mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 944
- 2,191
Hizi kauli mbona huwa hatuzisikii wakati wa kampeni!!!!
Jiwe kwenye ubora wake. Nyeusi anaita nyeusi.
Inaonekana Tanzania watu ni wavivu sana,kuna kazi ila hawataki kufanya.Nilishasema hapa huyu jamaa siyo mwanasiasa kabisa na ukienda na kiki za kisiasa kwakwe mtapishana mapema tu na atakuumbua huyu Ni mtendaji, Mchapa kazi.. Anaeamni Katika kufanya kazi kuliko kitu kingine.
Guys let us work hard!! Ushauri Mzuri Sana wa Rais kwa watu wake.
Poa mkuu.Umenikumbusa mbali sanaaaaa
Hivi mnalisha familia ya nani asiyefanya kazi.Nilishasema hapa huyu jamaa siyo mwanasiasa kabisa na ukienda na kiki za kisiasa kwakwe mtapishana mapema tu na atakuumbua huyu Ni mtendaji, Mchapa kazi.. Anaeamni Katika kufanya kazi kuliko kitu kingine.
Guys let us work hard!! Ushauri Mzuri Sana wa Rais kwa watu wake.
Kulikuwa na hoja 2 , kuachia fedha na kutawala milele , umemsikia akizungumza kitu kuhusu kutawala milele ?Jiwe kwenye ubora wake. Nyeusi anaita nyeusi.
Mbona ameshazungumza mara nyingi tu kuhusu kutawala milele, hukuwahi kumsikia? Kashasema kwa kurudia rudia sana kuwa muda wake ukiisha atampisha mwingine. Yeye siyo Rais wa Maisha.Kulikuwa na hoja 2 , kuachia fedha na kutawala milele , umemsikia akizungumza kitu kuhusu kutawala milele ?