mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,403
- 422,750
Kwa wewe mzungu una mwona wa maana sanaMazungu yana uhakika wewe
Kwa wewe mzungu una mwona wa maana sanaMazungu yana uhakika wewe
Hicho kifaa ulicho tumia kuandika hapa ni cha mazunguKwa wewe mzungu una mwona wa maana sana
Hao ndiyo walio jazwa ujinga wa hao watu wa pink!Kwa wewe mzungu una mwona wa maana sana
Hivi unajua ni kinani wako behind ya hizi technologies?Hicho kifaa ulicho tumia kuandika hapa ni cha mazungu
Yote hayo ni mazungu tu, ngozi nyeupe hizoHivi unajua ni kinani wako behind ya hizi technologies?
Hivi unajua bypass surgery imegunduliwa na mtu mweusi ambaye ni carpenter? Na hao watu wako unao wasujudu wakachukua credit kwa muda mrefu? Please google hivi vitu...usijidharau na kujichukia kiasi hicho!Yote hayo ni mazungu tu, ngozi nyeupe hizo
Sijichukii mkuu wala siwajuudu hao watu, kwenye ukweli tuseme. Wezetu wako mbali kuliko sisi, sisi tukiwepo ni mmoja mmoja tuHivi unajua bypass surgery imegunduliwa na mtu mweusi ambaye ni carpenter? Na hao watu wako unao wasujudu wakachukua credit kwa muda mrefu? Please google hivi vitu...usijidharau na kujichukia kiasi hicho!
Alafu sio watu wa pink tu, mbona kuna waasia, na jaribu kuelewa kuwa civilization imeanzia kwetu na inarudi tena kwetu! Hichi kitu ni kama wingu kubwa na linaakaa mahali kwa muda alafu linaondoka linakwenda kwingine!Sijichukii mkuu wala siwajuudu hao watu, kwenye ukweli tuseme. Wezetu wako mbali kuliko sisi, sisi tukiwepo ni mmoja mmoja tu
Sawa mkuuAlafu sio watu wa pink tu, mbona kuna waasia, na jaribu kuelewa kuwa civilization imeanzia kwetu na inarudi tena kwetu! Hichi kitu ni kama wingu kubwa na linaakaa mahali kwa muda alafu linaondoka linakwenda kwingine!
Kikubwa ni ku have faith in yourself! Kama wao wameweza kwa nini mimi nisiweze! Angalia kina Dangote wametoka wapi! Nuia jipe ujasiri, hakika hakuna kitu utakacho shindwa hapa duniani! Nakutakia maisha mema yaliyojaa ujasiri tele!
Hiyo ni imani na sisi hatuongelei imani na hatupo katika kubishana!Kwa hiyo unamanisha Biblia inaeleza uongo?.
AMUN RASawa mkuu
Good jobGoddess and Gods
Ancient Egypt ina Gods and Goddess zaidi ya 600Good job
Naona wako 6!
Indeed the power of number six!Ancient Egypt ina Gods and Goddess zaidi ya 600
AMUN RAView attachment 511270
Indeed the power of number six!
Maulana Mola wetu aturudishie utukufu wetu tuliokuwa nao tena atuzidishie Mali na vipawa milele nchi yangu Tanzania na vizazi vyetu watanzania tu sawa na ISAYA 60 inavyosema! Katika jina la Yahushua ha Mashaich...AMUN RA