Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
644
JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu
 
Hiyo ndiyo ccm,asipofanya hivyo yatamkuta mabaya sana,siyo hiari yake!
 
mi naona huyo jamaa anacheza mchezo wa nipe nikupe. anafahamu asiposhiriki na ccm ikashindwa atabeba sehemu kubwa ya lawama, na usije kusahau kuwa huyu ni mtu ambaye anatuhumiwa katika ufisadi (hata kama mazingira hayamhusishi moja kwa moja) hivyo ni lazima apalilie shamba lake vizuri, maana chama kinaweza kumgeuka kwa kuyanyima tenda makampuni yake ambayo yamekuwa yakishinda tenda kutokana na ushawishi wa kisiasa, hii itakuwa pigo kwake kibiashara, au hata kuwafikisha mahakamani ndugu zake ambao kama alivyoripoti ndugu Msemakweli aliwabebesha jukumu la kusimmamia kampuni zake ( anajificha nyuma ya kivuli chao). hivyo hapa analinda masalhi yake kwa kuwa anjua bado ana nafasi ya kuendelea kuwakamua watanzania kwa kibali cha watawala, yaani ccm.
 
Kwa kweli inachekesha.... hivi watanzania tuna Serikali ya namna gani? mwenzenu kwa kweli sielewi, ni Serikali gani inayofanya mambo kwa maslahi ya kundi fulani na si Wananchi? Hivi Serikali zote duniani si za wananchi? Ila hapa kwetu inaonekana si hivyo... ajabu sana hii jamani.
 
ndio ccm hiyo hiyo ndio maana nape hatakiwi kule. kama wanaigunga watawapa ccm na rostam sie hatuna la kufanya ni wazi mchezo wa ccm wa kuwafanya watz wajinga utaendelea kufanikiwa na usishangae nape akaendelea kuwaponda mapacha watatu baada ya uchaguzi na watu wakaendelea kuamini ni vita ya kweli
 
mi naona huyo jamaa anacheza mchezo wa nipe nikupe. anafahamu asiposhiriki na ccm ikashindwa atabeba sehemu kubwa ya lawama, na usije kusahau kuwa huyu ni mtu ambaye anatuhumiwa katika ufisadi (hata kama mazingira hayamhusishi moja kwa moja) hivyo ni lazima apalilie shamba lake vizuri, maana chama kinaweza kumgeuka kwa kuyanyima tenda makampuni yake ambayo yamekuwa yakishinda tenda kutokana na ushawishi wa kisiasa, hii itakuwa pigo kwake kibiashara, au hata kuwafikisha mahakamani ndugu zake ambao kama alivyoripoti ndugu Msemakweli aliwabebesha jukumu la kusimmamia kampuni zake ( anajificha nyuma ya kivuli chao). hivyo hapa analinda masalhi yake kwa kuwa anjua bado ana nafasi ya kuendelea kuwakamua watanzania kwa kibali cha watawala, yaani ccm.

Hapa mkuu umesema kweli kabisa. Kwa kuongezea ni kwamba hii inaonyesha jinsi chama cha magamba kilivyochanganyikiwa. Huku wanataka kuvuana magamba na kutupiana shutuma za ufisadi wakati huo huo wananyanyuana mikono kuwa wale wale ni wasafi. Kumbuka ya basil mramba, chenge na sasa lost arm. Ngoja tuone baada ya uchaguzi huo mdogo kitaendelea nini kati ya lost arm na chama chake cha magamba. Ni vituko
 
Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.
 
Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.
Haukumwona siku ile CCM wanazindua kampeni? Rostam ndie mwenye Igunga angalau kwa sasa.
 
Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.
nafikiri mwenzetu kama unaangalia tv huwa unaangalia nyuma ya screen yupo tangu mkapa anafungua kampeni siku ya jmosi ya ajali kubwa ya meli ya spice nini sijui
 
JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu

By having these kind of leaders in the system and this party,CCM to lead us for sure our dream to reach Tanzania which produce honey and milk will remain to be something difficult to achieve.It is amazing that,someone who before condemn the whole system of chama cha magamba currently is a pioneer to say CCM is a good party.Huu ndio unafiki ambao watanzania siku zote we use to complain.But,this mark the beginning of an end of CCM and it leaders...I don't think if Tanzanian will remain to be quite and to leave this type of ruling to continue....One day they will take actions...
 
Kaambiwa asiposaidia kampeni watampelekea TRA ichunguze jinsi CASPIAN inavyolipia mapato kutokana na mikataba yake ndani ya Mgodi wa Buzwagi Kahama ,ambako Rostam analipwa mabillioni kila mwezi kutokana na tender zake kedekede kwa Barrick mgodini umo lakini from reliable source analipa mapato sio kulingana na sheria za mapato bali anavyojisikia,anajipimia hela ya kulipa TRA na always ni kiduchu
 
These people are demon possesed,achana nao, utasumbua akili yako bure.
JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu
 
nafikiri mwenzetu kama unaangalia tv huwa unaangalia nyuma ya screen yupo tangu mkapa anafungua kampeni siku ya jmosi ya ajali kubwa ya meli ya spice nini sijui
<br />
<br />
Nashukuru kwa taarifa,sikupata kuuangalia mkutano wa ufunguzi,pia sina acces sana na tv,mara nyingi news nazipata humu na kusoma magazet.Je RA alizungumza siku hiyo?Ama kweli magamba hamnazo.
 
JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.<br />
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.<br />
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.<br />
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.<br />
<span style="font-family: &amp;quot">Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu </span>
<br />
<br />
WACHA ALE MATAPISHI YAKE MWENYEWE! IGUNGA LAZIMA WAPINZANI WACHUKUE. KWANZA SI ALISEMA SIASA ZA TANZANIA NI UCHWARA NA MAJI TAKA? SASA LINI WAMEKUA NA SIASA NZURI! MAJITU MENGINE HOVYO TU!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom