Gharama ya mabadiliko ya kidemokrasia na mendeleo ya kweli hugharamikiwa na Damu..Mungu ibariki Tanzania
Ujumbe wangu kwa vijana wa Tanzania ni kuwa njia pekee ya nzuri ya kubadilisha serikali yeyote ni njia ya kura na kama njia hiyo ikizibwa au kuwa
rigged na wahusika basi wahusika wanakuwa wamewapa option moja tu nayo ni Revolution tu otherwise it will be wasting of time.