Igunga: Mfuasi wa CUF kavamiwa na wafuasi wa CCM kapewa kipigo yupo hoi Hospitali

Jitihada za panya kula paka hizi!
Shigela wa ccm amemtwanga mangumi na mitama ya rashasha mtatiro wa cuf.
Sosi: tbc
kwani TBC HAIDANGANYI? mimi siliamini habarileo na hata TBC. kwani tangu yule mtoto alietaka kupiga bomu la maji pale ubalozi wa marekani. halafu HABARAILEO likaingiza propaganda yake. kwa hivyo hata TBC inaweza kudanganya
 
Hawa CCM wanafikiri Tanzania ni mali yao, chama kimepoteza heshima ya zamani ile ya kina Mzee Nauye leo kimekuwa chama cha vurugu.
 

Mkuu naona umeanza tena ile tabia yako ya umagamba,siku chache zilizopita ulikuja na post zenye matumaini hapa JF tukadhani akili zako zimepigwa flash!! sasa leo umekuja na uharo hapa...ACHA KUDANGANYA UMMA,HABARI INASEMA SHIGELA NA WATU WAKE NDIO WAMEMFANYIA VURUGU KIONGOZI WA CUF,na huyu Shigela kupitia TBC1 NEWS BULLETIN ameojiwa na kutoa kauli kuwa si yeye wala timu yake wanaohusika na tukio hilo...sasa unapokuja na siasa majitaka na uharo hapa hatukuelewi kabisa mkuu,kajipange vizuri nadhani una matatizo ya ugonjwa wa uzushi...
Mkuu ww ndio hujamwelewa huyu Malaria Magamba Sugu, Yaani haamini mtu waliyefunga naye ndoa anaweza kuwafanyia fujo ndio maana anawahi kusema ni CDM, maskini hajui..kikulacho ki nguoni mwako!
 
Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu.

Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu.

SOURCE: TBC HABARI

huo ni ugomvi wa mume na mke hatuingilii
 
Nyie siku hizi mnatembea na bastola. Duh!

lakini kwa nini shigela amemkata mitama huyo mshkaji wa cuf? Huu ni uhuni, kwa vile mnatembea na bastola basi mnapiga watu hovyo hovyo.
hahahhah. Naogopa kumwagiwa tindikali? Au hutakuja na chupa hiyo?
 
Jf ingejaa waleta mada wa hivi nadhani tungechagua kucheza bao kuliko kuperuzi...are you informing or may be you are just seeking to gather the news from Jf?
 
Matukio ya Igunga yanatosha kuandaa movie. Kila siku kuna tukio jipya la kusikitisha.
 
ni yale makomando ya chadema yaliyotoka Afghanistan na Libya baada kushindwa vita huko na majeshi ya waasi sasa yapo CDM.
 
Chama cha wahuni kile cha Makomandooo, wana preach wasichokiamini hata kidogo
 
naomba kwa aliesikiliza taarifa ya habari kati ya tbc na radio one..eti wamesema mkutano wa bakwata umevunjika huko igunga huku viongozi hao wa dini wakirushiana maneno makali..nimeiweka hapa maana sina uhakika nayo
 
Police hapo hawajui kama kuna sheria ya kuwafikisha hao vijana wa ccm mahakamani kwa sababu ni wa ccm ingekua cdm hata jumuia ya waislam washalaani
 
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime na wakipatana chukua kapu ukavune.
 
Hawa CCM wanafikiri Tanzania ni mali yao, chama kimepoteza heshima ya zamani ile ya kina Mzee Nauye leo kimekuwa chama cha vurugu.

ahadi za Nape zimeanza kutekelezwa. Vijana wao wameanza kazi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom