OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,066
- 23,980
Umesema unapofanya sex na Ke, Luna muunganiko kweny ulimwengu wa roho, sasa je una faida au hasara gani kiuchumi?Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema unapofanya sex na Ke, Luna muunganiko kweny ulimwengu wa roho, sasa je una faida au hasara gani kiuchumi?Nini?
Hata mimi mkuumimi ni mtulivu sana..ila sijawahi kukutana na hiyo kitu
Hapa swali ni je, ni mke wako wa ndoa? Kama sio ujue tu umejikabidhi nafsi yako mkononi mwake, naye aweza kukutenda atakavyo. Mchawi hatafuti mwili, bali NAFSI kwa sababu ndio mtu hai!!
“Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai;mtu akawa nafsi hai.”
— Mwanzo 2:7
Kwa hiyo, ile nguvu ya hisia ndio nafsi yako, ukiiweka ndani ya mwanamke mchawi aweza kukutenda vibaya sana. Ni wiki hii nimetoka Tabora kumwona mzee mmoja ambaye akiwa karibu na kustaafu alihamia huko toka Mwanza, akakutana na mama mmoja mitaa ya Kanyenye. Yule mama alimfanya aisahau familia yake, ni miaka zaidi ya kumi sasa anakataa hana mke zaidi ya hilo limama.
Historia ya huyo mama, amewahi kuishi Misha, nje kidogo ya mjini Tabora, ni mchawi anayejulikana na wote, aliwahi kupitiwa na lambalamba wanakijiji wakamchomea nyumba akakimbikia Lolanguru. Baada ya miaka miwili karudi Tabora mjini akakutana na huyu mzee. Sasa mzee kainamishwa mpaka amegoma kabisa kuitambua familia yake ya watoto 11.
Kachukua pension yote kamjengea huyo mama nyumba 3, afu huyo mama kamgeuza shamba boy licha ya uzee wake. Anagonga majaruba ya mpunga kama vile hana akili nzuri licha ya uzee wake. Sio tu ukae mbali na mwanamke mchawi, kas mbali kabisa na UZINZI. Utalipa gharama kubwa mno na itakuwa vigumu sana kukutoa kwa sababu umejiingiza kwenye maagano bila kujua. Vobinti vingi siku hizi vimegeuka vya shirikina, ndio maana biashara ya uganga wa kienyeji imeshamiri kwelikweli huku wateja wakubwa wakiwa wanawake. Hawara atakuroga ili kupata mali zako, lakini ni lazima wakukamate nafsi yako katika ulimwengu wa roho kwanza uwe mateka, ndipo uipate fresh. Mke naye akiona haueleweki anakwenda kwa waganga kupindua mrza, utabaki salama wewe? Lazima uwe taahira, utaishi kama mashetani!! Kaa mbali ni uzinzi mkuu kwa faida yako na familia. Uzinzi una raha ya muda mfupi sana, lakini spana zake usizichezee kabisa.
Mkuu ni kama kwamba keshakubana tayari. Hapo mkuu inabidi kutafuta nguvu ya juu ya kiroho ili kuweza kurekebisha hali hiyo. Kwamba kama wewe ni muumini inabidi ufanye toba na uombe mbingu ziingilie kati. Nitaandika zaidi muda kidogo. Lakini nikikupa mfano mwingine hai kabisa, yuko SHANGAZI YANGU ambaye anaishi Mbagala. Yaani huyu ana spana za kishenzi kweli. Amemkamata jamaa mmoja mpaka kamjengea nyumba na wanaishi wote. Sasa huwa analeta wanaume na kukaa nao ndani kabisa huku mume akifanya kazi za ndani. Anawaandalia chai nk. Majirani wamewahi kukasirishwa na tabia ya shangazi wakamwambia mume. Ajabu jamaa aliingia ndani, akafungulia redio kwa sauti kubwa akaweka taarabu kuwakashifu. Basi washamwacha hivyo hivyo. Mara ya mwisho kusikia habari zake, alikuwa na wanaume wawili WALIOMWOA kama ni mdogo (hawajuani) akiwepo mwarabu mmoja anayemjengea bungaloo. Sasa ndio ujue usipokuwa makini kudhibiti hisia za ngono, utajutia maisha yako duniani. Jitoe huko, INAWEZEKANA.Shukuran kwa kunifungua
Nyerere Asante kwa kunifungua, nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Dada mmoja mrembo tu.
Nimekuja kujidhihirishia kuwa Ni mchawi na kaurithi kwa marehemu Mama yake.
Naweza nikakaa kwake week nzima, lkn anaweza kunilala nje na nikajua, nikakasirika kwa siku ya kwanza nakufikiria kumuacha lkn siku ya pili nazidisha mapenzi. Mimi nataka nivunje hi bond ya kiroho na anajua kanishika .
Mkuu ni kama kwamba keshakubana tayari. Hapo mkuu inabidi kutafuta nguvu ya juu ya kiroho ili kuweza kurekebisha hali hiyo. Kwamba kama wewe ni muumini inabidi ufanye toba na uombe mbingu ziingilie kati. Nitaandika zaidi muda kidogo. Lakini nikikupa mfano mwingine hai kabisa, yuko SHANGAZI YANGU ambaye anaishi Mbagala. Yaani huyu ana spana za kishenzi kweli. Amemkamata jamaa mmoja mpaka kamjengea nyumba na wanaishi wote. Sasa huwa analeta wanaume na kukaa nao ndani kabisa huku mume akifanya kazi za ndani. Anawaandalia chai nk. Majirani wamewahi kukasirishwa na tabia ya shangazi wakamwambia mume. Ajabu jamaa aliingia ndani, akafungulia redio kwa sauti kubwa akaweka taarabu kuwakashifu. Basi washamwacha hivyo hivyo. Mara ya mwisho kusikia habari zake, alikuwa na wanaume wawili WALIOMWOA kama ni mdogo (hawajuani) akiwepo mwarabu mmoja anayemjengea bungaloo. Sasa ndio ujue usipokuwa makini kudhibiti hisia za ngono, utajutia maisha yako duniani. Jitoe huko, INAWEZEKANA.
Hapo unaweza danja ghaflaNyerere Asante tena,
Pia kiroho kinatokea Nini unapomwingilia mwanamke na kumwagia mbegu zako ndani mwake, na sio nje Kama kwenye kiuno au juu ya papauchi. Mbegu zikimuingia mkiwa kwenye mapenzi kiroho zina effect gani.
Usione nakusumbua boss
Nyerere Asante tena,
Pia kiroho kinatokea Nini unapomwingilia mwanamke na kumwagia mbegu zako ndani mwake, na sio nje Kama kwenye kiuno au juu ya papauchi. Mbegu zikimuingia mkiwa kwenye mapenzi kiroho zina effect gani.
Usione nakusumbua boss
Mkuu, ni rahisi sana kudhani kuwa ili kujikinga na haya yote ni heri mtu asimwage ndani. Lakini ukweli ni kuwa TENDO LA NDOA NI LA KIROHO. Tendo halisi hufanyika kwenye romance na kuamsha hisia, ndipo emotional energy zinapojichochea, mwanamume anampelekea mwanamke emotional energy na mwanamke anazipokea na kulistawisha penzi (man deposits, woman nourishes).
Sasa ngono ikishakamilika rohoni, miili hujibu kwa hisia ambapo wote hushikwa na nyege na kuwakiana tamaa ya kuingiliana. Huku ni kuthibitisha tu muunganiko wa rohoni ambao tayari umeshafanyika. Ndio maana KILA JAMBO HUANZIA ROHONI KWANZA KISHA HUDHIHIRIKA MWILINI.
Kumbe mwanamume anapotoa mbegu (ejaculation), ni matokeo ya emotional energy (hisia), na mwanamke naye hutoa maji maji. Sasa umwage nje ama umwage ndani, hayo ni ya mwilini, rohoni tayari mmeshaungana. Ukimwaga ndani yaweza kuwa mimba ama la, lakini ukimwaga nje utaokoa mimba tu.
Hii ni tofauti kabisa na punyeto, huo ni mtiti mwingine kabisa.
Usisahau kufunga mkanda kwa usalama wako
Sawa vip juu ya ahadi ambazo watu uwekeana pindi wanamausiano ama ujauzito?Mahusiano kati ya watoto na wazazi
Baba ana uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi kwa watoto wake. Anawafunza na kuwatiisha pale wanapokosa utii. Ndio maana ni rahisi tu kwake kushika bakora kumuadibisha mtoto. Mahusiano ya mtoto na baba hupitia kwa mama kwani ndiko kumehifadhiwa kivuli cha baba na mtoto pia. Mama akisema kwa baba ni rahisi kueleweka na pia akimwambia kitu mtoto ataeleweka kiurahisi. Sasa uelewe ni kwa nini mtoto anaumia sana mama akiteseka kuliko ilivyo kwa baba. Mtoto atakufa kwa ajili ya mama, mama naye kwa ajili ya mtoto. Kwa hiyo kiunganishi kati ya baba na mtoto kiroho ni mama.
Mama yeye anawabeba wote, baba na mtoto. Ndio maana mke hawezi kuona mume ana tatizo akatulia, yuko radhi hata kutumia mali za kwao kutatua tatizo hilo. Hapa ndipo wengi hudhani mwanamke ni mjinga, si kweli. Mwanamke ni emotional being. Mume akimjaza mke emotional energy basi atamtumia huyo atakavyo. Kilicho cha mwanamke ni chake pia. Hapa ndipo wanaume walioharibika akili hutumia kuwaingiza hata wanawake wenye kuwa na msimamo kwenye mambo ya hivyo kama uvutaji bangi, ulevi, mapenzi kinyume na maumbile nk. Mwanamke atafanya kumfurahisha mume, lakini ukweli ni kwamba anaifurahisha nafsi yake mwenyewe kws saba wamekuwa nafsi moja!!
Watoto wa kambo
Nadhani iko wazi sasa, baba hana shida kwa mtoto wa kambo kama ilivyo kwa mtoto wake mwenyewe. Akioa mke mwenye mtoto, ujue tu kwamba KAOA MKE. Ameungana na mke, hivyo kivuli chake hutembea humo. Mapenzi kwa mtoto wa kambo yatatokana na emotional energy iliyo ndani ya mwanamke. Hivyo ana nafasi ya kumtendea mtoto wa kambo kama vile ni mtoto wa viuno vyake mwenyewe.
Mama kwake ni tofauti kabisa. Hana connection yoyote na mtoto wa kambo. Ndio maana asilimia kubwa ya wanawake huwatendea kwa ukatili watoto wa kambo. Watoto hawa huwa na muunganiko na mama zao wa kuwazaa, hivyo baba ni kama mlezi tu sawasawa na mama wa kambo. Ukiona mama wa kambo anamlea vema mtoto, basi ujue alikuwa katika maadili bora kabisa au hofu ya Mungu imo ndani yake. Lakini pia kama amempenda kweli mume wake, emotional energy yaweza kumfanya ampende mtoto pia, ingawa hili ni mara chache sana.