Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu tumeshawasikia watu wengi hasa wanaCCM wakidai Rostam amefanya mambo makubwa huko Igunga this include raisi JK, Mkapa, Mwigulu, Katibu mkuu wa CCM nk. Wamo pia in records akina Faiza Foxy, Ritz, Rejao, Nape kushuhudia makubwa hayo. I have challenged more than once humu JF kuhusu a substantiated list ya makubwa aliyofanya Rostam Igunga lakini so far kimya.
Sasa kama ilivyowahi kusemwa huko nyuma a picture speaks thousands of words: Zifuatazo ni baadhi tu ya picha za Igunga, tunawaomba sana mashabiki wa Rostam mtuletee picha za mambo makubwa yaliyofanywa na Rostam Igunga otherwise mkae kimya maana huo ni uongo.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Na kama kwenye makubwa ndiyo kuko namna hii basi kazi tunayo!!!!
Sasa kama ilivyowahi kusemwa huko nyuma a picture speaks thousands of words: Zifuatazo ni baadhi tu ya picha za Igunga, tunawaomba sana mashabiki wa Rostam mtuletee picha za mambo makubwa yaliyofanywa na Rostam Igunga otherwise mkae kimya maana huo ni uongo.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Na kama kwenye makubwa ndiyo kuko namna hii basi kazi tunayo!!!!