Kwa hapa mnatishia usalama ndiyo maana wanatumia mbinu mbadala za kijinga kwa kweli MWL. kaza butiiiii keleweke tu
MAANDAMANO YA KUMSIKIKIZA KASHINDYE KWENYE GARI LAKE WAKIWEMO KAMANDA SUSAN
KIWANGA NA KAMANDA KASAMBALYA. HAWA NI WANAKIJIJI WENYEWE NA SIYO WAKULETWA NA
MALORI KUTOKA MBALI.
Naomba muusamehe ujinga wangu!
Hivi hilo jimbo ni Igunga mjini au vijijini; au ni la mjini likichukua na baadhi ya vijiji? Siku zote mimi nafikiri RA alikuwa ni mbunge wa lgunga mjini!
Samahani tena!
MAANDAMANO YA KUMSIKIKIZA KASHINDYE KWENYE GARI LAKE WAKIWEMO KAMANDA SUSAN
KIWANGA NA KAMANDA KASAMBALYA. HAWA NI WANAKIJIJI WENYEWE NA SIYO WAKULETWA NA
MALORI KUTOKA MBALI.
Igunga ni kubwa ina igunga mjini na vijiji vyake 98, kata 26 na tarafa 3.
yaani huyo Dr Kafumu nadhani anajuta kwanini alikubali kusimama kugombea huo ubunge....