King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,758
Umofia Kwenu wana JF,
Escrow ni neno ambalo limetoolewa kutoka lugha ya kifaransa,ni neno linalojitegemea halihusiani na tegeta wala PAP ni neno la kiingereza linalomaanisha "Fedha,mali,mkataba au dhamana ambayo anapewa mtu wa tatu kuitoa endapo muafaka ukifikia",tukija kwenye swala la Tegeta Escrow neno Tegeta ni Sehemu ambayo mitambo ya IPTL imefungwa,kwakua kulikuwa na mgogoro kati ya Tanesco na IPTL,wanasheria wakashauri ifunguliwe account ya Escrow ikaitwa Tegeta Escrow ambayo mtu wa tatu hapa ni BOT ana mamlaka ya kuitoa endapo muafaka(Tanesco vs iptl) ukipatikana.
Escrow ni neno ambalo limetoolewa kutoka lugha ya kifaransa,ni neno linalojitegemea halihusiani na tegeta wala PAP ni neno la kiingereza linalomaanisha "Fedha,mali,mkataba au dhamana ambayo anapewa mtu wa tatu kuitoa endapo muafaka ukifikia",tukija kwenye swala la Tegeta Escrow neno Tegeta ni Sehemu ambayo mitambo ya IPTL imefungwa,kwakua kulikuwa na mgogoro kati ya Tanesco na IPTL,wanasheria wakashauri ifunguliwe account ya Escrow ikaitwa Tegeta Escrow ambayo mtu wa tatu hapa ni BOT ana mamlaka ya kuitoa endapo muafaka(Tanesco vs iptl) ukipatikana.