Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Hilo ni kaburi la Sharif na Imam mkuu wa msikiti mkubwa ulokuwepo hapo kabla ya kuingia wajerumani.
Msikiti huo ndio wa kwanza kabla ya kanisa la St Joseph pale Sokoine Drive.

Germans waliposhika hatamu za Tanganyika waliamua kujenga ofisi na nyumba zao barabara hii ya samora na sokoine.ndio mjii wa kisasa ulipoanza kujengwa.

Hivyo huu msikiti ulokuwapo hapo clock tower nao ukawa lazima uvunjwe katika master plan yao.

Wajerumani walipata upinzani mkuu kutoka jumuia ya waislam na wenyeji kuhusu kuvunjwa msikiti huo. Baadae Governor wa German Tanganyika walikubaliana kuuhamisha msikiti huo na kujengwa pale Kitumbini na kukubaliana kaburi la Sharif libaki hapo hapo kama ukumbusho kwa waloleta uislam Dar Es Salaam.

Hapa jambo moja ni kuwa hawa wajerumani walitawala Tanganyika lakini wakiheshimu mila na taratibu za wenyeji kama uchifu na Customary laws.

Pia waliheshimu tarehe za sherehe za kiislam na sheria za mahakama ya kadhi walozikuta.

Waingereza nao waliookuja waliheshemu pia waliheshimu hizi taratibu na hakuna mahali inapo onesha kuwa lilikua tatizo kuruhusu mahakama ya kadhi.

Kinachoshangaza sasa baada ya uhuru wafrika kujitawala na wakristo wafrica ambao hawakuwepo hapa dar es salam leo wamepiga marufuku Mahakama ya kadhi kwa chuki za kidini. Wale walowaletea ukristo hawakuona kuwa ni tatizo ila wao wamejenga chuki dhidi ya Waislam.

Anyway huu msikiti wa Kitumbini ulijengwa na Wajerumani kulipa ule ilokuwapo clock tower na tembelea huu msikiti uone archtect yake ilivo nzuri na kuta imara utadhani umejengwa juzi.

Chuki za kidini zimeletwa na wakuja waloingia Dar juzi kwa azimio la Arusha
Huna jipya zaidi ya udini
 
Aisee nimekunywa gahawa hapo tumekaa sana na washkaji na stress zangu za maisha hata sijui cha kaburi wala imam.
Tunapanga mipango kila mtu anaenda njia yake tukutane jioni.
Hilo kaburi si tulikua tunadhani kibaraza tu tunakalia tunapanga mipango yetu.
Kumbe ni kaburi duh🙌
 
ukweli kaburi hili wakristo wa tanzania waliichukia sana kuwepo kwa kaburi la muuislamu katika ya mji, walifanya mbinu zao zote kuliondoa na hasa walianza na mtukufu wao nyerere kutaka kuliondoa kaburi hilo. halmashauri ya jiji enzi za huyu nyerere walituma catappiller kuchimbua kaburi hilo lakini walishindwa kabisa catapiller lilishindwa kufanya kazi, walitumwa watu usiku kulibomoa na kuliondoa walipofika hapo hawakuona kaburi na wakasahau kilichowaleta na wakalala usingizi wa kufa, baada nyerere kuna kiongozi mwingine mgalatia nae alijaribu kuliondoa akashindwa, makonda nae alikuja na plani ya kuitengeneza bustani hiyo iwe ya kupendeza nae alijaribu kuondoa kaburi hilo halishindwa makonda akaona aliwekee marumaru ipendeze na akaweka viti kwenye bustani hiyo na kusafisha maana palikuwa pachafu sana, hawa masharifu wenye asili ya yemen makaburi yao hayaguswi, mfano nchini yemen mji wao mkuu ADEN katikati ya mji kuna kaburi tena lipo barabarani, waigereza walijaribu kuliondoa hilo kaburi ili wapitishe two way ya kupita magari walishindwa walitengeneza two way lakini ilipofika kwenye kaburi barabara ikapindishwe kuikwepa kaburi mpaka leo lipo katikati ya barabara,
 
Uislamu nijuavyo ulianzia kule Kilwa iweje huyu mtz azikwe pale? Je huko kilwa hakuna watz wa mwanzo kabisa walioamini uislamu? Kwanini waislamu hawamuenzi Imam wao wa mwanzo badala yake wanakaa kueneza udini kupitia kwa Alhaj JK mkweree?

kamuulize mama yako anajua historia ya waislamu walianzia wapi mpaka kufika wapi ww bado ni mtoto mdogo wa mwaposa
 
JE NI NANI HUYU ASIYEKUWA NA JINA?

Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya Clock Tower posta dar es salaam

Ni karibu mita 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam. Ipo bustani ya muda sana na inafikiriwa ipo hapo kama miaka 220 iliopita.

Kwanini kaburi hili liko peke yake tena katikati mwa jiji?

JE NI NANI HUYU?
FB_IMG_1691402557181.jpg
 
Nasikia hilo kaburi lilishawah kuwashangaza wale ndugu zetu weupe walitaka kulihamisha wakajikuta wanakula bakora za kutosha na kuumwa na nyuki,

Mwisho wa siku badala ya kulihamisha ikabid walijenge vizur libaki hapo hapo,ila ajabu ni kwanini hawakuweka utambulisho wa aliekuwemo
 
JE NI NANI HUYU ASIYEKUWA NA JINA?

Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya Clock Tower posta dar es salaam

Ni karibu mita 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam. Ipo bustani ya muda sana na inafikiriwa ipo hapo kama miaka 220 iliopita.

Kwanini kaburi hili liko peke yake tena katikati mwa jiji?

JE NI NANI HUYU?View attachment 2710939
Nalipitaga sn hpo ila sijuagi kuwa ni kaburi aisee
 
Back
Top Bottom