Igunga: List ya Vigogo wa CCM

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,169
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:

Vigogo

1. Mwigulu Nchemba

2. Samuel Malecela

3. Philip Mangula

4. Mashishanga

5. Mukama

6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)

7. Wasira

8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba

9. Magufuli

10. Asha Abdallah Juma ( member -CC)

11.


Wabunge:

1. Aeshi Hilali

2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama nimepatia surname)

3. Ester Bulaya.

4. Lusinde

5. Rage

6. January Makamba

7.

8.

9.
 
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:

Vigogo

1. Mwigulu Nchemba

2. Samuel Malecela

3. Philip Mangula

4. Mashishanga

5. Mukama

6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)

7. Wasira

8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba

9.rais mstaafu wa awam ya tatu benjamini william mkapa(pamoja na matatizo namkubali sana huyu mzee,kpnd chake maisha yalkuwa na ahueni hasa kwa wananch mackini na TUTAMKUMBUKA DAIMA

10.

Wabunge:

1. Aeshi Hilali

2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama n
 
Hii kitu haina mashiko, hata CDM jeshi lote liko kule. sioni ajabu chama chochote kinachowania jimbo kujaza watu wake kwa kampeni kadiri kinavoona.
 

Pumba bin Pumba.
Hao uliotajata ni viongozi wa chama au serikali.
Rudi shule ukafundishwa.
Unajua idadi ya viongozi wa CDM walio kule? taja pia kama hujamaliza list nzima ya viongozi wenu.
OTIS.

Tatizo la kuongozwa na ideology, sasa viongozi wa serikali kwa nini wanaipigia kampenni CCM??????? Hiyo unayoita shule nadhani wewe ndiye unaiihitaji zaidi. Usivyo na aibu unauliza eti idadi ya viongozi wa CDM anzisha thread yako kuhusu hiyo bwahaha ahaha ahahah!!!!!!
 
Hii kitu haina mashiko, hata CDM jeshi lote liko kule. sioni ajabu chama chochote kinachowania jimbo kujaza watu wake kwa kampeni kadiri kinavoona.

Mkuu sijasema ni vibaya hao viongozi wa CCM kuwa kule, ila nnachohitaji ni idadi yao kwa ajili ya makala nnayoiandaaaaaaa!
 
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:

Vigogo

1. Mwigulu Nchemba

2. Samuel Malecela

3. Philip Mangula

4. Mashishanga

5. Mukama

6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)

7. Wasira

8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba

9.

10.

Wabunge:

1. Aeshi Hilali

2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama nimepatia surname)

3. Ester Bulaya.

4. Lusinde

5. Rage

6.

7.

8.

9.



Anza kutaja viongozi wa cdm amabo wapo igunga wamejaa mpaka wanalala kwenye mitaro.
 

Pumba bin Pumba.
Hao uliotajata ni viongozi wa chama au serikali.
Rudi shule ukafundishwa.
Unajua idadi ya viongozi wa CDM walio kule? taja pia kama hujamaliza list nzima ya viongozi wenu.
OTIS.


tuweni na staha kwenye kujibu hoja, hii hoja kama ni pumba kwako kwa wengine si pumba, so haina haja ya kumrudisha mtu shule,

kwani wewe unayeandika kwa msuli waonyesha wahitaji shule pia, yeye ameiomba hii list ili atoe maoni yake fulani, na ameomba list ya CCM kama hujui aliyeenda au unajua na unaona ni pumba basi 'potezea'

life is simple if we keep it as such
 
Unaposema viongozi wa serikali,, then unataja Mashishanga, Mangula, Nchemba, Msekwa, ................etc, ndio maana watu hawakuelewi mkuu!
 
Ongeza viongozi wastaafu,hii ni dalili kuwa serikali si sikivu kwa wananchi ndio maana inabidi watumie nguvu ya ziada vinginevyo ingekuwa inatekeleza ahadi zake wapinzani ndio wangepaswa kufanya yanayofanywa na Ccm.Ongera upinzani kwa kuwafumbua macho wadanganyika
 
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:

Vigogo

1. Mwigulu Nchemba

2. Samuel Malecela

3. Philip Mangula

4. Mashishanga

5. Mukama

6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)

7. Wasira

8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba

9.

10.

Wabunge:

1. Aeshi Hilali

2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama nimepatia surname)

3. Ester Bulaya.

4. Lusinde

5. Rage

6.

7.

8.

9.

Hivi wakuu niulize na kupenda kujua sheria yetu inasemaje?
Ukisha kuwa waziri na kukatokea uchaguzi mdogo kama huu wa Igunga kwanini waziri kama waziri uje kwenye siasa za kampeni?? kwani wasije wabunge wakawaida ambao hawana cheo serikalini? au Wana chama wenye mvuto wa chama chenu kuwapigia kampeni?

Je sheria inaruhusu waziri kama mtendaji wa serikali kwenya kwenye kampeni?
 
Tatizo la kuongozwa na ideology, sasa viongozi wa serikali kwa nini wanaipigia kampenni CCM??????? Hiyo unayoita shule nadhani wewe ndiye unaiihitaji zaidi. Usivyo na aibu unauliza eti idadi ya viongozi wa CDM anzisha thread yako kuhusu hiyo bwahaha ahaha ahahah!!!!!!
Wewe ndio unaongozwa na ideology, umeambiwa taja viongozi wa serikali walio kwenye hiyo list unakurupuka tu. Na mbona wewe hujaanzisha thread yako kujibu hoja ya Nyambala.
 
wengi kati ya hao wametajwa kwenye ufisadi, lakini wao wapo tu ndo kusema wanapenda wenyewe au wanaburuzwa tu.
 
Nadhani hiyo list si ya viongozi wa serikali, ni viongozi wa chama.
Serikali=!chama.
 
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:

Vigogo

1. Mwigulu Nchemba

2. Samuel Malecela

3. Philip Mangula

4. Mashishanga

5. Mukama

6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)

7. Wasira

8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba

9.

10.

Wabunge:

1. Aeshi Hilali

2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama nimepatia surname)

3. Ester Bulaya.

4. Lusinde

5. Rage

6.

7.

8.

9.

Heee hapa viongozi wa serikali ni wangapi? Mimi nimewaona Wasira na Mfutakamba ambao ni wajumbe wa NEC - CCM na pia ni viongozi wa serikali. Naona hapo kuna viongozi wa CCM ambao hawana kofia mbili.
 
List hii inaonyesha baada ya CCM kuambiwa koti jipya halipendezi halina mvuto wanajaribu kuvaa koti la zamani (Mangula Malecela) ambalo limechakaa wakifikiri bado linang'ara.
 
Nimetoka Kinondoni mchana wa leo, nimekuta ofisi ya CDM makao makuu, imefungwa kibao kimeandikwa, viongozi wakuu wote wako Igunga, ukitaka kuonana na viongozi wa kitaifa hadi kuanzia Octoba 5, 2011
Mawazo ya wanaCCM wengi kama wewe wanafikiri kuongoza chama ni kukaa ofisini Lumumba na kutoa maagizo.
 
Kweli wewe ni THICK TANK; yaani lipipa lililojaa taka za kila aina kwa kuzingatia aina ya lugha uliotumia hapo juu. Wana-JF mtu kama huyu si wa kujadiliana naye jambo. Kaingi humu jana leo hii tayari ni mwenyeji anamwaga matusi na kutuondoa kwenye mada ya msingi.

Swala humu ni kwamba je ni sahihi viongozi wa CCM na serikali kurundikana Igunga huku wakitumia muda na raslmali nyinginezo za umma kufanyia kampeni za kisiasa mgombea wampendaye????

Sasa huyu mwenzetu sijui anageuka mwekundu usoni kwa sababu zipi hasa. MODS do the necessary here, nawashilisha hoja.

Wewe ndio unaongozwa na ideology, umeambiwa taja viongozi wa serikali walio kwenye hiyo list unakurupuka tu. Na mbona wewe hujaanzisha thread yako kujibu hoja ya Nyambala.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom