kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
hi all,
wakati mapokezi ya mbunge wa ccm igunga dr kafumu yakidorora yakifanyikia ndani ya kumbi za makao makuu ccm taifa pale dodoma (yasingeweza kufanyika katika open ground), aliyekuwa mgombea wa chadema kashidye ameendelea kuchinjiwa ngombe katika kata za igunga kama kumpongeza kwa kushinda uchaguzi ule.
wakazi wa igunga wanaendelea kumpongeza kashindye kwa kushinda uchaguzi na kwamba wao wanamtambua kama mbunge wao.
teyari hadi tunaenda mitamboni, ameishachinjiwa ng'ombe katika kata 12 za igunga...
naomba kuwakilisha!
wakati mapokezi ya mbunge wa ccm igunga dr kafumu yakidorora yakifanyikia ndani ya kumbi za makao makuu ccm taifa pale dodoma (yasingeweza kufanyika katika open ground), aliyekuwa mgombea wa chadema kashidye ameendelea kuchinjiwa ngombe katika kata za igunga kama kumpongeza kwa kushinda uchaguzi ule.
wakazi wa igunga wanaendelea kumpongeza kashindye kwa kushinda uchaguzi na kwamba wao wanamtambua kama mbunge wao.
teyari hadi tunaenda mitamboni, ameishachinjiwa ng'ombe katika kata 12 za igunga...
naomba kuwakilisha!