Mfuasi mmoja wa chama cha siasa( CUF), kavamiwa na vijana waliotambulika ni wa CCM na kumpa kipigo mpaka akapoteza fahamu.
Mfuasi huyo wa CUF alikutwa akipandisha bendera ya chama cha CUF nyumbani kwake, vijana wa CCM walimvamia na kumpa kipigo majeruhi huyo kalazwa hospitali, inasemekana kavunjika mbavu.
SOURCE: TBC HABARI