Ijue maana ya neno "Demka". Ni Kiswahili kutoka Zanzibar chenye asili ya lugha ya Kikae

Waache Kudemka demka wachape kazi kulisaidia taifa mambo ya mipasho ya kudiscuss watu wanalitia hasara taifa maana tunawalipa mabilioni kwa ajili ya kuishauri serikali ,kutunga sheria na kuwasilisha matatizo ya wananchi ndani ya bunge ili yafanyiwe kazi na serikali.
 
Bunge ni dhaifu.... Ndugai akamwite Madame Rais kesho kwenye kamati... Kibajaji na Msukuma ndo wajenga hoja/vichwa mjengoni...
 
Kinara wa kudemka ni yule spika mbovu mwenye faili mirembe. Sijui atafanya nn maana bunge limesemwa huko mijadara yake haina afya kwa Taifa. Navyolijua lile baba angekuwa mtu mwingine lingesema kesho aje akutane na kamati ya hadhi na madaraka ya bunge.
Hahahaahaaha
 
Nadhani hii nyundo wamepigwa wale waliotaka kumtofautisha Samia na JPM au hukusikia anasema Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Najua hamuamini mlichokisikia leo
Nikama marehemu maana marehemu hana maana tena.
 
Juzi Mama Samia akiwa katika kongamano la maombi huko Dodoma alisema mitandao ya kijamii inapiga ngoma na bunge linacheza ngoma hiyo tena kwa kudemka sana. Nini maana ya kudemka?

1618845349527.png
1618845349527.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom