Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Mcheki Nyambui Mtanzania kocha wa timu ya Taifa ya Brunei

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu Brunei kuna jamaa alisema kaka yake ni hotel waiter lakini anajenga apartments moja baada ya nyingine bongo. Mshahara ni tax free
Ni nchi inayofuata sheria za Kiislamu, Sharia Law, per se, wanamafuta sana kama Qatar, hela ipo sana ila ukileta za TZ za kimazoea zoea wakatwa kichwa kule, kufika kule tafuta tu habari za mtandaoni, ukiwa na ujuzi wa maana na vyeti vyake itakuwa poa zaidi...
 
Ni nchi inayofuata sheria za Kiislamu, Sharia Law, per se, wanamafuta sana kama Qatar, hela ipo sana ila ukileta za TZ za kimazoea zoea wakatwa kichwa kule, kufika kule tafuta tu habari za mtandaoni, ukiwa na ujuzi wa maana na vyeti vyake itakuwa poa zaidi...
Ahsante mkuu kwa uzoefu wako

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa alikaa huko aliwai kunambia yeye anapenda kutembe kwenda kazini lakini ilikuwa kero kila hatua kadhaa gari inafunga break kumuuliza kama anataka msaada maana huko ni kitu cha ajabu mtu kutembea. Anasema wako juu sana ila magonjwa yasiyoambukizwa yako juu pia sababu ya life style. Huyu jamaa yeye ni mwingereza mwenye asili ya pakistan nadhani ndio maana ilikuwa rahisi kwake kufanya kazi huko
Niunganishe nae mkuu anisaidie

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
8841b0aff1db5832f11915b85e71e674.jpg
......nahuyo ndie mfalme wao
Jemedari huyoo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
1. Nchi ya kiislam iko chini ya sultani, ukubwa km 5786sq ina watu 438,720 tu mpk Feb 2016

2. Free education, free health, ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiwno mkubwa wa watu na magari (1:209)

3. Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba ty hutumika kupoint kitu

4. Sultan Hassanal Bolkiah, ni wa 29 anamiliki magari zaid ya 5,000 ya kifahari;
20 Lamborghinis,
160 Porsches,
130 Rolls Royces,
360 Ferraris,
170 Jaguars,
180 BMWs,
360 Bentleys, and 530 Mercedes-Benzes.

5. 93% ya watu wote wameenda shule au wanasoma

6. Marufuku kuuza au kununua au kunywa pombe hadharani

7. Hakuna nguruwe hata 1 nchi nzima

8. Nchi pekee iliyo northern & southern Hemisphere

9. Mwaka mzima ni joto ikiwa na relative humidity ya 93% na mvua ni ya kutosha

10. Per capital income ni usd~39,970

11. Lazima kuvua viatu unapoingia nyumba yeyote ndani ya Brunei

12. Brunei ni nchi ambayo watu hawalipi kodi yeyote-tax free country

13. Sultani wa sasa bi ukoo uliotawala kwa miaka 600

#kwa_hisani_ya_google & personal visit

"Nchi yoyote corrupt huwa haikusanyi kodi" - Mwl. Nyerere
 
Back
Top Bottom