Ijue historia ya mgogoro kati ya Iran na Marekani

HABARI WATU WANGU WA NGUVU, LEO NIMERUDI KATIKA MAJUKUMU, NILITOKA NJE YA MJI KIDOGO SIKUBEBA KIPAKATO CHA KUSAIDIA KUTYPE,, BAADAE TUTAENDELEA NA HISTORIA YETU
 
SEHEMU YA KUMI
Hoja muhimu za Rais Ahmadinejad zilielekezwa kwa utawala wa G.W Bush kwamba

Hawaheshimu faragha ya wamarekani kwa kudukua mawasiliano yao ya simu

Wamewaathiri wamarekani kisaikolojia kujihisi hawapo salama ili kuhalalisha vitendo vyao haramu vya kivita sehemu mbali mbali duniani

Akahohoji pia utengenezaji wa silaha za maangamizi kwa kutumia nyuklia, kemikali na virusi vya kibaolojia, Hayo ni matumizi mabaya ya kiteknolojia,

Je vimeundwa kwa ajili ya usalama duniani ?

Kuhusu unyanyasaji wa wanawake Ahmadinejad akasema kwamba asilimia 50 ya wapigakura wao ni wanawake na wana makamu wawili wa rais ambao ni wanawake.

Pia hawana wapenzi wa jinsia moja kama marekani , “Iran hatuna hata huo msemo wa wapenzi wa jinsia moja sijui ni nani amewaambia jambo hilo” hapo akaamsha vicheko kutoka kwa wazungumzaji.

Ahmabinejad alikana kuhusika na kusaidia vikundi vya kigaidi na akaongeza kuwa hata tukio la September eleven ana mashaka nalo , kwa yeye anavyolitambua ni kwamba

“Jengo lilianguka” , akaongezea “Hata idadi ya waliokufa haikutangazwa, majina ya wahanga hayakutangazwa na lile shambulio lilitumika kama kisingizio cha kuvamia Afghanistan na Iraq”.

Zaidi ya hayo alielezea furaha yake juu ya kudorora kwa uchumi duniani akisema kuwa ni anguko la mabeberu , magharibi inasukumwa katika mwisho wake hivyo kwa Iran hiyo ni furaha kuona uchumi wa mabeberu unaisha.

Mwaka huo huo Mwezi mmoja uliopita pia alizungumza kwenye baraza la UN na kusema kwamba Utawala wa Marekani unafikia tamati hivyo viongozi wanaofuata waache kuingilia mataifa mengine na kuweka jitihada katika mambo yao ya ndani pekee.

Uchochezi, Jeuri ya kiongozi yoyote huwa inatokana na nguvu zake kijeshi na kubwa Zaidi ni Imani ya wananchi walionayo kwake , ndio maana unaweza kujionea tangu enzi hizo njia iliyonyepesi kuidhoofisha nchi ni kusababisha machafuko ya ndani , kwenye hiyo hotuba tunaweza kujionea Rais wa Iran akijitahidi kuonyesha upendo kwa wamarekani lakini wakati huo huo akiitupia lawama serikali ya Bush.

Vivyo hivyo kwa viongozi wa marekani walijitahidi kuonyesha dunia namna serikali ya Iran inavyowanyima haki wananchi wake, Hapa msomaji hautashangaa tweet ya trump juu ya kinachoendelea ndani ya Iran sasa hivi, watu wanapingana na serikali na kushinikiza viongozi wajiuzulu, hili swala linafanywa kwa ustadi wa hali ya juu na usalama wa taifa kama CIA.

Ngoja tuendelee na historia tusijikite na haya ya leo maana ni swala la muda tu , tutayafikia.

Tukiwa bado kwenye uongozi wa George W Bush hebu tuangalie hofu ya Iran kushambuliwa na marekani, mwaka 2003 Bunge la Congress marekani lilipitisha bajeti ya dola za kimarekani milioni 10 zikitaka rais azitumie katika kusaidia makundi yanayodai demokrasia nchini Iran,

makundi hayo yalikuwa yakipingana na serikali ya Iran, swala hili lilitafsiriwa na wakosoaji kama ni hatua ya kwanza ya Marekani kuvamia Iran.

Hofu ya Iran ikapelekea kuomba mazungumzo na marekani ili kukuza uhusiano wao.

Kabla hatujafika mbali Zaidi nadhani katika maneno ambalo tunayasikia sana kwenye vyombo vya habari vikizungumzia masuala ya Amani mashariki ya kati ni Kurd au wanamgambo wa kikurd.

Hili ni kabila huko Iran amboao ni wenyeji wa eneo la milima ya magharibi Asia linaloitwa Kurdistan, kabila hilo limeenea hadi kusini mwa uturuki, kaskazini magharibi ya Iran, Kaskazini ya Iraq na Syria.

Wakurdi wana chama chao kinachoitwa Kurdistan Free Life Party kwa kifupi PJAK (katika lugha ya kukurdi Partiya Jiyana Azad a Kurdastine) hiki kinajumuisha kikundi chao cha kijeshi cha mlengo wa kushoto , wanaopingana na serikali ya Iran, tangu mwaka 2004 wanapigana na serikali ya Iran kutaka jimbo lao la Kurdistan lijitawale.

Mwezi wa tatu mwaka 2006 wakurdi waliwauwa askari 24 wa Iran kupitia PJAK, ambacho kwa kipindi hicho kilikuwa kikisaidiwa na serikali ya marekani.

Iran imekuwa ikiishutumiwa na marekani kwa kuvipa silaha vikundi vya waasi vya Iraq (ikiwemo AL-QUEDA).

Kupitia ndege zisizo na rubani zinazorushwa na marekani juu ya anga la Iran , wamebaini uwepo wa kambi zinazofunza waasi wa Iraq karibu na mji mkuu wa Iran Tehran, waasi hao wamekuwa wakifundishwa mbinu za vita vya msituni, utekaji na mauaji ya kijasusi.

Hivyo taarifa zilizokusanywa na wamarekani zilithibitisha kwamba jeshi la Iran Quds force (Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps IRGC) ndilo lilikuwa likitoa mafunzo hayo kwa waasi, Zaidi ya mafunzo pia walitoa silaha , fedha pamoja na mwongozo wa namna ya kufanya ugaidi.

Vikundi hivyo vya waasi ndivyo vilivyokuwa vikishambulia wamarekani na Iraq. Hapa naomba tukumbuke kwamba jeshi hili la Iran IRGC (Quds force) lilikuwa likilea na kuwafunza waasi wa Iraq lilikuwa likiongozwa na Major General Qasem Soleimani tangu mwaka 1998 hadi mauti yalipomkuta tarehe 3 January mwaka 2020.

Tutamzungumzia Zaidi historia yetu ikifika hiki kipindi.

Kwa leo tuishie hapa , nikirudi nitaendelea na mwaka 2006 mgogoro huu ulipofikia……………………………….

SEHEMU YA 11 POST #231

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HABARI WATU WANGU WA NGUVU, LEO NIMERUDI KATIKA MAJUKUMU, NILITOKA NJE YA MJI KIDOGO SIKUBEBA KIPAKATO CHA KUSAIDIA KUTYPE,, BAADAE TUTAENDELEA NA HISTORIA YETU
Aah nimekuvulia kofia weeh chiboko yani unanikumbusha enzi za vitabu vya Willy Gamba yani kama nasoma kikosi cha kisasi hivi au Njama vile👏👏👏👊👊🔝💯🤝
 
SEHEMU YA KUMI
Hoja muhimu za Rais Ahmadinejad zilielekezwa kwa utawala wa G.W Bush kwamba

Hawaheshimu faragha ya wamarekani kwa kudukua mawasiliano yao ya simu

Wamewaathiri wamarekani kisaikolojia kujihisi hawapo salama ili kuhalalisha vitendo vyao haramu vya kivita sehemu mbali mbali duniani

Akahohoji pia utengenezaji wa silaha za maangamizi kwa kutumia nyuklia, kemikali na virusi vya kibaolojia, Hayo ni matumizi mabaya ya kiteknolojia,

Je vimeundwa kwa ajili ya usalama duniani ?

Kuhusu unyanyasaji wa wanawake Ahmadinejad akasema kwamba asilimia 50 ya wapigakura wao ni wanawake na wana makamu wawili wa rais ambao ni wanawake.

Pia hawana wapenzi wa jinsia moja kama marekani , “Iran hatuna hata huo msemo wa wapenzi wa jinsia moja sijui ni nani amewaambia jambo hilo” hapo akaamsha vicheko kutoka kwa wazungumzaji.

Ahmabinejad alikana kuhusika na kusaidia vikundi vya kigaidi na akaongeza kuwa hata tukio la September eleven ana mashaka nalo , kwa yeye anavyolitambua ni kwamba

“Jengo lilianguka” , akaongezea “Hata idadi ya waliokufa haikutangazwa, majina ya wahanga hayakutangazwa na lile shambulio lilitumika kama kisingizio cha kuvamia Afghanistan na Iraq”.

Zaidi ya hayo alielezea furaha yake juu ya kudorora kwa uchumi duniani akisema kuwa ni anguko la mabeberu , magharibi inasukumwa katika mwisho wake hivyo kwa Iran hiyo ni furaha kuona uchumi wa mabeberu unaisha.

Mwaka huo huo Mwezi mmoja uliopita pia alizungumza kwenye baraza la UN na kusema kwamba Utawala wa Marekani unafikia tamati hivyo viongozi wanaofuata waache kuingilia mataifa mengine na kuweka jitihada katika mambo yao ya ndani pekee.

Uchochezi, Jeuri ya kiongozi yoyote huwa inatokana na nguvu zake kijeshi na kubwa Zaidi ni Imani ya wananchi walionayo kwake , ndio maana unaweza kujionea tangu enzi hizo njia iliyonyepesi kuidhoofisha nchi ni kusababisha machafuko ya ndani , kwenye hiyo hotuba tunaweza kujionea Rais wa Iran akijitahidi kuonyesha upendo kwa wamarekani lakini wakati huo huo akiitupia lawama serikali ya Bush.

Vivyo hivyo kwa viongozi wa marekani walijitahidi kuonyesha dunia namna serikali ya Iran inavyowanyima haki wananchi wake, Hapa msomaji hautashangaa tweet ya trump juu ya kinachoendelea ndani ya Iran sasa hivi, watu wanapingana na serikali na kushinikiza viongozi wajiuzulu, hili swala linafanywa kwa ustadi wa hali ya juu na usalama wa taifa kama CIA.

Ngoja tuendelee na historia tusijikite na haya ya leo maana ni swala la muda tu , tutayafikia.

Tukiwa bado kwenye uongozi wa George W Bush hebu tuangalie hofu ya Iran kushambuliwa na marekani, mwaka 2003 Bunge la Congress marekani lilipitisha bajeti ya dola za kimarekani milioni 10 zikitaka rais azitumie katika kusaidia makundi yanayodai demokrasia nchini Iran,

makundi hayo yalikuwa yakipingana na serikali ya Iran, swala hili lilitafsiriwa na wakosoaji kama ni hatua ya kwanza ya Marekani kuvamia Iran.

Hofu ya Iran ikapelekea kuomba mazungumzo na marekani ili kukuza uhusiano wao.

Kabla hatujafika mbali Zaidi nadhani katika maneno ambalo tunayasikia sana kwenye vyombo vya habari vikizungumzia masuala ya Amani mashariki ya kati ni Kurd au wanamgambo wa kikurd.

Hili ni kabila huko Iran amboao ni wenyeji wa eneo la milima ya magharibi Asia linaloitwa Kurdistan, kabila hilo limeenea hadi kusini mwa uturuki, kaskazini magharibi ya Iran, Kaskazini ya Iraq na Syria.

Wakurdi wana chama chao kinachoitwa Kurdistan Free Life Party kwa kifupi PJAK (katika lugha ya kukurdi Partiya Jiyana Azad a Kurdastine) hiki kinajumuisha kikundi chao cha kijeshi cha mlengo wa kushoto , wanaopingana na serikali ya Iran, tangu mwaka 2004 wanapigana na serikali ya Iran kutaka jimbo lao la Kurdistan lijitawale.

Mwezi wa tatu mwaka 2006 wakurdi waliwauwa askari 24 wa Iran kupitia PJAK, ambacho kwa kipindi hicho kilikuwa kikisaidiwa na serikali ya marekani.

Iran imekuwa ikiishutumiwa na marekani kwa kuvipa silaha vikundi vya waasi vya Iraq (ikiwemo AL-QUEDA).

Kupitia ndege zisizo na rubani zinazorushwa na marekani juu ya anga la Iran , wamebaini uwepo wa kambi zinazofunza waasi wa Iraq karibu na mji mkuu wa Iran Tehran, waasi hao wamekuwa wakifundishwa mbinu za vita vya msituni, utekaji na mauaji ya kijasusi.

Hivyo taarifa zilizokusanywa na wamarekani zilithibitisha kwamba jeshi la Iran Quds force (Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps IRGC) ndilo lilikuwa likitoa mafunzo hayo kwa waasi, Zaidi ya mafunzo pia walitoa silaha , fedha pamoja na mwongozo wa namna ya kufanya ugaidi.

Vikundi hivyo vya waasi ndivyo vilivyokuwa vikishambulia wamarekani na Iraq. Hapa naomba tukumbuke kwamba jeshi hili la Iran IRGC (Quds force) lilikuwa likilea na kuwafunza waasi wa Iraq lilikuwa likiongozwa na Major General Qasem Soleimani tangu mwaka 1998 hadi mauti yalipomkuta tarehe 3 January mwaka 2020.

Tutamzungumzia Zaidi historia yetu ikifika hiki kipindi.

Kwa leo tuishie hapa , nikirudi nitaendelea na mwaka 2006 mgogoro huu ulipofikia……………………………….

Sent using Jamii Forums mobile app

Shusha nondo boss, ila usituweke sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Vikwazo , vikwazo ndio kimbilio la kumwadabisha mwenye uhitaji ili aweze kufanya lile jambo unalohitaji akufanyie, Wachungaji wanaelewa hili maana hawaishi kusikia vikwazo vya mama kwa baba mwenye nyumba , utasikia mtu mzima akilalamika hapewi unyumba, hivyo ni vikwazo pia katika kumshinikiza mume afanye jambo fulani.

Hapo zamani ilikuwa kuhimiza ulipe deni lao , tanesco wanakuja kukukatia umeme, Basi vikwazo vinaweza kugawanywa katika Nyanja mbalimbali lakini cha muhimu Zaidi ni kile kikwazo cha kiuchumi ngazi ya kimataifa.

Marekani alikuwa akishinikiza Iran kuwekewa vikwazo kimataifa juu ya mradi wake wa kutengeneza mabomu ya nyuklia, hii ni sababu marekani alikuwa akimtuhumu Iran kutoa msaada wa silaha na fedha kwa vikundi vya wanamgambo wa kishia huko Iraq. Iran walikuwa wakikanusha taarifa hizo.

Tarehe 8 mwezi wa tisa mwaka 2006 serikali yta marekani iliiwekea vikwazo Benki ya Iran, kikwazo hicho ilikuwa ni kutofanya mahusiano yoyote ya kifedha/kibiashara na taasisi zote za marekani, hii ilitokana na tuhuma kwa benki hiyo kuhusika katika kupeleka fedha kwa vikundi vya kigaidi, ikiwemo kiasi cha shilingi bilioni 120 kwenda katika kikundi cha Hezbollah.

Kufuatia katazo hilo marekani iliona bado kuna mianya ya Iran kutumia taasisi za ulaya hivyo wakaahidi kushawishi taasisi za kifedha za ulaya kuacha kufanya biashara na Benk ya Iran.

Mwaka 2007 Marekani ilivamia ofisi za ushirika wa Iran katika mji wa Erbil, Iraq ofisi hizo zilikuwa katika hatua za awali kuelekea kuwa ubalozi kamili wa Iran nchini Iraq. Katika uvamizi huo Marekani walitegemea kuwakamata maafisa wa ngazi za juu wa Iran lakini waliishia kuwakamata wanadiplomasia watano wa hadhi ya kati.

Ofisi hiyo wamarekani waliishukiwa kuwa inatumika kama makao makuu ya Jeshi la IRGC (kilichokuwa kikiongozwa na Jenerali Soleiman) , lakini hilo lilipingwa vikali na serikali ya Iran pamoja na wanamgambo wa Kukurdi kwa kusema ilikuwa ni ofisi ya kidiplomasia.

Wamarekani walivamia ofisi hiyo kibabe sana wakiwa na helikopta zao kuzunguka jengo, wakavunja geti , waliwajeruhi walinzi waliowakuta na kunyakua nyaraka zote kasha kokomea nazo , hawa jamaa ni wababe sana wakikuwahi.

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi alizungumzia uvamizi huo kama ni kitendo kisichovumilika maana kilikuwa kinapingana na makubaliano yaliofikiwa Jijini Vienna juu ya ulinzi wa kidiplomasia na ubalozi.

Wamarekani wenyewe katika vuguvugu lao la kisiasa la ndani walihoji swala hilo na kupelekea senator Joe Biden (Democratic member ambaye alikuja kuwa makamu wa rais kipindi cha Obama) kusema serikali haikuwa na mamlaka ya kufanya hivyo na kuandika barua kuomba ikulu itolee maelezo kitendo hicho.

Kwa upande wa Iran waliandika barua Iraq kuitaka waikataze marekani kuingilia mahusiano yao, Hapo wanadiplomasia wa Iran waliokamatwa katika uvamizi huo walishikiliwa kwa siku 305 pamoja na baadhi ya wananchi waliokuwa wakiishi karibu na jengo hilo, Maafisa wa marekani walidai kuwa walikuwa wakiwaachia mateka hao mmoja mmoja baada ya kupitia taarifa zao kwa kina na kuthibitisha kuwa sio tishio kwa Iraq.

Hadi tunaposoma uzi huu bado kuna wanadiplomasia wa Iran wanashikiliwa na marekani.

Kuna baadhi ya vikaov vilifanyika Baghdad katika ya wanadiplomasia wa Iran na marekani ambavyo vilirudisha matumaini ya mapatano kati ya nchi hizi , mbili, hiyo ilikuwa juu ya mradi wa nyuklia wa Iran , mwaka 2009 Gazeti la New York Times liliripoti kwamba marekani iligomea mpango wa Israel kushambulia kinu chao kikuu cha nyuklia.

Kwa ufupi tunaweza kusema utawala huu wa Bush ulikuwa wa kimabavu nah ii ni ishara ya wazi kuwa Republican wanatumia ubabe Zaidi katika jitihada za kutatua mgogoro huu huku upande wa Democratic ukitumia diplomasia.

Tumtazama huyu mtanzania mwenzetu aliyehamishiwa Kenya wakati chimbuko likiwa bado kiunoni kwa mababu zake wakati wanavuka mpaka na kuingia Kenya , hapa namzungumzia Rais mstaafu wa Marekani Barrack Hussein Obama aliyetawala marekani kuanzia mwaka 2009 hadi 2017.

Siku mbili tu baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa Rais wa Iran alituma ujumbe wa pongezi kwa Rais mteule wa Marekani tangu mwaka 1979, hapo aliongezea ujumbe kwamba “Iran inakaribisha mabadiliko ya haki na msingi katika sera na mienendo ya marekani, Natumaini utapendelea maslahi ya umma na haki katika matakwa ya kibinafsi yasio na mwisho ya watu wachache kwenye kuhudumia watu ili ukumbukwe katika mema”.

Katika hotuba yake baada ya kuapishwa Rais Obama alisema

“ Kwa waislamu ulimwenguni, tunatafuta njia mpya kwa kuzingatia matakwa ya pande zote mbili na heshima kwa pande zote. Kwa wale viongozi duniani ambao wanatafuta kuvuna migogoro au kulaumu maradhi ya jamii zao juu ya magharibi – tambueni watu wenu watawahukumu kwa kile mnachokijenga na sio kwa kile mnachokibomoa. Kwa wale wanaoingia madarakani kupitia rushwa, udanganyifu na kunyamazisha wapinzani , tambueni kwamba mpo katika upande mbaya wa historia, ila tutanyoosha mkono kama hampo tayari kukunjua ngumi zenu”

Tutaendelea Baadae na historia hii, kahotuba ako kadogo ka Obama ndio kalikuwa kama sehemu ya kumuondoa Rais wa Libya.

SEHEMU YA KUMI NA MBILI POST #232

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Rais Ahmadinejad aliorodhesha malamiko waliokuwa nayo kuanzia mapinduzi ya mwaka 1953, msaada wa marekani kwa Saddam Hussein kipindi cha vita ya Iran na Iraq pamoja na ndege yao kudunguliwa Iran Air Flight 655.

Mwezi wa tatu mwaka 2009 Waigizaji wa Hollywood na watengeneza filamu walipanga kukutana na wenzao wa Iran Jijini Tehran kama ishara ya kukuza uhusiano wa nchi zao lakini Iran walikataa na kusema “Wawakilishi katika sekta ya filamu wa Iran watakutana na wenzao wa Holywood kama wataomba radhi kwa unyanyasaji na tuhuma dhidi ya watu wa Iran kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita”

19/03/2019 wakati wa sikukuu za Nowruz (Sherehe za mwaka mpya wa Iran au Persia) , Rais Obama alitoa hotuba moja moja kwa watu wa Iran katika video akisema, “Marekani inataka Serikali ya Jamhuri ya kiislamu ya Iran ichukue nafasi yake inayostahili katika jumuiya za mataifa. Mna haki hiyo lakini inakuja na majukumu stahiki”.

Kama nilivyoeleza hapo awali kuwa kuna wanadiplomasia wa Iran walikuwa wakishikiliwa na Marekani pia kuna wamarekani walikuwa wakishikiliwa na Iran , mwanamama Roxana Saberi ambaye alikuwa mwanahabari nchini Iran alihukumiwa kwa kuifanyia kazi ya upelelezi serikali ya marekani nchini Iran , mwanamama huyo alikuwa na uraia wanchi hizo mbili ingawa kwa kuzaliwa alizaliwa nchini Iran , baada ya kukaa jela kwa miezi minne aliachiliwa na mashtaka yake kufutwa.

Kuachiwa kwa mwanamama huyo kulionekana kama ni sehemu ya dili la marekani na Iran kwani miezi miwili baadae wanadiplomasia watano wa Iran wakaachiwa huru na marekani , Hawa ni sehemu ya wale waliochukuliwa katika uvamizi kule Iraq tangu 2007. Ingawa serikali ya marekani ilikataa kukiri kama hiyo ni sehemu ya dili lao na Iran ila ilikuwa ni kwa usalama kati ya Marekani na Iraq.

Mwaka 2009 mwezi wa sita kilikuwa ni kipindi cha uchaguzi wa Iran Obama alisema “Tunasisimka kuona kile kinachoonekana kuwa ni mjadala wenye nguvu huko Iran”. Uchaguzi huo Ahmadinejad alipata ushindi kwa mbinde ambayo ilipelekea tuhuma za udanganyifu na maandamano nchini kwao, Serikali ya marekani ilionyesha kusikitishwa na ubakaji mkubwa wa demokrasia nchini humo.
Hao ndio wale wanaoonyesha kuguswa na nyumba za jirani , wao ndio husikitishwa na unyanyasaji wa raia katika nchi nyingine duniani , wanaojiona ni wakombozi wa dunia kwamba wanaweza kugusa popote hata kulitetea jimbo la HongkONG china, lakini hatujawahi kusikia akiingilia mgogoro wa Catalonia kule uhispania.
Katika mwendelezo wa mgogoro kati ya nchi hizo mbili , mwaka 2009 mwezi wa saba wapanda mlima watatu wa marekani walikamatwa na Iran baada ya kuvuka mpaka bahati mbaya kutokea Iraq eneo la wakurdi. Hawa jamaa nao , kiusalama ilikuwa lazima wakamatwe yaani katika sehemu zote za kufanya hiking duniani wao wameona wakafanye mpakani mwa Iraq na Iran , then wavuke bahati mbaya kuingia Iran. Hapo tunasema kuna namna tu.

Katika hali isiyo ya kawaida mwanasayansi wa Nyuklia wa Iran Shahram Amiri alipotea mwezi wa tano mwaka 2009 na serikali ya Iran ikaishutumu marekani kwamba imemteka mwanasayansi huyo. Tarehe 13/07/2010 shirika la habari la BBC likaripoti kwamba Amiri alikuwa amejihifadhi kama mkimbizi katika Protecting power ya Iran nchini marekani (Pakistan Embassy) Washington DC, anatafuta msaada wa kurudi nchini kwake. Baada ya kufanikiwa kurudi Iran , alihukumiwa kwenda jela miaka 10 , mwezi wa nane mwaka 2016 iliripotiwa kuwa ameuawa sababu ya uhaini.

Mwaka 2011 mwezi disemba ndege isiyo na rubani ya marekani ilikamtwa na jeshi la Iran karibu na jimbo la kashmar, ndege hiyo (drone) ilikuwa ikiongozwa na CIA katika kufanya upelelezi ndani ya Iran, Iran walilalamika kwamba ndege hiyo haikuruka ndani ya anga lao pekee bali ilitua kabisa katika ardhi ya Iran. Mwanzo wamarekani walikataa na kudai droni hiyo ilipata hitilafu na kuanguaka kwa bahati mbaya ndani ya Iran, baadae ilibidi wakiri baada ya mkanda wa video ulivyoonyesha ndege mwenendo wa ndege kabla ya kukamatwa hiyo kwenye runinga.
Baada ya kisanga hicho Iran hawakulaza damu , kama tunavyojua kwenye bahari kuna mipaka ya nchi kama ilivyo anga, na pia kuna sehemu za bahari zinatumika kimataifa (International water) kama ilivyo katika anga, sasa Iran akitoka nje ya mpaka wake baharini na kuingia kwenye Internationa waters hakuacha drone ya marekani ilete mbwembwe, alikuwa akidhamiria kuidungua tu kwa makombora, hii ilikuwa disemba 2011 wapojaribu kupiga drone ya marekani , drone ilikwepa mabomu na kuanza kurejea kwenye base yake kwa mtingi wa Aerial loops (kama zigzag ya spring) huku akifukuzwa na ndege ya Iran. Iran wakaambulia patupu.
Hilo lilizaa kuogopana , vitisho na hofu katika ghuba ya Persia kati ya marekani na Iran.

Mwaka 2013 rais Hassan Rouhan alitwaa kiti hicho huko Iran na kuleta matumaini mapya ya nchi hizo kujaribu kukuza uhusiano wao baada ya Ahmadinejad alitembelea new York kutoa hotuba katika kikao cha umoja wa mataifa, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake alisema yupo tayari kufanya biashara na magharibi , kama kutoa ishara ya kumjibu serikali ya Obama ikaanika ushiriki wa CIA katika kuipindua serikali ya Mohhamad Mosaddegh mwaka 1953. Obama alituma maombi ya kuonana na Rouhani lakini ombi hilo lilikataliwa.

Itaendelea………………………………………………….

Naona uzi umepoa baada ya wadau kuona hamna vita na comment zimepotea.

SEHEMU YA KUMI NA TATU POST #243



Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Rais Ahmadinejad aliorodhesha malamiko waliokuwa nayo kuanzia mapinduzi ya mwaka 1953, msaada wa marekani kwa Saddam Hussein kipindi cha vita ya Iran na Iraq pamoja na ndege yao kudunguliwa Iran Air Flight 655.

Mwezi wa tatu mwaka 2009 Waigizaji wa Hollywood na watengeneza filamu walipanga kukutana na wenzao wa Iran Jijini Tehran kama ishara ya kukuza uhusiano wa nchi zao lakini Iran walikataa na kusema “Wawakilishi katika sekta ya filamu wa Iran watakutana na wenzao wa Holywood kama wataomba radhi kwa unyanyasaji na tuhuma dhidi ya watu wa Iran kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita”

19/03/2019 wakati wa sikukuu za Nowruz (Sherehe za mwaka mpya wa Iran au Persia) , Rais Obama alitoa hotuba moja moja kwa watu wa Iran katika video akisema, “Marekani inataka Serikali ya Jamhuri ya kiislamu ya Iran ichukue nafasi yake inayostahili katika jumuiya za mataifa. Mna haki hiyo lakini inakuja na majukumu stahiki”.

Kama nilivyoeleza hapo awali kuwa kuna wanadiplomasia wa Iran walikuwa wakishikiliwa na Marekani pia kuna wamarekani walikuwa wakishikiliwa na Iran , mwanamama Roxana Saberi ambaye alikuwa mwanahabari nchini Iran alihukumiwa kwa kuifanyia kazi ya upelelezi serikali ya marekani nchini Iran , mwanamama huyo alikuwa na uraia wanchi hizo mbili ingawa kwa kuzaliwa alizaliwa nchini Iran , baada ya kukaa jela kwa miezi minne aliachiliwa na mashtaka yake kufutwa.

Kuachiwa kwa mwanamama huyo kulionekana kama ni sehemu ya dili la marekani na Iran kwani miezi miwili baadae wanadiplomasia watano wa Iran wakaachiwa huru na marekani , Hawa ni sehemu ya wale waliochukuliwa katika uvamizi kule Iraq tangu 2007. Ingawa serikali ya marekani ilikataa kukiri kama hiyo ni sehemu ya dili lao na Iran ila ilikuwa ni kwa usalama kati ya Marekani na Iraq.

Mwaka 2009 mwezi wa sita kilikuwa ni kipindi cha uchaguzi wa Iran Obama alisema “Tunasisimka kuona kile kinachoonekana kuwa ni mjadala wenye nguvu huko Iran”. Uchaguzi huo Ahmadinejad alipata ushindi kwa mbinde ambayo ilipelekea tuhuma za udanganyifu na maandamano nchini kwao, Serikali ya marekani ilionyesha kusikitishwa na ubakaji mkubwa wa demokrasia nchini humo.
Hao ndio wale wanaoonyesha kuguswa na nyumba za jirani , wao ndio husikitishwa na unyanyasaji wa raia katika nchi nyingine duniani , wanaojiona ni wakombozi wa dunia kwamba wanaweza kugusa popote hata kulitetea jimbo la HongkONG china, lakini hatujawahi kusikia akiingilia mgogoro wa Catalonia kule uhispania.
Katika mwendelezo wa mgogoro kati ya nchi hizo mbili , mwaka 2009 mwezi wa saba wapanda mlima watatu wa marekani walikamatwa na Iran baada ya kuvuka mpaka bahati mbaya kutokea Iraq eneo la wakurdi. Hawa jamaa nao , kiusalama ilikuwa lazima wakamatwe yaani katika sehemu zote za kufanya hiking duniani wao wameona wakafanye mpakani mwa Iraq na Iran , then wavuke bahati mbaya kuingia Iran. Hapo tunasema kuna namna tu.

Katika hali isiyo ya kawaida mwanasayansi wa Nyuklia wa Iran Shahram Amiri alipotea mwezi wa tano mwaka 2009 na serikali ya Iran ikaishutumu marekani kwamba imemteka mwanasayansi huyo. Tarehe 13/07/2010 shirika la habari la BBC likaripoti kwamba Amiri alikuwa amejihifadhi kama mkimbizi katika Protecting power ya Iran nchini marekani (Pakistan Embassy) Washington DC, anatafuta msaada wa kurudi nchini kwake. Baada ya kufanikiwa kurudi Iran , alihukumiwa kwenda jela miaka 10 , mwezi wa nane mwaka 2016 iliripotiwa kuwa ameuawa sababu ya uhaini.

Mwaka 2011 mwezi disemba ndege isiyo na rubani ya marekani ilikamtwa na jeshi la Iran karibu na jimbo la kashmar, ndege hiyo (drone) ilikuwa ikiongozwa na CIA katika kufanya upelelezi ndani ya Iran, Iran walilalamika kwamba ndege hiyo haikuruka ndani ya anga lao pekee bali ilitua kabisa katika ardhi ya Iran. Mwanzo wamarekani walikataa na kudai droni hiyo ilipata hitilafu na kuanguaka kwa bahati mbaya ndani ya Iran, baadae ilibidi wakiri baada ya mkanda wa video ulivyoonyesha ndege mwenendo wa ndege kabla ya kukamatwa hiyo kwenye runinga.
Baada ya kisanga hicho Iran hawakulaza damu , kama tunavyojua kwenye bahari kuna mipaka ya nchi kama ilivyo anga, na pia kuna sehemu za bahari zinatumika kimataifa (International water) kama ilivyo katika anga, sasa Iran akitoka nje ya mpaka wake baharini na kuingia kwenye Internationa waters hakuacha drone ya marekani ilete mbwembwe, alikuwa akidhamiria kuidungua tu kwa makombora, hii ilikuwa disemba 2011 wapojaribu kupiga drone ya marekani , drone ilikwepa mabomu na kuanza kurejea kwenye base yake kwa mtingi wa Aerial loops (kama zigzag ya spring) huku akifukuzwa na ndege ya Iran. Iran wakaambulia patupu.
Hilo lilizaa kuogopana , vitisho na hofu katika ghuba ya Persia kati ya marekani na Iran.

Mwaka 2013 rais Hassan Rouhan alitwaa kiti hicho huko Iran na kuleta matumaini mapya ya nchi hizo kujaribu kukuza uhusiano wao baada ya Ahmadinejad alitembelea new York kutoa hotuba katika kikao cha umoja wa mataifa, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake alisema yupo tayari kufanya biashara na magharibi , kama kutoa ishara ya kumjibu serikali ya Obama ikaanika ushiriki wa CIA katika kuipindua serikali ya Mohhamad Mosaddegh mwaka 1953. Obama alituma maombi ya kuonana na Rouhani lakini ombi hilo lilikataliwa.

Itaendelea………………………………………………….

Naona uzi umepoa baada ya wadau kuona hamna vita na comment zimepotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo pamoja mzee wa kazi mwaga maji tuu. Tunaenda vzr yani 🤝💯🔝👊👏
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Rais Ahmadinejad aliorodhesha malamiko waliokuwa nayo kuanzia mapinduzi ya mwaka 1953, msaada wa marekani kwa Saddam Hussein kipindi cha vita ya Iran na Iraq pamoja na ndege yao kudunguliwa Iran Air Flight 655.

Mwezi wa tatu mwaka 2009 Waigizaji wa Hollywood na watengeneza filamu walipanga kukutana na wenzao wa Iran Jijini Tehran kama ishara ya kukuza uhusiano wa nchi zao lakini Iran walikataa na kusema “Wawakilishi katika sekta ya filamu wa Iran watakutana na wenzao wa Holywood kama wataomba radhi kwa unyanyasaji na tuhuma dhidi ya watu wa Iran kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita”

19/03/2019 wakati wa sikukuu za Nowruz (Sherehe za mwaka mpya wa Iran au Persia) , Rais Obama alitoa hotuba moja moja kwa watu wa Iran katika video akisema, “Marekani inataka Serikali ya Jamhuri ya kiislamu ya Iran ichukue nafasi yake inayostahili katika jumuiya za mataifa. Mna haki hiyo lakini inakuja na majukumu stahiki”.

Kama nilivyoeleza hapo awali kuwa kuna wanadiplomasia wa Iran walikuwa wakishikiliwa na Marekani pia kuna wamarekani walikuwa wakishikiliwa na Iran , mwanamama Roxana Saberi ambaye alikuwa mwanahabari nchini Iran alihukumiwa kwa kuifanyia kazi ya upelelezi serikali ya marekani nchini Iran , mwanamama huyo alikuwa na uraia wanchi hizo mbili ingawa kwa kuzaliwa alizaliwa nchini Iran , baada ya kukaa jela kwa miezi minne aliachiliwa na mashtaka yake kufutwa.

Kuachiwa kwa mwanamama huyo kulionekana kama ni sehemu ya dili la marekani na Iran kwani miezi miwili baadae wanadiplomasia watano wa Iran wakaachiwa huru na marekani , Hawa ni sehemu ya wale waliochukuliwa katika uvamizi kule Iraq tangu 2007. Ingawa serikali ya marekani ilikataa kukiri kama hiyo ni sehemu ya dili lao na Iran ila ilikuwa ni kwa usalama kati ya Marekani na Iraq.

Mwaka 2009 mwezi wa sita kilikuwa ni kipindi cha uchaguzi wa Iran Obama alisema “Tunasisimka kuona kile kinachoonekana kuwa ni mjadala wenye nguvu huko Iran”. Uchaguzi huo Ahmadinejad alipata ushindi kwa mbinde ambayo ilipelekea tuhuma za udanganyifu na maandamano nchini kwao, Serikali ya marekani ilionyesha kusikitishwa na ubakaji mkubwa wa demokrasia nchini humo.
Hao ndio wale wanaoonyesha kuguswa na nyumba za jirani , wao ndio husikitishwa na unyanyasaji wa raia katika nchi nyingine duniani , wanaojiona ni wakombozi wa dunia kwamba wanaweza kugusa popote hata kulitetea jimbo la HongkONG china, lakini hatujawahi kusikia akiingilia mgogoro wa Catalonia kule uhispania.
Katika mwendelezo wa mgogoro kati ya nchi hizo mbili , mwaka 2009 mwezi wa saba wapanda mlima watatu wa marekani walikamatwa na Iran baada ya kuvuka mpaka bahati mbaya kutokea Iraq eneo la wakurdi. Hawa jamaa nao , kiusalama ilikuwa lazima wakamatwe yaani katika sehemu zote za kufanya hiking duniani wao wameona wakafanye mpakani mwa Iraq na Iran , then wavuke bahati mbaya kuingia Iran. Hapo tunasema kuna namna tu.

Katika hali isiyo ya kawaida mwanasayansi wa Nyuklia wa Iran Shahram Amiri alipotea mwezi wa tano mwaka 2009 na serikali ya Iran ikaishutumu marekani kwamba imemteka mwanasayansi huyo. Tarehe 13/07/2010 shirika la habari la BBC likaripoti kwamba Amiri alikuwa amejihifadhi kama mkimbizi katika Protecting power ya Iran nchini marekani (Pakistan Embassy) Washington DC, anatafuta msaada wa kurudi nchini kwake. Baada ya kufanikiwa kurudi Iran , alihukumiwa kwenda jela miaka 10 , mwezi wa nane mwaka 2016 iliripotiwa kuwa ameuawa sababu ya uhaini.

Mwaka 2011 mwezi disemba ndege isiyo na rubani ya marekani ilikamtwa na jeshi la Iran karibu na jimbo la kashmar, ndege hiyo (drone) ilikuwa ikiongozwa na CIA katika kufanya upelelezi ndani ya Iran, Iran walilalamika kwamba ndege hiyo haikuruka ndani ya anga lao pekee bali ilitua kabisa katika ardhi ya Iran. Mwanzo wamarekani walikataa na kudai droni hiyo ilipata hitilafu na kuanguaka kwa bahati mbaya ndani ya Iran, baadae ilibidi wakiri baada ya mkanda wa video ulivyoonyesha ndege mwenendo wa ndege kabla ya kukamatwa hiyo kwenye runinga.
Baada ya kisanga hicho Iran hawakulaza damu , kama tunavyojua kwenye bahari kuna mipaka ya nchi kama ilivyo anga, na pia kuna sehemu za bahari zinatumika kimataifa (International water) kama ilivyo katika anga, sasa Iran akitoka nje ya mpaka wake baharini na kuingia kwenye Internationa waters hakuacha drone ya marekani ilete mbwembwe, alikuwa akidhamiria kuidungua tu kwa makombora, hii ilikuwa disemba 2011 wapojaribu kupiga drone ya marekani , drone ilikwepa mabomu na kuanza kurejea kwenye base yake kwa mtingi wa Aerial loops (kama zigzag ya spring) huku akifukuzwa na ndege ya Iran. Iran wakaambulia patupu.
Hilo lilizaa kuogopana , vitisho na hofu katika ghuba ya Persia kati ya marekani na Iran.

Mwaka 2013 rais Hassan Rouhan alitwaa kiti hicho huko Iran na kuleta matumaini mapya ya nchi hizo kujaribu kukuza uhusiano wao baada ya Ahmadinejad alitembelea new York kutoa hotuba katika kikao cha umoja wa mataifa, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake alisema yupo tayari kufanya biashara na magharibi , kama kutoa ishara ya kumjibu serikali ya Obama ikaanika ushiriki wa CIA katika kuipindua serikali ya Mohhamad Mosaddegh mwaka 1953. Obama alituma maombi ya kuonana na Rouhani lakini ombi hilo lilikataliwa.

Itaendelea………………………………………………….

Naona uzi umepoa baada ya wadau kuona hamna vita na comment zimepotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haijapoa... Ila hii ya kusoma na kutafakali zaid...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Rais Ahmadinejad aliorodhesha malamiko waliokuwa nayo kuanzia mapinduzi ya mwaka 1953, msaada wa marekani kwa Saddam Hussein kipindi cha vita ya Iran na Iraq pamoja na ndege yao kudunguliwa Iran Air Flight 655.

Mwezi wa tatu mwaka 2009 Waigizaji wa Hollywood na watengeneza filamu walipanga kukutana na wenzao wa Iran Jijini Tehran kama ishara ya kukuza uhusiano wa nchi zao lakini Iran walikataa na kusema “Wawakilishi katika sekta ya filamu wa Iran watakutana na wenzao wa Holywood kama wataomba radhi kwa unyanyasaji na tuhuma dhidi ya watu wa Iran kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita”

19/03/2019 wakati wa sikukuu za Nowruz (Sherehe za mwaka mpya wa Iran au Persia) , Rais Obama alitoa hotuba moja moja kwa watu wa Iran katika video akisema, “Marekani inataka Serikali ya Jamhuri ya kiislamu ya Iran ichukue nafasi yake inayostahili katika jumuiya za mataifa. Mna haki hiyo lakini inakuja na majukumu stahiki”.

Kama nilivyoeleza hapo awali kuwa kuna wanadiplomasia wa Iran walikuwa wakishikiliwa na Marekani pia kuna wamarekani walikuwa wakishikiliwa na Iran , mwanamama Roxana Saberi ambaye alikuwa mwanahabari nchini Iran alihukumiwa kwa kuifanyia kazi ya upelelezi serikali ya marekani nchini Iran , mwanamama huyo alikuwa na uraia wanchi hizo mbili ingawa kwa kuzaliwa alizaliwa nchini Iran , baada ya kukaa jela kwa miezi minne aliachiliwa na mashtaka yake kufutwa.

Kuachiwa kwa mwanamama huyo kulionekana kama ni sehemu ya dili la marekani na Iran kwani miezi miwili baadae wanadiplomasia watano wa Iran wakaachiwa huru na marekani , Hawa ni sehemu ya wale waliochukuliwa katika uvamizi kule Iraq tangu 2007. Ingawa serikali ya marekani ilikataa kukiri kama hiyo ni sehemu ya dili lao na Iran ila ilikuwa ni kwa usalama kati ya Marekani na Iraq.

Mwaka 2009 mwezi wa sita kilikuwa ni kipindi cha uchaguzi wa Iran Obama alisema “Tunasisimka kuona kile kinachoonekana kuwa ni mjadala wenye nguvu huko Iran”. Uchaguzi huo Ahmadinejad alipata ushindi kwa mbinde ambayo ilipelekea tuhuma za udanganyifu na maandamano nchini kwao, Serikali ya marekani ilionyesha kusikitishwa na ubakaji mkubwa wa demokrasia nchini humo.
Hao ndio wale wanaoonyesha kuguswa na nyumba za jirani , wao ndio husikitishwa na unyanyasaji wa raia katika nchi nyingine duniani , wanaojiona ni wakombozi wa dunia kwamba wanaweza kugusa popote hata kulitetea jimbo la HongkONG china, lakini hatujawahi kusikia akiingilia mgogoro wa Catalonia kule uhispania.
Katika mwendelezo wa mgogoro kati ya nchi hizo mbili , mwaka 2009 mwezi wa saba wapanda mlima watatu wa marekani walikamatwa na Iran baada ya kuvuka mpaka bahati mbaya kutokea Iraq eneo la wakurdi. Hawa jamaa nao , kiusalama ilikuwa lazima wakamatwe yaani katika sehemu zote za kufanya hiking duniani wao wameona wakafanye mpakani mwa Iraq na Iran , then wavuke bahati mbaya kuingia Iran. Hapo tunasema kuna namna tu.

Katika hali isiyo ya kawaida mwanasayansi wa Nyuklia wa Iran Shahram Amiri alipotea mwezi wa tano mwaka 2009 na serikali ya Iran ikaishutumu marekani kwamba imemteka mwanasayansi huyo. Tarehe 13/07/2010 shirika la habari la BBC likaripoti kwamba Amiri alikuwa amejihifadhi kama mkimbizi katika Protecting power ya Iran nchini marekani (Pakistan Embassy) Washington DC, anatafuta msaada wa kurudi nchini kwake. Baada ya kufanikiwa kurudi Iran , alihukumiwa kwenda jela miaka 10 , mwezi wa nane mwaka 2016 iliripotiwa kuwa ameuawa sababu ya uhaini.

Mwaka 2011 mwezi disemba ndege isiyo na rubani ya marekani ilikamtwa na jeshi la Iran karibu na jimbo la kashmar, ndege hiyo (drone) ilikuwa ikiongozwa na CIA katika kufanya upelelezi ndani ya Iran, Iran walilalamika kwamba ndege hiyo haikuruka ndani ya anga lao pekee bali ilitua kabisa katika ardhi ya Iran. Mwanzo wamarekani walikataa na kudai droni hiyo ilipata hitilafu na kuanguaka kwa bahati mbaya ndani ya Iran, baadae ilibidi wakiri baada ya mkanda wa video ulivyoonyesha ndege mwenendo wa ndege kabla ya kukamatwa hiyo kwenye runinga.
Baada ya kisanga hicho Iran hawakulaza damu , kama tunavyojua kwenye bahari kuna mipaka ya nchi kama ilivyo anga, na pia kuna sehemu za bahari zinatumika kimataifa (International water) kama ilivyo katika anga, sasa Iran akitoka nje ya mpaka wake baharini na kuingia kwenye Internationa waters hakuacha drone ya marekani ilete mbwembwe, alikuwa akidhamiria kuidungua tu kwa makombora, hii ilikuwa disemba 2011 wapojaribu kupiga drone ya marekani , drone ilikwepa mabomu na kuanza kurejea kwenye base yake kwa mtingi wa Aerial loops (kama zigzag ya spring) huku akifukuzwa na ndege ya Iran. Iran wakaambulia patupu.
Hilo lilizaa kuogopana , vitisho na hofu katika ghuba ya Persia kati ya marekani na Iran.

Mwaka 2013 rais Hassan Rouhan alitwaa kiti hicho huko Iran na kuleta matumaini mapya ya nchi hizo kujaribu kukuza uhusiano wao baada ya Ahmadinejad alitembelea new York kutoa hotuba katika kikao cha umoja wa mataifa, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake alisema yupo tayari kufanya biashara na magharibi , kama kutoa ishara ya kumjibu serikali ya Obama ikaanika ushiriki wa CIA katika kuipindua serikali ya Mohhamad Mosaddegh mwaka 1953. Obama alituma maombi ya kuonana na Rouhani lakini ombi hilo lilikataliwa.

Itaendelea………………………………………………….

Naona uzi umepoa baada ya wadau kuona hamna vita na comment zimepotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja sana mzee tunashiba nondo
 
SEHEMU YA KUMI NA TATU

Habari wandugu , tuendelee na tulipoishia baada ya Rouhan kukataa kukutana na Obama, tarehe 26 mwezi wa tisa serikali ya Iran na marekani zilifanya kikao kikubwa cha maofisa wa ngazi za juu ambacho hakikuwahi kufanyika tangu mwaka 1979.

Kikao hicho kiliongozwa na mkuu wa sera za mambo ya nje wa umoja wa ulaya Bi Catherine Ashton.
Maongezi hayo yalionekana kuleta matumaini ya kukuza uhusiano wa nchi hizo mbili, siku iliyofuatia rais Rouhani na Obama walizungumza kwa njia ya simu, hilo tukio lilikuwa la kipekee ambalo halikuwahi kutokea tangu mwaka 1979.

“Marg ba Amrika” ni maneno yaliyosikika katika jiji la Tehran wakati Rais Rouhani akiwasili jijini hapo, maneno hayo yalitoka kwenye vinywa vya waandamanaji wasiopenda mahusiano ya nchi yao na Marekani, hii ni baada ya kupata taarifa kwamba rais wao ameongea na Obama. Kwa lugha ya Persians “Marg bar Amrika” ina maanisha “Death to America” yaani “Kifo kwa marekani” au “Mauti kwa Marekani”.

Msemo huu kwa wamiliki wa lugha ya kiingereza wanaupooza makali na kuutafsiri kama “Down with America”.

Kwa upande wa Iran kuna kundi kubwa la raia wanaotamani serikali yao ijenge mahusiano mema na marekani, na hii ilionekana katika kumbukumbu ya miaka 34 ya utekaji katika ubalozi wa marekani jijini Tehran (2013-1979=34) ambapo waandamanaji hao walikusanyika katika eneo lilikuwa ubalozi wa marekani mwaka 1979 kulaana kitendo cha kuchelewesha mahisiano kati ya nchi hizo mbili ambapo wao wanaona serikali yao ndio inakwamisha.

Barack Obama mtu asiye na kinyongo au kama vitabu vya kidini vinavyotamka “mtu asiye na hila” alikuwa akiwapa watu mikono na ikatokea amepeana mkono na waiziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif katika mkutano wa Umoja wa Mataifa, hii ndio mara ya kwanza kwa rais wa marekani kushikana na mwanadiplomasia mkubwa wa Iran tangu mwaka 1979 (mwaka wa mapinduzi ya Iran), hii ilikuwa ni mwaka 2015 tarehe 28 mwezi wa 9.

Baada ya handshake katibu wa serikali wa marekani akamtambulisha Obama kwa maafisa wengine wakubwa wa Iran walioshiriki JCPOA (Iran deal utaiona aya inayofuata). Kitendo hicho cha kupeana mikono kiliwachukiza baadhi ya wabunge wa Iran na kumtaka waziri aombe radhi hadharani.

Kabla sijazungumzia Iran Nuclear Deal naomba nielezee “Kura turufu” , yaani nazungumzia nchi zenye kura turufu, ni mataifa matano duniani ambayo yana nguvu Zaidi katika maamuzi ya umoja wa mataifa , ni nchi ambao ni wajumbe wa kudumu wa baraza la Amani la umoja wa mataifa, hivyo wao ndio wanakuwa na maamuzi ya mwisho katika mada za baraza hili na wengi wakipitisha jambo linaamuliwa na kama mjumbe hakushiriki haitabatilisha uamuzi.

Hivyo Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA, or the Iran Deal) ni makubaliano ya pamoja juu ya matumizi ya nyuklia nchini Iran , waliokaa kuweka makubaliaona hayo ni Iran na zile nchi tano zenye kura turufu ukiongeza na Ujerumani, unaweza kujionea kuwa nguvu za nyuklia zinahusisha moja kwa moja baraza la Amani duniani ndio maana kikao hicho kiliitiswah , hiyo ilikuwa ni mwaka 2015 mwezi was aba tarehe 14.

Mataifa yenye kura turufu ni Marekani, Uingereza, Urusi, Ufaransa na China, katika kikao hicho aliongezeka na ujerumani bila kusahau uwakilishi wa umoja wa ulaya. Katika kikao hiki Ujerumani alikaribishwa kwa sababu kuu moja tu , alikuwa ndiye msingi wa biashara ya nyuklia huko Iran, yeye ndiye aliyekuwa kimuuzia vifaa na huduma nyinginezo. Vinu vya nyuklia Iran vinatumia softwares za kampuni ya ujerumani Siemens (Simatic WinCC step7).

Viwanda mbali mbali vya ujerumani vina matawi yake Iran na zaidi ya makampuni 12000 ya ujerumani ya wawakilishi wa biashara Iran.

Katika mkutano huo utawala wa Obama ulikubali kuwaondolea Iran vikwazo vya kiuchumi vilivyodororesha uchumi wao kwa miaka na Iran iliahidi kuachana na mpango wake wa Nyuklia na kuruhusu wakaguzi wa umoja wa mtaifa kwenda kukagua muda wowote wanaotaka.

Hivyo Iran ilikubali “Katika mazingira yoyote haitojaribu kutafuta, kutengeneza au kumiliki silaha yoyote ya nyuklia”. Ndani ya marekani mkataba huu ulikubaliwa na asilimia 50 pekee ya raia katika tafiti iliyofanywa.

Tukirudi tena tutaangalia Utawala wa Donald Trump, kuanzia 2017, kwa 2016 mgogoro huu ulikuwa wa kisheria Zaidi kwa mataifa hayo kutishia kudaiana fidia kwa matukio yaliyofanyiana katika historia lakini hamna lililotekelezwa.


Bado inaendelea…………………………………………………………..


SEHEMU YA KUMI NA NNE POST #255


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom