Ijue Sheria Wiki Hii

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
805
425
JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.

MTUHUMIWA: Lakini ni mitambo tu, siyo gongo mheshimiwa!

JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa.

MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka.

JAJI: Kumbe ulibaka pia?

MTUHUMIWA: Hapana, ila hapa ninacho pia kifaa kinachotumika wakati wa kubaka

(Akimaanisha uume].

JAJI: Basi upo huru.
 
JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.

MTUHUMIWA: Lakini ni mitambo tu, siyo gongo mheshimiwa!

JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa.

MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka.

JAJI: Kumbe ulibaka pia?

MTUHUMIWA: Hapana, ila hapa ninacho pia kifaa kinachotumika wakati wa kubaka

JAJI: Basi upo huru.

Serikali inabidi ikate rufaa kwa sababu Jaji amekosea hukumu.

Kifaa kinachotumika kubaka kinaweza kutumika kutengeneza vitu halali, kama vile watoto, lakini mtambo unaotumika kutengeneza gongo ni kidhibiti hitimisho kwa sababu, zaidi ya kutengeneza gongo, hautumiki kutengeneza maziwa ya watoto!
 
Serikali inabidi ikate rufaa kwa sababu Jaji amekosea hukumu.

Kifaa kinachotumika kubaka kinaweza kutumika kutengeneza vitu halali, kama vile watoto, lakini mtambo unaotumika kutengeneza gongo ni kidhibiti hitimisho kwa sababu, zaidi ya kutengeneza gongo, hautumiki kutengeneza maziwa ya watoto!

Kuhani Mkuu usije ukawa unatumia dini kufikia hii conclusion! Gongo kwa baadhi ya makabila ni dawa ya kipindupindu na hata malaria, so it is justifiable isnt it?
 
JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.

MTUHUMIWA: Lakini ni mitambo tu, siyo gongo mheshimiwa!

JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa.

MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka.

JAJI: Kumbe ulibaka pia?

MTUHUMIWA: Hapana, ila hapa ninacho pia kifaa kinachotumika wakati wa kubaka

(Akimaanisha uume].

JAJI: Basi upo huru.


Jaji ana matatizo hata mashahidi hana? Kwa nini asingetafuta mashahidi kuhakikisha kama jamaa kweli anachokifaa cha kubaka?
 
Serikali inabidi ikate rufaa kwa sababu Jaji amekosea hukumu.
Kifaa kinachotumika kubaka kinaweza kutumika kutengeneza vitu halali, kama vile watoto, lakini mtambo unaotumika kutengeneza gongo ni kidhibiti hitimisho kwa sababu, zaidi ya kutengeneza gongo, hautumiki kutengeneza maziwa ya watoto!

Yule Mzee Mangi Lyatonga Mrema alipokuwa anagombea URAHISI mwaka 1995, alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara hapa Shinyanga alisema kuwa akiwa RAHISI ataagiza mitambo ya kuchuja gongo ili inywewe kama Konyagi.
Kuhani, unasemaje hapo.
 
Yule Mzee Mangi Lyatonga Mrema alipokuwa anagombea URAHISI mwaka 1995, alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara hapa Shinyanga alisema kuwa akiwa RAHISI ataagiza mitambo ya kuchuja gongo ili inywewe kama Konyagi.
Kuhani, unasemaje hapo.

Alikuwa anawadanganya baadhi ya Wananchi wasio na uelewa sana. Plan yake ilikuwa ni kulitia maji Tembo halafu akaliuza bila kusema hili sio Tembo tena.

Gongo ni marufuku kwa sababu ni kemikali hatari ambayo haina vipimo. Ina michangonyiko ya aina za vilevi ethanol na methanol ambavyo vinaweza kukuua.

Mrema aliposema atachuja Gongo, ana maana kupunguza kiasi cha ethanol na kuchuja byproducts nyingine za alcohol fermantation, hususan methanol - ambayo ukinywa ovyo ovyo unapofuka macho.

Sasa ukisha punguza ethanol, na kuondoa hayo ma byproducts makali makali mengine, hiyo sio gongo tena.

Kwa hiyo sio kweli kwamba angewasaidia Wananchi kuhalalisha gongo.
 
Kuhani Mkuu usije ukawa unatumia dini kufikia hii conclusion! Gongo kwa baadhi ya makabila ni dawa ya kipindupindu na hata malaria, so it is justifiable isnt it?

well,sheria ni sheria tu hatuangalii kama makabila fulani wanaitumia kama dawa ya kipindupindu au la..kama ndo hivyo basi na bangi iwe justifiable to some people wanaoitumia kama dawa au kama "holly sacrament" according to some rastafarins........
 
Alikuwa anawadanganya baadhi ya Wananchi wasio na uelewa sana. Plan yake ilikuwa ni kulitia maji Tembo halafu akaliuza bila kusema hili sio Tembo tena.

Gongo ni marufuku kwa sababu ni kemikali hatari ambayo haina vipimo. Ina michangonyiko ya aina za vilevi ethanol na methanol ambavyo vinaweza kukuua.

Mrema aliposema atachuja Gongo, ana maana kupunguza kiasi cha ethanol na kuchuja byproducts nyingine za alcohol fermantation, hususan methanol - ambayo ukinywa ovyo ovyo unapofuka macho.

Sasa ukisha punguza ethanol, na kuondoa hayo ma byproducts makali makali mengine, hiyo sio gongo tena.

Kwa hiyo sio kweli kwamba angewasaidia Wananchi kuhalalisha gongo.
lakini najua kwa nchinyingine kama uturuki wana kinywaji ambacho basically ni kama gongo ambacho kwa sasa kinapromote sdana nchi yao.wanasema hujafika uturuki kama hujaonja "raki".kwa hiyo ni swala la kuwawezesha watengenezaji locals kuweza kutengeneza gongo amabayo itakuwa salama kwa matumizi...
 
Serikali inabidi ikate rufaa kwa sababu Jaji amekosea hukumu.

Kifaa kinachotumika kubaka kinaweza kutumika kutengeneza vitu halali, kama vile watoto, lakini mtambo unaotumika kutengeneza gongo ni kidhibiti hitimisho kwa sababu, zaidi ya kutengeneza gongo, hautumiki kutengeneza maziwa ya watoto!

Labda hufahamu components za mtambo wa kutengenezea gongo, ngoja nikupe kidogo kama sijasahau- huwa kunakuwa na at least debe au pipa mbili(inategemea na scale ya uzalishaji), pia kunakuwa na pipes na karai au sufuria kubwa. Ukiangalia hivyo vifaa vyote vina matumizi mengine na havikutengenezwa ili vitumike kwa kuzalisha gongo.
 
...hufahamu components za mtambo wa kutengenezea gongo, ngoja nikupe kidogo kama sijasahau- huwa kunakuwa na at least debe au pipa mbili(inategemea na scale ya uzalishaji), pia kunakuwa na pipes na karai au sufuria kubwa. Ukiangalia hivyo vifaa vyote vina matumizi mengine na havikutengenezwa ili vitumike kwa kuzalisha gongo.

Assuming unachokumbuka ni sahihi, bado kuna tatizo hapa. Madebe, mapipa na mabomba vyote ni halali na vina matumizi chanya. Ila ukiifunga na kuinganisha kutengeneza mtambo, hicho kitu kipya hakina matumizi mengine yoyote, ila kutengeneza gongo. Ndio maana ukikutwa na mtambo basi umekwisha, isipokuwa labda uweze kuwashawishi na kuwaonyesha polisi jinsi unavyotumia mtambo huo huo wa madebe na ma pipe kumwagilia mchicha. Kitu ambacho umeshakubali hakifanywi na huo mtambo.

By the way, Kana-Ka-Nsungu, huwezi kumwambia mtu "wewe hufahamu X, Y, Z..." halafu hapo hapo , katika kumsahisha, na wewe unakuja na habari za "kama sijasahau." Jana tulikuwa na mjadala kwenye thread ya "Zanzibar hakuna Ufisadi" mtu aka demand source ya idea ya mwenzake kwamba wanaoutaka Muungano ni wachache, akasema sio kweli. Cha kusikitisha, yeye akaja na arguments zake kwamba wasioutaka ndio wachache, lakini akasema " I bet." Huwezi kutumia guesswork kumwambia mtu 'you are wrong.' Acha tumrukie!
 
By the way, Kana-Ka-Nsungu, huwezi kumwambia mtu "wewe hufahamu X, Y, Z..." halafu hapo hapo , katika kumsahisha, na wewe unakuja na habari za "kama sijasahau." Jana tulikuwa na mjadala kwenye thread ya "Zanzibar hakuna Ufisadi" mtu aka demand source ya idea ya mwenzake kwamba wanaoutaka Muungano ni wachache, akasema sio kweli. Cha kusikitisha, yeye akaja na arguments zake kwamba wasioutaka ndio wachache, lakini akasema " I bet." Huwezi kutumia guesswork kumwambia mtu 'you are wrong.' Acha tumrukie!

Lakini bado naamini Kuhani, kuna tofauti kati ya kusahau na kutolijua jambo kabisa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom