sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu
Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu