ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,040
Poa ndugu, nimekucheki. Sasa, ukilielewa kindakindaki hilo swali; utaweza kwenda sambamba na hoja za hapa. Ila usijibu kirahisi, liwazie hilo swali ktk nyanja zote? Mfano, ungejenga daraja pasipo na mto wala maporomoko, kivuko nk. Jibu hiyo kazi, kisayansi, kijiografia, kiuchumi, kijamii, kisiasa, kiukweli, na kivyovyote vile. Jibu.Kwanini useme Gari sio maendeleo? Kwani ukiugua ghafla utapelekwa hospitali kilomita 100 kwa punda??
-Maendeleo ni wazi kabisa kuweza kuwa na Barabara nzuri kila pande na Miundombinu mizuri.
-Viwanda vizuri vya uzalishaji wa bidhaa bora.
-Maendeleo ni uwezo wa mtoto kupata Elimu Bora.
-Maendeleo ni kua na hospitali nzuri na zenye vifaa vya kisasa kwa ajili ya Magonjwa Makubwa makubwa.
Kaka yako mengi sana katika suala la maendeleo.
Sasa nauliza Tena kati yetu sisi Waafrika na Nchi za Ulaya wapi kuna maedeleo zaidi?