Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Weee nae bana muziki unakuona yaani unaongelea za darisalama tuuu!! kwani Wana sensera Ok Jazz Band! wewe unawajua!! haya kma haitoshi Mugumu all stars!! uliwahi kuwasikia wanapiga nyimbo za kikurya weye!Wazee mnisamehe sana, naiondoka hii ya DJ Stev B. Unajua tena source ya uzi huu promasika.com uliweka hivyo lakini nimerekebisha baada ya angalizo.
Simulizi za Maraha, viwanja na aina ya starehe za enzi hizo wengine tunazisikia vijiweni lakini nilipoona hii habari nikaona ni historia nzuri kutambuliwa na kupewa historia iliyotukuka kwa kufurahisha jamii.
Butiama Jazz Band iko mpaka leo haifi ile!