Naloli
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 416
- 81
Hivi mtaji wa Cuf wa kura 11,000 ktk biashara ya uchaguzi Igunga, umeliwa, umekata au chuma ulete (ccm) wameubeba kiaina? maana Cuf walikuwa hawaishi maneno na majigambo ooh mtaji wa kura 11,000 naona umekata hadi 2000 duuu biashara ya uchaguzi bwana kweli biashara kichaa