mmakondehuru
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 385
- 149
Kwann mkuu?Huko huingii kizembezembe mkuu kupata hiyo visa hutopata kamweeeee
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Kwann mkuu?Huko huingii kizembezembe mkuu kupata hiyo visa hutopata kamweeeee
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Sana mkuu anapaswa kunisaidia sio kunikatiza tamaaMpe maelezo, sio kumkatisha tamaa
Cjakuelewa mkuuNgoja nirudi nyumbani
Huku ugenini hakufai
cephalocaudo the greatest
Nipo Brunei huu mwaka wa 10, nataka kurudi Bongo ili watoto wangu wajue nyumban kwa baba yao.Cjakuelewa mkuu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ni nchi inayofuata sheria za Kiislamu, Sharia Law, per se, wanamafuta sana kama Qatar, hela ipo sana ila ukileta za TZ za kimazoea zoea wakatwa kichwa kule, kufika kule tafuta tu habari za mtandaoni, ukiwa na ujuzi wa maana na vyeti vyake itakuwa poa zaidi...Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu Brunei kuna jamaa alisema kaka yake ni hotel waiter lakini anajenga apartments moja baada ya nyingine bongo. Mshahara ni tax free
Ahsante mkuu kwa uzoefu wakoNi nchi inayofuata sheria za Kiislamu, Sharia Law, per se, wanamafuta sana kama Qatar, hela ipo sana ila ukileta za TZ za kimazoea zoea wakatwa kichwa kule, kufika kule tafuta tu habari za mtandaoni, ukiwa na ujuzi wa maana na vyeti vyake itakuwa poa zaidi...
Niunganishe nae mkuu anisaidieKuna jamaa alikaa huko aliwai kunambia yeye anapenda kutembe kwenda kazini lakini ilikuwa kero kila hatua kadhaa gari inafunga break kumuuliza kama anataka msaada maana huko ni kitu cha ajabu mtu kutembea. Anasema wako juu sana ila magonjwa yasiyoambukizwa yako juu pia sababu ya life style. Huyu jamaa yeye ni mwingereza mwenye asili ya pakistan nadhani ndio maana ilikuwa rahisi kwake kufanya kazi huko
Jemedari huyoo......nahuyo ndie mfalme wao
Nakubaliana nawe mkuu...hata nipate pesa kama za Bill Gates hunipeleki huko, niache Fukwe za Ibiza/Miami.
1. Nchi ya kiislam iko chini ya sultani, ukubwa km 5786sq ina watu 438,720 tu mpk Feb 2016
2. Free education, free health, ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiwno mkubwa wa watu na magari (1:209)
3. Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba ty hutumika kupoint kitu
4. Sultan Hassanal Bolkiah, ni wa 29 anamiliki magari zaid ya 5,000 ya kifahari;
20 Lamborghinis,
160 Porsches,
130 Rolls Royces,
360 Ferraris,
170 Jaguars,
180 BMWs,
360 Bentleys, and 530 Mercedes-Benzes.
5. 93% ya watu wote wameenda shule au wanasoma
6. Marufuku kuuza au kununua au kunywa pombe hadharani
7. Hakuna nguruwe hata 1 nchi nzima
8. Nchi pekee iliyo northern & southern Hemisphere
9. Mwaka mzima ni joto ikiwa na relative humidity ya 93% na mvua ni ya kutosha
10. Per capital income ni usd~39,970
11. Lazima kuvua viatu unapoingia nyumba yeyote ndani ya Brunei
12. Brunei ni nchi ambayo watu hawalipi kodi yeyote-tax free country
13. Sultani wa sasa bi ukoo uliotawala kwa miaka 600
#kwa_hisani_ya_google & personal visit
Umeambiwa $750,000 per day/ One year$750,000 in one year si kitu cha ajabu.
Kuna watu si masultani wala nini wanaspend hiyo hela over a weekend.
Unawaza kuchachua tu mkuuMkuu sasa wadudu wetu wale kimboka na Ohio watakuwepo kweli huko? Isije ikawa ukikamatwa tu na binti wanakuelekeza kibla