Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 855
- 2,109
Kwanza naanza kwa kuwasalim wakulungwa wote wa jf na kuwambia vimbeni na jipigeni kifua maana mko mahali salaaaama.
Back to the topic.
Kumekuwa na mifumo mingi sana ya soka na uchezaji wa soka tangu pale mchezo wa soka ulipoanzishwa huko karne kadhaa nyuma na kumekua na mabadiliko ya mifumo na sheria mbalimbali kadri siku zinavyozidi kisonga.
Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya uhitaji katika soko la soka kwa kuutoa mchezo kutoka katika sanaa na kuupeleka kua sayansi.
Leo nitaanza na mfumo wa kawaida ambao kila mtu anaufahamu, mfumo wa 4-4-2 (four-four- two). Mfumo unajumuisha mabeki wawili wa kati, mabeki wa pembeni( kulia na kushoto), viungu wanne na washambuliaji wawili.
Mfumo huu, upo wa namna nyingi but wengi wanatumia viungo wawili wakabaji, na viungo wawili wa pembeni na washambuliaji wawili kama kawaida au wengine hutumia viungo wawili wa kati na mawinger na washambuliaji wawili.
ITAENDELEA...
Back to the topic.
Kumekuwa na mifumo mingi sana ya soka na uchezaji wa soka tangu pale mchezo wa soka ulipoanzishwa huko karne kadhaa nyuma na kumekua na mabadiliko ya mifumo na sheria mbalimbali kadri siku zinavyozidi kisonga.
Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya uhitaji katika soko la soka kwa kuutoa mchezo kutoka katika sanaa na kuupeleka kua sayansi.
Leo nitaanza na mfumo wa kawaida ambao kila mtu anaufahamu, mfumo wa 4-4-2 (four-four- two). Mfumo unajumuisha mabeki wawili wa kati, mabeki wa pembeni( kulia na kushoto), viungu wanne na washambuliaji wawili.
Mfumo huu, upo wa namna nyingi but wengi wanatumia viungo wawili wakabaji, na viungo wawili wa pembeni na washambuliaji wawili kama kawaida au wengine hutumia viungo wawili wa kati na mawinger na washambuliaji wawili.
ITAENDELEA...