Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Ngoja niende kituo cha polisi nikatukane halafu tarehe 4.10 nitawaomba msamaha...
Mkuu hawatakuachia siyo uende kuwatuna hata. Nenda uwaambie utendaji wao uko chini na wanapendelea Magamba.
Ngoja niende kituo cha polisi nikatukane halafu tarehe 4.10 nitawaomba msamaha...
Ngoja niende kituo cha polisi nikatukane halafu tarehe 4.10 nitawaomba msamaha...
Morogoro school of Journalism, leadership training institute of America, hivi vyuo mbona ndio kwanza navisikia, hizi si ndio zile qualifications za Msemakweli za mafisadi wa elimu! hizi CV nyingine ni heri uache blank kuliko kujidhalilisha na CV uchwara kama hizi
kumbe hata ukiua siku hiz ukiomba msamaha police wanakusamehee dah!
double standard ndio game ya jeshi letu la polisi............ huyu kwa kuomba msamaha tu tayari kakiri kosa na adhabu zipo vitabuni
sijui jeshi linataka liheshimike vipi zaidi ya kumfunga huyu dubu
Hichi kiperete kinaongozwa na ile kitu yake na ndo imemfikisha hapo alipo. Muda wake utawadia wenge litamuisha.Wakuu,
Mbunge wa ccm Estha Bulaya amewaangukia polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa aliwatukana askari wa jeshi hilo, siku ya tukio la kurushiana risasi lililohusisha vyama vya ccm na Chadema. Hayo yalisemwa jana na mkuu wa kitengo cha Tathamini na ufuataliaji wa jeshi hilo Ndugu Isaya Mngulu.
Gazeti la Nipashe, linapasha zaidi kuwa, Mngulu hakutaja matusi hayo, lakini alisema, siku moja baada ya tukio hilo mbunge huyo alienda ktk kituo hicho cha polisi na kuwaomba radhi.
My take,
Huyu Mh Mbunge wa ccm, amejutia makosa yake au ameagizwa kufunika kikombe ili mwanaharamu apite oct 2, 2011?