Jidulamabambase
Member
- Nov 28, 2010
- 31
- 5
Ni ajabu na kweli, watanzania wote wanauangalia uchaguzi wa Igunga kama uchaguzi wa kitaifa, kwa sasa watu wanaangalia TV ili kupata updates za igunga na ikitokea taarifa inakaribia kuisha watu wanatukana kuwa hawatendewi haki kutokupewa taarifa za Igunga. Maofisini ndio gumzo, vijiweni usiseme, majumbani ndio issue. cha zaidi wanapenda uwe huru na haki.