Igunga: Mfuasi wa CUF kavamiwa na wafuasi wa CCM kapewa kipigo yupo hoi Hospitali

tbc 1 wameelezea kuwa msafara wa shigela kiongozi wa uvccm wamemshambulia kiongozi wa kata cuf huko igunga kwa kupandisha bendera na yuko hospitali ila kanyimwa matibabu. Jee ndoa ya ccm na cuf imevunjika au huu ni ugomvi wa ndani ya familia?

utakuwa ugomvi wa kifamilia, tusiwaingilie
 
Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu.

Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu.

SOURCE: TBC HABARI

Hiyo ni dalili kwamba hali ni mbaya sana kiasi kwamba hata mshirika wao hawamuamini tena. Magamba wamechanganyikiwa sasa wanajaribu kufanya lolote wanaloona linaweza kufanyika ili kujitafutia huruma ya wana igunga.

Huko tunakoelekea tusishangae ccm kutega na kulipua mabomu hata kuua watu na wakasingizia chadema. Inabidi wana igunga pamoja na watanzania kwa ujumla tuwe makini sana hawa ccm wanaweza kuilipua nchi kwa uroho wa madaraka.
 
ambacho hajui shigela ni kuwa uchaguzi ukiisha wao wataondoka, wanakiherehere wa magamba watashughulikiwa individualy, watajuta kupewa vikofia, watajuta kutupa nazi kwa hadaa ya embe!! Mimi naenda zambiaaaaaaa!! Ambako watu hawaogopi kushindwa.

bravo zambia
 
Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu.

Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu.

SOURCE: TBC HABARI
Yuko wapi mzee wa Inteligensia mpaka yote haya yanatokea au inteligensia ipo kwenye maandamano tu?
 
Hii culture ya kutumia mabavu kila mahali huku kwetu itatuondoka lini? Ni lini tuliacha ile desturi ya kiTanzania ya kujadiliana na kuheshimiana na tukaingia kwenye mambo ya kutishiana na kupigana ngumi? Ni lini ustaarabu utaturudia tuelewe kuwa waliotutangulia waliweza kuishi kwa amani hata kama hawakukubaliana kwenye mambo mengi ya msingi? Siku hizi kwetu kumekuwa kama msituni ambapo kama hukubaliani na la mwenzako unataka umwondoe kwa mabavu. Halafu ubaya wake ni kwamba ubabe mwingi unaongozwa na vijana wetu (taifa letu la kesho) na sisi tunakaa kimya na kuangalia tu kwa sababu ubabe huo unatusaidia sisi. Let’s get back to civilization, we can disagree on a lot of things but still respect each other enough to live side by side.


Baba amani tuliyonayo imekwisha zeeka siku nyingi na sasa tunasubiri kifo cha mzee AMANI wetu wa Tz kinachotarajiwa hivi karibuni na matanga yatakuwa 2015, Wafiwa watarajiwa na ndugu wote poleni sana
 
According to Mwananchi newspaper, aliyepigwa na kujeruhiwa na vijana wa ccm Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa chama CUF kutoka katika kijiji cha Iyogelo Tarafa ya Igurubi mjini hapa Ndugu Salum Masanja (55).Hapo kwenye red, ningependa kuamini kuwa huyu muathirika ni muumini wa dini ya kiislam hivyo basi nategemea BAKWATA na BASUTA watatoa kauli kali ya kuitaka ccm iombe radhi. Ndugu Salum alipigwa vibaya na kupeteza fahamu walau kwa saa nzima na hata pale alipopelekwa hospitali hakupata matibabu mara moja! BAKWATA na BASUTA mungu hajaribiwi wala mungu hasitiri wanafiki, mliijiingiza kwenye siasa uchwara za hijabu sasa itabidi mtoe kauli kali vinginevyo tuhuma za muda mrefu kwamba jumuiya hii ya BAKWATA ni tawi la ccm itasimama! Za mwizi arobaini.
 
Hii culture ya kutumia mabavu kila mahali huku kwetu itatuondoka lini? Ni lini tuliacha ile desturi ya kiTanzania ya kujadiliana na kuheshimiana na tukaingia kwenye mambo ya kutishiana na kupigana ngumi? Ni lini ustaarabu utaturudia tuelewe kuwa waliotutangulia waliweza kuishi kwa amani hata kama hawakukubaliana kwenye mambo mengi ya msingi? Siku hizi kwetu kumekuwa kama msituni ambapo kama hukubaliani na la mwenzako unataka umwondoe kwa mabavu. Halafu ubaya wake ni kwamba ubabe mwingi unaongozwa na vijana wetu (taifa letu la kesho) na sisi tunakaa kimya na kuangalia tu kwa sababu ubabe huo unatusaidia sisi. Let’s get back to civilization, we can disagree on a lot of things but still respect each other enough to live side by side.

Hii culture ya kutumia mabavu ilianzishwa na wakoloni weupe ikarithiwa na wakoloni weusi waliotutapeli kuwa wameleta uhuru kumbe wameingia kuvaa viatu vya mabwana wao waliorudi ulaya. Ndio maana tuna vikosi vya kupiga watu na kuwanyamazisha kila wanapodai haki vinavyodaiwa na hawa wakoloni weusi kuwa vinalenga kutuliza ghasia.

Hatujawahi kuwa na desturi ya kujadiliana na kukubaliana nchi hii. Desturi iliyokuwepo ni ya wakoloni weupe na baadaye weusi kuamua mambo Dar es salaam na kuyaleta kwa wananchi ambao walifundishwa kusema ndiyo mzee hata kama hawakukubaliana na kile kilichoamuliwa na wakoloni hao. Waliokuwa wakijaribu kuhoji walipigwa, kufungwa na ama kuwekwa kizuizini ambapo walisahaulika. Wachache walikimbia nchi baada ya kukoswa koswa kumamatwa na wakoloni weusi.

Sielewi una maana gani unaposema "ustaarabu". Mimi ninavyoelewa mstaarabu ni yule anayefuata mambo ya kiarabu na kumbuka waarabu walikuwa wakoloni nchi hii kwa miaka mingi. Hivyo wale ambao walionekana kuwaiga maisha na utamaduni wa kiarabu waliitwa wastaarabu ili kuwatenga na wale walioonekana kutokukubaliana na uarabu. Waarabu waliacha utamaduni wa mabwana/mamwinyi na watwana ambao unaendelezwa na hawa wakoloni weusi mpaka leo. Hakuna cha kujivunia kuitwa mstaarabu.

Vijana wameshagundua kuwa huu ukondoo wetu unaoitwa "ustaarabu"ndio uliotufikisha hapa tulipo na wao wameamua kubadilika. Tarajia mabavu zaidi toka kwa vijana ikiwa hawa wakoloni weusi wa Tanzania wataendelea kutumia mbinu zilezile za kikoloni kuwanyamazisha na kuwatiisha watu.
 
According to Mwananchi newspaper, aliyepigwa na kujeruhiwa na vijana wa ccm Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa chama CUF kutoka katika kijiji cha Iyogelo Tarafa ya Igurubi mjini hapa Ndugu Salum Masanja (55).Hapo kwenye red, ningependa kuamini kuwa huyu muathirika ni muumini wa dini ya kiislam hivyo basi nategemea BAKWATA na BASUTA watatoa kauli kali ya kuitaka ccm iombe radhi. Ndugu Salum alipigwa vibaya na kupeteza fahamu walau kwa saa nzima na hata pale alipopelekwa hospitali hakupata matibabu mara moja! BAKWATA na BASUTA mungu hajaribiwi wala mungu hasitiri wanafiki, mliijiingiza kwenye siasa uchwara za hijabu sasa itabidi mtoe kauli kali vinginevyo tuhuma za muda mrefu kwamba jumuiya hii ya BAKWATA ni tawi la ccm itasimama! Za mwizi arobaini.

Mkuu FJM usitegemee usitegemee tamko hapo kwani alipaye mpiga zumari huchagua wimbo gani apigiwe sasa hapo ccm ni milipaji na mpiga zumari ni hao unaotaka watoe tamko.
 
According to Mwananchi newspaper, aliyepigwa na kujeruhiwa na vijana wa ccm Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa chama CUF kutoka katika kijiji cha Iyogelo Tarafa ya Igurubi mjini hapa Ndugu Salum Masanja (55).Hapo kwenye red, ningependa kuamini kuwa huyu muathirika ni muumini wa dini ya kiislam hivyo basi nategemea BAKWATA na BASUTA watatoa kauli kali ya kuitaka ccm iombe radhi. Ndugu Salum alipigwa vibaya na kupeteza fahamu walau kwa saa nzima na hata pale alipopelekwa hospitali hakupata matibabu mara moja! BAKWATA na BASUTA mungu hajaribiwi wala mungu hasitiri wanafiki, mliijiingiza kwenye siasa uchwara za hijabu sasa itabidi mtoe kauli kali vinginevyo tuhuma za muda mrefu kwamba jumuiya hii ya BAKWATA ni tawi la ccm itasimama! Za mwizi arobaini.

Nadhani hujaelewa maana ya bakwata kutoa tamko lile.kama yule DC angepigwa tu bila kuvuliwa hijabu na stara yake basi wasingetoa tamko.lililokera ni kumvua hijabu muislam na si kumpiga muislam.mbona hujajiuliza waislamu wangapi wanapigwa kila siku na hawatoi matamko! Kaa chini tafakari kabla kusema na kuandika.
 
Huo ni ugonvi wa mme na mke hata balozi wa nyumba kumi haruhusiwi kusuruhisha, kaeni mbali jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom