Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia shigela alikuwa na bastola, na akamwambia yule bwana wa cuf kuwa atamvunja miguu....kumbe kamvunja kweli?
Hawa jamaa wamezidi kwa vurugu
tulia. mstahamilivu hula mbivu
usishangae mashtaka yakabailika na kuwa:Nasikia shigela alikuwa na bastola, na akamwambia yule bwana wa cuf kuwa atamvunja miguu....kumbe kamvunja kweli?
Hawa jamaa wamezidi kwa vurugu
Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu.
Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu.
SOURCE: TBC HABARI
Hapo hakuna neno. Ccm A kumtwanga ccm B ni sawa na mwanamme kutembeza mkong'oto kwa mke wake! Tusiyaingilie sana, hayo ni mambo ya unyumba! Yataisha tu!Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu. Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu. SOURCE: TBC HABARI
Vurugu za aina zote zilaaniwe
BAKWATA hawajatoa tamko tu....
nashangaa, wakati kobazi na barakashea vimedhalilishwa, mi siwaelewi bakwata, mtu avuliwa barakashea, inakanyagwa kanyagwa kwa viatu, aaa! bakwata vipiiiii, mpaka sasa haijulikani kobazi zilipo, basuta isomeeni ccm ile duwa ile inaitwa, inaitwa, inaitwa, inaitwaje vile!!
dugu gobana we bita mbali
nashangaa, wakati kobazi na barakashea vimedhalilishwa, mi siwaelewi bakwata, mtu avuliwa barakashea, inakanyagwa kanyagwa kwa viatu, aaa! bakwata vipiiiii, mpaka sasa haijulikani kobazi zilipo, basuta isomeeni ccm ile duwa ile inaitwa, inaitwa, inaitwa, inaitwaje vile!!