya pili hageuki!
Wababe wa njia Saratoga, adventure wamedumu kwenye njia hizi kwasababu ya Natural Capacitor!
Mwenye Basi jipya akithubutu njia hizo bila kufunga capacitor ajiandae na mapigo Kama;
- kwanza kabisa Basi jipya likianza Safari njia hizo hata ukitumia dreva mwenyeji- Ni pigo la kupotea njia ( yaani utaondoka Dar vizuri lakini huko mtauliza Sana njia kwa kupotea potea!
- Pigo la pili Ni GIA Kugoma kuingia; Yaani Gari utaifanyia service fresh kabisa utapeleka stendi tayari kwa safari kubeba abiria lakini ukishatoka nje ya mji tu, Gia zinaanza kumiss na zinapotea! Utaita fundi kutengeneza hadi zipatikane inakuwa tayari ishakua mchana na abiria washachoka!
- pigo la tatu ni kupigwa cheti au faini huko njiani; Yaani Askari wakiliona gari lako tu hasira zinawajaa bila sababu (kimavi) Utapigwa faini usipoangalia na gari lako utalikuta kituoni hata sababu ya msingi ya kukamatwa haitakuwa ya maana..
- Ukiruka hizo tatu zote bila kuweka capacitor....Namba nne Itakuwa Ni..............
- Namba tano Utakomaa Sana kufuatilia bima! na Ikitokea ukilipwa lazima utangaze kwenda Kuanza biashara ya kilimo Ambako nako huko Wafugaji wanakusubili!
Kama Imani yako ni haba FUNGA capacitor kwenye kila jambo!
Kila njia Ina Barrier (BERIA) ya kishirikina kila mkoa kwa wafanya biashara hususani maroli na mabasi; Mfano BERIA ya MTO WAMI :
kibaha na mlandizi kwa mkoa wa pwani etc
Na kwasababu wazungu wanalijua Hilo!
Wengi wamefungwa na password hii"
" Amelaaniwa Amtegemeae Binadam na kumfanya Kinga yake"
Je; Hujawahi kuta Basi limeacha njia Wakati nyuma limeandikwa "IN G*D WE TRUST"?