Elections 2010 Igunga: Mbunge Esther Bulaya [CCM] awaomba radhi polisi

Wakuu, Mbunge wa ccm Estha Bulaya amewaangukia polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa aliwatukana askari wa jeshi hilo, siku ya tukio la kurushiana risasi lililohusisha vyama vya ccm na Chadema. Hayo yalisemwa jana na mkuu wa kitengo cha Tathamini na ufuataliaji wa jeshi hilo Ndugu Isaya Mngulu.Gazeti la Nipashe, linapasha zaidi kuwa, Mngulu hakutaja matusi hayo, lakini alisema, siku moja baada ya tukio hilo mbunge huyo alienda ktk kituo hicho cha polisi na kuwaomba radhi
Sasa kama huyu muomba miongozo bungeni ame confess kwamba alifanya uhalifu kwa kuwatukana Polisi, kwanini hiyo confession yake isutumike kama ushahidi wa kumfikisha mahakamani? Ni lini polisi wamepewa uwezo wa kisheria wa kusamehe wahalifu? Hivi hawa Polisi wanasoma sheria sawa na ambazo watanzania wengine tunasoma? Polisi nyinyi sio mahakama mfikisheni huyo mhalifu Bulaya mahakamni sheria ichukue mkondo wake.
 
Wakuu,
Mbunge wa ccm Estha Bulaya amewaangukia polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa aliwatukana askari wa jeshi hilo, siku ya tukio la kurushiana risasi lililohusisha vyama vya ccm na Chadema. Hayo yalisemwa jana na mkuu wa kitengo cha Tathamini na ufuataliaji wa jeshi hilo Ndugu Isaya Mngulu.
Gazeti la Nipashe, linapasha zaidi kuwa, Mngulu hakutaja matusi hayo, lakini alisema, siku moja baada ya tukio hilo mbunge huyo alienda ktk kituo hicho cha polisi na kuwaomba radhi.

My take,
Huyu Mh Mbunge wa ccm, amejutia makosa yake au ameagizwa kufunika kikombe ili mwanaharamu apite oct 2, 2011?

Huyo mbunge ameshitakiwa kweli kwa kuwatukana/kuwadhalilisha polisi? ama imekuwa ni mambo binafsi kama yule OCD wa maswa aliyekatwa mtama na kisena.
 
Sasa kama huyu muomba miongozo bungeni ame confess kwamba alifanya uhalifu kwa kuwatukana Polisi, kwanini hiyo confession yake isutumike kama ushahidi wa kumfikisha mahakamani? Ni lini polisi wamepewa uwezo wa kisheria wa kusamehe wahalifu? Hivi hawa Polisi wanasoma sheria sawa na ambazo watanzania wengine tunasoma? Polisi nyinyi sio mahakama mfikisheni huyo mhalifu Bulaya mahakamni sheria ichukue mkondo wake.

Mimi nimeanza kuamini kwamba askari polisi wengi ni failures,

Wengi wao ni wale waliofeli kidato cha nne na cha sita wakaamua kujiunga na polisi kama njia pekee ya kujinusuru kiajira, kwahiyo hata kama watafundishwa sheria kiasi gani bado utekelezaji wao ni wa hovyo. Wanajiona kama vile kuajiriwa polisi ilikuwa favor kwao na si haki yao wanaishia kutumiwa na kutumika vibaya.

Kwa mtu ambae anajiamini kwamba alistahili kuajiriwa polisi kwa vigezo na anatambua wajibu wake hawezi kufanya mambo ya ajabu kama haya wanayofanya polisi wa tanzania. Ni aibu kwa watu ambao ni law enforcers kushindwa kuzifahamu na kuzitafsiri sheria.
 
Polisi wenyewe mafalla, mtawalaumu bure, huko mosh wanafundishwa kuitii ccm na ushoga tu basi.
 
Mbona Polisi wenyewe walikuwa hawajasema kama walitukanwa? Maana hawakuonyesha kumfuatilia huyo Mhe.
 
Kumbe ndio maana alitukana polisi!

untitled.JPG
 
Hapa nimepitwa kidogo, kwani huyu mbunge alifanya kosa gani mpaka akaenda polisi kuomba msamaha?
 
Hapa nimepitwa kidogo, kwani huyu mbunge alifanya kosa gani mpaka akaenda polisi kuomba msamaha?

Alikusanya kikundi cha wahuni wa CCM na kwenda kuvamia viongozi wa Chadema hotelini kwao na kutaka kuchoma moto magari ya Chadema kisha kupiga hewani risasi na baadaye kuzingizia kuwa Chadema walitaka kumteka.
 
Morogoro school of Journalism, leadership training institute of America, hivi vyuo mbona ndio kwanza navisikia, hizi si ndio zile qualifications za Msemakweli za mafisadi wa elimu! hizi CV nyingine ni heri uache blank kuliko kujidhalilisha na CV uchwara kama hizi
 
Back
Top Bottom