Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Kwanini useme Gari sio maendeleo? Kwani ukiugua ghafla utapelekwa hospitali kilomita 100 kwa punda??

-Maendeleo ni wazi kabisa kuweza kuwa na Barabara nzuri kila pande na Miundombinu mizuri.
-Viwanda vizuri vya uzalishaji wa bidhaa bora.
-Maendeleo ni uwezo wa mtoto kupata Elimu Bora.
-Maendeleo ni kua na hospitali nzuri na zenye vifaa vya kisasa kwa ajili ya Magonjwa Makubwa makubwa.

Kaka yako mengi sana katika suala la maendeleo.

Sasa nauliza Tena kati yetu sisi Waafrika na Nchi za Ulaya wapi kuna maedeleo zaidi?
Poa ndugu, nimekucheki. Sasa, ukilielewa kindakindaki hilo swali; utaweza kwenda sambamba na hoja za hapa. Ila usijibu kirahisi, liwazie hilo swali ktk nyanja zote? Mfano, ungejenga daraja pasipo na mto wala maporomoko, kivuko nk. Jibu hiyo kazi, kisayansi, kijiografia, kiuchumi, kijamii, kisiasa, kiukweli, na kivyovyote vile. Jibu.
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
kumbe Yesu alikuaa msukuma kwa asili? Ngwadila
 
Bahati mbaya wewe sio Chige, nashindwa nikujibuje. Natamani nijue Age taaluma na kiwango cha elimu, lakini sio fair. Basi endelea kunifatilia mkuu. Najua unahtaji kuelimika. Kweli itakutoa utumwani na itakupa maarifa, pamoja mkuu. Quiz, kama kusingekuwa na magonjwa hospital zingejengwa?
Yaani nilitegemea utapinga hizo point! Kumbe dawa imeanza kukuingia.
 
Yaani nilitegemea utapinga hizo point! Kumbe dawa imeanza kukuingia.
Dawa ipi hiyo ndugu?!?!? Wenzako tuliuachia ubongo ukawa huru toka vifungo tulolazimishwa kuvibeba tu vile tumezaliwa na wazazi hawa. Tukawa huru kuzitafuta kweli kokote, tumepitia mengi..... Na bado tunaendelea.. dawa ipi hiyo?

Ungejibu hilo swali ungepata concept yangu, najua umeshalijibu moyoni hivyo umeshaipata. Hongera, hautaniuliza tena kwanini Morogoro mjini halijengwi daraja kubwa kama la kigamboni.
 
Dawa ipi hiyo ndugu?!?!? Wenzako tuliuachia ubongo ukawa huru toka vifungo tulolazimishwa kuvibeba tu vile tumezaliwa na wazazi hawa. Tukawa huru kuzitafuta kweli kokote, tumepitia mengi..... Na bado tunaendelea.. dawa ipi hiyo?

Ungejibu hilo swali ungepata concept yangu, najua umeshalijibu moyoni hivyo umeshaipata. Hongera, hautaniuliza tena kwanini Morogoro mjini halijengwi daraja kubwa kama la kigamboni.
Katika yote niliyoyataja kama maendeleo umeona Daraja tu?
 
Katika yote niliyoyataja kama maendeleo umeona Daraja tu?
Nawe macho yako yamekuonesha daraja hapo, sasa mm hata sijataja neno daraja, we ndo umesoma hivyo tu. Tofauti zetu za kuelewa inaanzia hapo. Ukishaanza kuwa na uelewa utanifatilia.
 
Hao walikuwa na elimu kubwa sana ya kuhifadhi miili kwa muda mrefu, mtu akishakufa walikuwa wanamtoa internal organs zote (Figo, Moyo, Maini, utumbo, mapafu, bandama nk) ambazo mara nyingi huwa ni rahisi kuharibika, kisha wanaviweka kwenye vyungu maalumu, na mwili uliobakia bila viungo vya ndani, wanaupaka dawa ambazo zinauezo wa kutunza mwili pamoja na nywele na kisha wanauzunguzia sanda ana bandeji maalumu

Sio Mapharaoh tu ndio waliokuwa wamafanyiwa hivyo, bali hata watu maarufu, Baba yeke Yusuph/Joseph mzee Yakub/Jakob alifia Misri na alikaushwa kama hivyo na aliwekwa kwenye sanduku kama wanavyofanywa mMapharao na alipelekwa kuzikwa kwao
Je hao uliwataja miili yao ipo hadi Leo
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Waarabu huwaita wamisri Wajomba na mama wadogo kwani Mama yake Ishmael "Hajri" alikuwa mmisri yaan Mtu kutoka Afrika. Ndio maana Baada ya Hajri kufukuzwa na Mke mkubwa Sarah aliamua kurudi kwao misri lakini akiwa njian akarudishwa na Malaika, stori iishie hapo.

Ishamael pia alizaa watoto kumi na mbili tofauti na ndugu yake Isaka aliyechelewa kupata watoto na kupata watoto mapacha uzeeni(Yakobo ambaye ndiye Israel na Esau ambaye ndiye Baba wa Waedomu.

Waafrika ni race muhimu katika ulimwengu huu kwani ilianza zamani Sana kabla ya uwepo wa wazungu.

Ikumbukwe kuwa Waafrika ni kizazi cha pili cha Nuhu yaani watoto wa Hamu ambaye inasemekana alikuwa na ngozi nyeusi.
Hamu ndiye aliyewazaa kina Kanaani, Misri na Kushi n.k.

Kutokana na Laana aliyoitoa Nuhu kwa Hamu baada ya Hamu kumchungulia.
Kilembwe cha Nuhu yaan mjukuu wa Hamu aitwaye Nimrodi akajenga ufalme katika nchi ya Shinari, Ninawi na bonde la ashuri(nchi ya uzuri) kwa sasa ni Iran na Iraq. Akajaribu kuvunja ile laana ya Babu yake kwa kuwatumikisha watoto wa Shemu na Yafeth ambao ni ndugu zake Hamu aliyebabu yake.

Jambo lile lilipelekea watu kukimbia utawala wa Nimrodi. Walikimbia Magharibi ambayo kwa sasa ni Ulaya na Mashariki ambayo ni Nchi za China, Japani kwa aina zao.

Nimrod aliwaneemesha ukoo wake yaani watoto wa Hamu ambao ni Wamisri, Wakushi, wakanaani kwa jamii zao jambo lililoleta chuki kwa koo zilizokimbia ambazo ndio mataifa ya Leo yanayoichukia Afrika.

Historia ni ndefu Sana na yaliyofichwa ni mengi
 
Kama tunapinga na habari za farao zilizo katika quran tukufu Mimi naomba majibu ya maswali yafuatayo.
1 Kama mwili wake ulionekana miaka ya 1899,je mtume Mohammad(saw)alizifahamu vipi habari za farao?
2Ni kiashiria gani kilimjulisha kuwa kuna mtu ambaye ni faraho aliishi misri na mwili haujaharibika hadi wakati wake na pia mwili huo hautahalibika hata baada ya kufa kwake?
3Je tukiacha Quran ni kitabu gani ambacho kimeandika habari za faraho kuhusiana na kufa kwake na mwili kuhufadhiwa hadi Leo(weka link tusome).
4Wakati Quran inasema mwili wake hautahalibika hadi siku ya mwisho.mwandishi alijua kuwa hadi miaka hii ungekuwa haujaoza?.Naomba majibu ya maswali yangu
 
Waarabu huwaita wamisri Wajomba na mama wadogo kwani Mama yake Ishmael "Hajri" alikuwa mmisri yaan Mtu kutoka Afrika. Ndio maana Baada ya Hajri kufukuzwa na Mke mkubwa Sarah aliamua kurudi kwao misri lakini akiwa njian akarudishwa na Malaika, stori iishie hapo.

Ishamael pia alizaa watoto kumi na mbili tofauti na ndugu yake Isaka aliyechelewa kupata watoto na kupata watoto mapacha uzeeni(Yakobo ambaye ndiye Israel na Esau ambaye ndiye Baba wa Waedomu.

Waafrika ni race muhimu katika ulimwengu huu kwani ilianza zamani Sana kabla ya uwepo wa wazungu.

Ikumbukwe kuwa Waafrika ni kizazi cha pili cha Nuhu yaani watoto wa Hamu ambaye inasemekana alikuwa na ngozi nyeusi.
Hamu ndiye aliyewazaa kina Kanaani, Misri na Kushi n.k.

Kutokana na Laana aliyoitoa Nuhu kwa Hamu baada ya Hamu kumchungulia.
Kilembwe cha Nuhu yaan mjukuu wa Hamu aitwaye Nimrodi akajenga ufalme katika nchi ya Shinari, Ninawi na bonde la ashuri(nchi ya uzuri) kwa sasa ni Iran na Iraq. Akajaribu kuvunja ile laana ya Babu yake kwa kuwatumikisha watoto wa Shemu na Yafeth ambao ni ndugu zake Hamu aliyebabu yake.

Jambo lile lilipelekea watu kukimbia utawala wa Nimrodi. Walikimbia Magharibi ambayo kwa sasa ni Ulaya na Mashariki ambayo ni Nchi za China, Japani kwa aina zao.

Nimrod aliwaneemesha ukoo wake yaani watoto wa Hamu ambao ni Wamisri, Wakushi, wakanaani kwa jamii zao jambo lililoleta chuki kwa koo zilizokimbia ambazo ndio mataifa ya Leo yanayoichukia Afrika.

Historia ni ndefu Sana na yaliyofichwa ni mengi
Hii ni zaidi ya elimu mkuu.
 
Hii ni zaidi ya elimu mkuu.
Ni kweli mkuu.

Mambo ni mengi Sana.
Elimu yote duniani imeanzia Afrika.

Hapo zaman Misri ilikuwa ndio kitovu cha Mafundisho ya aina mbalimbali.

Nimrodi ndiye mtu wa Mwanzoni kuleta mabadiliko katika ulimwengu huu baada ya gharika.
 
Kama tunapinga na habari za farao zilizo katika quran tukufu Mimi naomba majibu ya maswali yafuatayo.
1 Kama mwili wake ulionekana miaka ya 1899,je mtume Mohammad(saw)alizifahamu vipi habari za farao?
2Ni kiashiria gani kilimjulisha kuwa kuna mtu ambaye ni faraho aliishi misri na mwili haujaharibika hadi wakati wake na pia mwili huo hautahalibika hata baada ya kufa kwake?
3Je tukiacha Quran ni kitabu gani ambacho kimeandika habari za faraho kuhusiana na kufa kwake na mwili kuhufadhiwa hadi Leo(weka link tusome).
4Wakati Quran inasema mwili wake hautahalibika hadi siku ya mwisho.mwandishi alijua kuwa hadi miaka hii ungekuwa haujaoza?.Naomba majibu ya maswali yangu
Mtume amezaliwa na kukuta elimu zote zipo, na hata ktk utawala wake ukristo na uyahudi ulikuwepo. Halafu si nguvu za kiungu tu ziwawezeshao wanadamu kujua yaliyo juu ya uwezo wao. Huku kuna kibibi kikipandisha mash......huwa kanaongea lugha zote za kigeni haswa kiarabu. Hajawahi pita skuli hata chembe.
Nilikuwa napita tu.
 
Mtume amezaliwa na kukuta elimu zote zipo, na hata ktk utawala wake ukristo na uyahudi ulikuwepo. Halafu si nguvu za kiungu tu ziwawezeshao wanadamu kujua yaliyo juu ya uwezo wao. Huku kuna kibibi kikipandisha mash......huwa kanaongea lugha zote za kigeni haswa kiarabu. Hajawahi pita skuli hata chembe.
Nilikuwa napita tu.
Sasa kama mtume alizaliwa akazikuta hizo elimu.ni kitabu gani kiliandika habari za faraho kabla ya Quran (ni mingi hadi mtume kazaliwa)
 
Ni kweli mkuu.

Mambo ni mengi Sana.
Elimu yote duniani imeanzia Afrika.

Hapo zaman Misri ilikuwa ndio kitovu cha Mafundisho ya aina mbalimbali.

Nimrodi ndiye mtu wa Mwanzoni kuleta mabadiliko katika ulimwengu huu baada ya gharika.
Wa dogon wenyewe wanakubali walitoka misri, hadi leo wako na dini zao, elimu zao na teknolojia zao za ujenzi kama misri ya kale,,, sijui hata wanaolipinga hili wanapingaje?
 
Kama tunapinga na habari za farao zilizo katika quran tukufu Mimi naomba majibu ya maswali yafuatayo.
1 Kama mwili wake ulionekana miaka ya 1899,je mtume Mohammad(saw)alizifahamu vipi habari za farao?
2Ni kiashiria gani kilimjulisha kuwa kuna mtu ambaye ni faraho aliishi misri na mwili haujaharibika hadi wakati wake na pia mwili huo hautahalibika hata baada ya kufa kwake?
3Je tukiacha Quran ni kitabu gani ambacho kimeandika habari za faraho kuhusiana na kufa kwake na mwili kuhufadhiwa hadi Leo(weka link tusome).
4Wakati Quran inasema mwili wake hautahalibika hadi siku ya mwisho.mwandishi alijua kuwa hadi miaka hii ungekuwa haujaoza?.Naomba majibu ya maswali yangu
Unajua historia lakini hata ya huyo Mtume Mkuu.
Isiwe ni wale wakuhadithiwa tuu bila kusoma mwwnyewe
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Wewe kweli tutusa loo
 
Sasa kama mtume alizaliwa akazikuta hizo elimu.ni kitabu gani kiliandika habari za faraho kabla ya Quran (ni mingi hadi mtume kazaliwa)
Vichwani mwa wamisri wenyewe habari hizo zilishawatoka au? Hata kisipokuwepo, fasihi na historia huifadhiwa hata kichwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom