Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Sasa hivi wanakaribia kutangaza.
Kuna mgombea wa CCM tu.
Msimamizi wa uchaguzi amemtangaza rasmi Dr. Kafumu kuwa mshindi wa uchaguzi huu
WAPIGA KURA WALIOJIANDIKISHA WILAYA YA IGUNGA 171019
Waliopiga kura kw jimbo zima 56072 sawa 33%
MATOKEO:
- CCM KURA 26,484 sawa na 47%
- CHADEMA 23,260 sawa na 41%
- CUF 2,104 sawa na 4%
- AFP 282 sawa na 0.5%
- CHAUSTA 182 sawa na 0.3%
- SAU 83 sawa na 0.1%
- DP 76 sawa na 0.1%
- UPDP 63 sawa na 0.0%
Kuna mgombea wa CCM tu.
Msimamizi wa uchaguzi amemtangaza rasmi Dr. Kafumu kuwa mshindi wa uchaguzi huu
WAPIGA KURA WALIOJIANDIKISHA WILAYA YA IGUNGA 171019
Waliopiga kura kw jimbo zima 56072 sawa 33%
MATOKEO:
- CCM KURA 26,484 sawa na 47%
- CHADEMA 23,260 sawa na 41%
- CUF 2,104 sawa na 4%
- AFP 282 sawa na 0.5%
- CHAUSTA 182 sawa na 0.3%
- SAU 83 sawa na 0.1%
- DP 76 sawa na 0.1%
- UPDP 63 sawa na 0.0%