Habari mkuu..nina swali nje ya mada.habari mkuu,
njoo pm takupatia
Inategemea na roho yako ipo katika state gani muda huo chunguza record za kila siku na saa matukio hayo yanapokutokea utapata majibu mkuuHabari mkuu..nina swali nje ya mada.
inakuwaje kuna muda naona tukio fulani afu linakuja kutokea baadae au nafanya kitu unahisi umewahi fanya navyote vitakavyondelea unavikumbuka unakua kama unafanya marudio.
nime ku pm mkuuNjoo PM mkuu nitakupa namba ya mawasiliano
nime ku PM mkuuNjoo PM mkuu nitakupa namba ya mawasiliano
Pole Mkuu muwache na ufahamu wake potofuWewe unajua vipi kesho yangu kwa mwenye akili akisoma post zako hadi hapa atajua kweli wewe huna akili kwa maana unaapa kwenye hamna na pia niliwahi kukufundisha kitu kwa kuwa ni mbumbumbu mnafiki huelewi hutakuja kuelewa nilikwambia hivi in case umeona thread na imekukwaza kaanzishe thread ya kupinga vikali kwenye Majukwaa ya dini kule lakini hukuelewa sasa wewe ni mnafiki na ulikuwa mnafiki upo mnafiki na utaendelea kuwa mnafiki, maskini unatumia nguvu nyingi kuonyesha hisia zako za dini hali ya kuwa ni mbumbumbu umedai hapo juu kuwa anayejua ya ghaibu ni Mungu peke yake sasa mbona wewe unanibashilia upotovu? umepata wapi maarifa ya kujua hata kesho au dakika chache zijazo nitakuwa vipi, Punguza unafiki usio na mashiko
Mkuu naomba namba yako Au nichek 0625352984
Basi ni heri kwako kutozijua pia, jambo lolote linalokupa wakati mgumu akilini ni heri kuachana nao, lakini fahamu ya kuwa sote ni roho na tunaishi kwa principle za roho.
Kuna jinsi ya kuangalia na kuthibitisha ipi nyota yako ni sahihi majina wengine huwa nayo zaidi ya mojaMbona kuna herufi za majina hazipo halafu Mbona hizo nyota znatofautiana na herufi za majna mfano unakuta wewe kutokana na tarehe uliozaliwa unaingia kwenye nyota ya samaki but herufi ya jina ipo kwenye nyota nyingine hebu elezea kidogo,
Toa details zako zote za kuzaliwa nitakwambia ni ipi nyota yako.Mimi kila nikifanya hayo mahesabu napata nyota mbili tofauti. Nmeshakata tamaa japo mpk sasa mm nishagundua ck yangu nzuri ni ijumaa na jmosi ni ck yangu ya mikosi labda mtu anisaidie