IInternational Criminal Court - ICC, itakuwa bega kwa bega kufuatilia mauwaji ya watu, utekaji nyara na Shambulizi la Mhe. Lissu nchini Tanzania.

IInternational Criminal Court - ICCitakuwa bega kwa bega kufuatilia mauwaji ya watu na utekaji nyara nchini Tanzania.

Tunashukuru IInnocence Project kuunga mkono. Haki za binadamu zinaminywa sana. Mahakama za Afrika hazina Uhuru Wa kuhukumu

CCBS News
Jamani msameheni hadi huruma sasa atajielezaje? Manake hata kiswasukuma ni mihemko tu.Asamehewe jamani.
 
Screenshot_20190208-151218.png
 
Hata Uhuru Kenyatta hakujua kuwa atakuja kushitakiwa kwa mauaji ambayo binafsi hakuwahi kushika bunduki.
Tumeweka rekodi sawa, Sikh magufuli anapokea ripoti ya makinikia alitoa kauli, ya kuruhusu mauaji kwa wanopingana na Sera zake,

alisema mkiwa vitani akotokea msaliti, hufanywa nini?. Tafsri yake ni kuwa ruksa kufanya mauaji. Hiyo stament inamui implicate direct kwenye jinai
 
Back
Top Bottom