Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wakuu: Mnaona jinsi CCM wanatumia ufisadi na mafisadi kama mtaji wa kisiasa? Nani kasema Rostam Azizi ameachana na kampeni za hapo Igunga? Yumo hadi shingoni.
Zile helikopta mbili za CCM ni yeye ndo alizileta na kuzigharamia. Halafu alijidai anaachana na siasa uchwara! Thubutu! Tatizo ni kwamba ukishakuwa fisadi ndani ya CCM katika nchi hii, basi unakuwa mtumwa tu, utafanya kila kazi unayoambiwa bila kuuliza. lau sivyo........
Zile helikopta mbili za CCM ni yeye ndo alizileta na kuzigharamia. Halafu alijidai anaachana na siasa uchwara! Thubutu! Tatizo ni kwamba ukishakuwa fisadi ndani ya CCM katika nchi hii, basi unakuwa mtumwa tu, utafanya kila kazi unayoambiwa bila kuuliza. lau sivyo........