Ijue Sheria ya Mtoto. Uliza swali lolote kuhusu Sheria ya Mtoto

Kwanza kabisa kuhusu haki za mtoto wa nje ya ndoa,
mtoto wa nje ya ndoa Ana haki sawa Kama mtoto yeyote. Kwan Sheria ya mtoto (the law of the child Act) ya 2009, kifungu Cha 5 imekataza mtoto asibaguliwe kivyovyote vile.
Pili kuhusu kutunza mtoto
kuhusu malezi ya mtoto n jukumu la Baba na mama wa mtoto kumtunza mtoto wao, hii n kutokana na Sheria ya ndoa( the law of marriage Act) [Cap 29 R.E 2002] kifungu Cha 1291&2 ,
Pia mahakama inamamlaka ya kumuamuru anaye daiwa kuwa baba wa mtoto (biological father) kumtunza mwanae hii ni kwa mujibu wa sheria ya mtoto ( the law of the child Act)2009 chini ya kifungu Cha 43(1)
Pia kwenye kesi ya Omari Mahita V Rehema Shabani, mahakama ilimwamuru baba wa mtoto aliye zaliwa nje ya ndoa aitwaye Juma Omari Mahita ( mtoto) atoe matunzo ya mtoto wake

Kwakuongezea hapo, kwa kesi za baba kutokutoa matumizi ya mtoto ni vyema kwa mama kumpeleka mzazi mwenzie ustawi wa jamii au mahakaman na kudai matunzo ya mtoto, Kwan baba wa mtoto anawajibu wa kumtunza mtoto wake. Na hii haijalixhi hata Kama mtoto huyo amezaliwa nje ya ndoa
Je, baba, anaweza poteza haki kwa mtot wake katika situations zipi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom