Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,122
- 5,223
Tafadhali ongozana nami kwenye tafakuri hii. Kwa nini katika miili ya viumbe hai kuna kuna ute ute ambao huwa katika formula ya kunata, kuvutika au kuteleza iwe ni mate, shahawa, kamasi, jasho, utomvu, poleni n.k
Bila shaka utakapozungumzia shahawa, kamasi au mate hasa yale yanayovutika vutika utagundua havitofautiani sana hata DNA yake uweza mtofautisha huyu na yule.
Unapofua nguo zako kwa kutumia sabuni ya unga bila shaka unaloweka sabuni yako ndani ya maji kwanza kisha unapikicha kupata povu, je ushawahi kujiuliza kuwa kwanini hata harufu yako ya manii inashahawiana na harufu ya povu la sabuni achilia mbali kukauka/kusharabiwa kwake juu ya ngozi.
Bila shaka unaanza kupata picha taratibu kuhusu dhana ya udadisi wangu ulipoanzia, sasa rudi katika ngozi za mamalia ukianza na binadamu, mifugo n.k ukichuna ngozi cha kwanza kukumbana nacho ni hali ya mapovu juu ya ngozi(huwa kwenye ngozi fulani nyepesi nyeupe)
Pasina shaka kazi ya haya mapovu yenye mtetemo fulani nikutuma signal za hisia, kubalance joto, kuprovide protein kwenye ngozi n.k na kama ndivyo then uhisi kuwa maisha yalianzia katika formula ya povu dogo lililotokana na tone la maji (chanzo chake kikiwa hydrogen,
vumbi vumbi na gesi zingine angani) hivyo kutokana na hali hii tone lile likakumbana na gesi zenye asili ya kujivuta au kunata likatengeneza povu fulani ambalo baadae povu lile kama lilivyo povu la sabuni uunda duara ambalo ndani yake uwa empty lakini lidumupo pasipo kupikichwa povu hili upasuka au kukauka.
Hivyo povu hili ambalo pengine lilitokea katikati ya majabali mawili au kwenye plunge pool au sehemu yenye maporomoko yaliyoruhusu mtikisiko wa mara kwa mara wa maji nakutoruhusu matone ya maji yale kutoweka haraka kulianzisha maisha ya kiumbe
kilichotokana na povu na hata povu lile lilipofikia wakati wa kupasuka ile hewa iliingia moja kwa moja ndani ya kile kiumbe nakujaza ile empty space inside ile shape ya duara ndani ya kile kiumbe kitokanacho na povu
hivyo hata mwisho wa uhai wa kile kiumbe pia ni mfanano wa povu linapotokomea na asili ya mwili ule wa povu pia uhitaji mtetemo(mithili ya mpekecho) kila mara maana utakapo poa ndiyo kwaheri. Ndiyo maana hili uwe hai sharti kuwepo na mjongeo wa aina yeyote kimwili muda wote.
Na pia kiumbe huyu maumbile ya mazingira yake na hata baadhi ya viungo vyake kama macho, n.k yametawaliwa na umbile la mduara mfano wa asili ya chanzo chake yaani duara la mapovu.
Hivyo wale wasemao mwanadamu alitokana na udongo (maji na vumbi) nakubaliana nao isipokuwa kupuliziwa pumzi,
pia na wale wa big bang theory pia sipishani nao mbali, maana nilielezea katika hatua hii ya kulisababishia povu lile la maji mtetemo ili liendelee kudouble maduara kutoruhusu kupasuka mapema nakusababisha kiumbe kisiundwe lazima kuna kitu kilichosababisha mnyumbuliko huu ukawezekana,
sasa kama miamba haikuepo au maporomoko basi bila shaka mtetemo huu wa ghafla uliletwa na big bang ndipo pressure ile ya mtikisiko wa ghafla na mpasuko au mgongano mkubwa wa particles mbalimbali uliingiza pumzi kwa ndani kwenye maduara yale ya povu baadaye kiumbe kinachopumua kikaanzia hapo.
Hivyo chanzo cha uhai wa viumbe vyote ni maji ambayo utokana na muunganiko wa gesi fulani na vumbi vumbi ambapo vumbi hili chanzo chake ni sayari, nyota, vimondo na magimba yote yanayoelea katika anga hewa,
na kile kiitwacho hewa pia huwa na vumbi jingi ndani yake, hivyo ni nini chanzo cha vumbi lililounda sayari na magimba yote bila shaka ni mgandamizo mkubwa katika anga hewa uliopelekea joto kali na joto hili likaunda mlipuko wa mioto mbalimbali(nyota na majua) ambapo jivu lake likapelekea vumbi ambayo litakuwa na muunganiko wa gesi za asili ya mioshi/mnatiano na jotoridi fulani ambalo likaruhusu kuundwa kwa maji na hatimaye uhai.
NB: Mwanasayansi huyu mwafrika mashariki, member wa JF na mvumbuzi wa povu formula kama chanzo cha uhai ni muhitimu wa form four kwenye mchepuo wa HKL , hivyo rukhsa kumtemea povu na kumkosoa endapo utakuja na hoja zenye mashiko kutetea arguments zako.
Bila shaka utakapozungumzia shahawa, kamasi au mate hasa yale yanayovutika vutika utagundua havitofautiani sana hata DNA yake uweza mtofautisha huyu na yule.
Unapofua nguo zako kwa kutumia sabuni ya unga bila shaka unaloweka sabuni yako ndani ya maji kwanza kisha unapikicha kupata povu, je ushawahi kujiuliza kuwa kwanini hata harufu yako ya manii inashahawiana na harufu ya povu la sabuni achilia mbali kukauka/kusharabiwa kwake juu ya ngozi.
Bila shaka unaanza kupata picha taratibu kuhusu dhana ya udadisi wangu ulipoanzia, sasa rudi katika ngozi za mamalia ukianza na binadamu, mifugo n.k ukichuna ngozi cha kwanza kukumbana nacho ni hali ya mapovu juu ya ngozi(huwa kwenye ngozi fulani nyepesi nyeupe)
Pasina shaka kazi ya haya mapovu yenye mtetemo fulani nikutuma signal za hisia, kubalance joto, kuprovide protein kwenye ngozi n.k na kama ndivyo then uhisi kuwa maisha yalianzia katika formula ya povu dogo lililotokana na tone la maji (chanzo chake kikiwa hydrogen,
vumbi vumbi na gesi zingine angani) hivyo kutokana na hali hii tone lile likakumbana na gesi zenye asili ya kujivuta au kunata likatengeneza povu fulani ambalo baadae povu lile kama lilivyo povu la sabuni uunda duara ambalo ndani yake uwa empty lakini lidumupo pasipo kupikichwa povu hili upasuka au kukauka.
Hivyo povu hili ambalo pengine lilitokea katikati ya majabali mawili au kwenye plunge pool au sehemu yenye maporomoko yaliyoruhusu mtikisiko wa mara kwa mara wa maji nakutoruhusu matone ya maji yale kutoweka haraka kulianzisha maisha ya kiumbe
kilichotokana na povu na hata povu lile lilipofikia wakati wa kupasuka ile hewa iliingia moja kwa moja ndani ya kile kiumbe nakujaza ile empty space inside ile shape ya duara ndani ya kile kiumbe kitokanacho na povu
hivyo hata mwisho wa uhai wa kile kiumbe pia ni mfanano wa povu linapotokomea na asili ya mwili ule wa povu pia uhitaji mtetemo(mithili ya mpekecho) kila mara maana utakapo poa ndiyo kwaheri. Ndiyo maana hili uwe hai sharti kuwepo na mjongeo wa aina yeyote kimwili muda wote.
Na pia kiumbe huyu maumbile ya mazingira yake na hata baadhi ya viungo vyake kama macho, n.k yametawaliwa na umbile la mduara mfano wa asili ya chanzo chake yaani duara la mapovu.
Hivyo wale wasemao mwanadamu alitokana na udongo (maji na vumbi) nakubaliana nao isipokuwa kupuliziwa pumzi,
pia na wale wa big bang theory pia sipishani nao mbali, maana nilielezea katika hatua hii ya kulisababishia povu lile la maji mtetemo ili liendelee kudouble maduara kutoruhusu kupasuka mapema nakusababisha kiumbe kisiundwe lazima kuna kitu kilichosababisha mnyumbuliko huu ukawezekana,
sasa kama miamba haikuepo au maporomoko basi bila shaka mtetemo huu wa ghafla uliletwa na big bang ndipo pressure ile ya mtikisiko wa ghafla na mpasuko au mgongano mkubwa wa particles mbalimbali uliingiza pumzi kwa ndani kwenye maduara yale ya povu baadaye kiumbe kinachopumua kikaanzia hapo.
Hivyo chanzo cha uhai wa viumbe vyote ni maji ambayo utokana na muunganiko wa gesi fulani na vumbi vumbi ambapo vumbi hili chanzo chake ni sayari, nyota, vimondo na magimba yote yanayoelea katika anga hewa,
na kile kiitwacho hewa pia huwa na vumbi jingi ndani yake, hivyo ni nini chanzo cha vumbi lililounda sayari na magimba yote bila shaka ni mgandamizo mkubwa katika anga hewa uliopelekea joto kali na joto hili likaunda mlipuko wa mioto mbalimbali(nyota na majua) ambapo jivu lake likapelekea vumbi ambayo litakuwa na muunganiko wa gesi za asili ya mioshi/mnatiano na jotoridi fulani ambalo likaruhusu kuundwa kwa maji na hatimaye uhai.
NB: Mwanasayansi huyu mwafrika mashariki, member wa JF na mvumbuzi wa povu formula kama chanzo cha uhai ni muhitimu wa form four kwenye mchepuo wa HKL , hivyo rukhsa kumtemea povu na kumkosoa endapo utakuja na hoja zenye mashiko kutetea arguments zako.