kalokolaVIII
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 396
- 183
salamu WAKUU!
mimi sina uhakika kama "heli" waliyotumia CUF ilikuwa ni mali yao au hapana na ninafikiri kilichowanyima KURA si "heli YES - heli NO" na ugomvi huo kama kweli upo utakuwa una reflect their political incapability - i'll try to be clear and precise- I'll try!!
TATIZO LA CUF ni kile wanadiplomasia wa magharibi wakati fulani walikuwa wanakiita" ideological ambiguity" lakini siku hizi tunakiita "political whoring!!! there's no reason on earth you can serve 2 masters at a time - if you guys decide to be a "colonial partner" of CCM in one part of the isle you don't have to expect that people from the second part of the isle will consider u as credible CCM opposers - JUST FORGET ABOUT THAT!!! People didn't vote for you not for the helicopter issue - it's because you are no longer credible!!!!!!! Hilo ndilo tatizo kuu, yaani hata msingekuwa na heli au mngeikodi kwa pesa yenu, still watu wasingewachagua regardless how good your candidate was!!!
Nimesoma thread somewhere kwamba nafikiri naibu katibu wa CUF bara, somebody Mtatiro (samahani kama nimekosea jina) anadai kuwa CHADEMA wamejifunza mbinu chafu za CCM so nao wanahonga wapiga kura!! Kama hayo maneno yametoka kinywani kwake basi au alikuwa amelewa(which is not an excuse anyway!!) or the guy is an authentic imbecile!! I'm afraid the second option prevails...
You CUF guys, the only way of solving the "impasse" you have fallen in, is first of all decide what u wanna do in your adulthood,politically speaking you still seem to be so unprepaired at least in the mainland i.e do you want to stay in the opposition side for the rest of your life or you want to join force with others especially CHADEMA in giving a knock out jab to CCM??? In doing this you must(i mean M.U.S.T!!!!) realize that your choices and standings in Zanzibar will determine you credibility in Tanganyika - the 2 thing can't be separated!!! in any case kama mtachelewa kuamua, wapiga kura wenu wataamua kwa niaba yenu IGUNGA docet!
mimi sina uhakika kama "heli" waliyotumia CUF ilikuwa ni mali yao au hapana na ninafikiri kilichowanyima KURA si "heli YES - heli NO" na ugomvi huo kama kweli upo utakuwa una reflect their political incapability - i'll try to be clear and precise- I'll try!!
TATIZO LA CUF ni kile wanadiplomasia wa magharibi wakati fulani walikuwa wanakiita" ideological ambiguity" lakini siku hizi tunakiita "political whoring!!! there's no reason on earth you can serve 2 masters at a time - if you guys decide to be a "colonial partner" of CCM in one part of the isle you don't have to expect that people from the second part of the isle will consider u as credible CCM opposers - JUST FORGET ABOUT THAT!!! People didn't vote for you not for the helicopter issue - it's because you are no longer credible!!!!!!! Hilo ndilo tatizo kuu, yaani hata msingekuwa na heli au mngeikodi kwa pesa yenu, still watu wasingewachagua regardless how good your candidate was!!!
Nimesoma thread somewhere kwamba nafikiri naibu katibu wa CUF bara, somebody Mtatiro (samahani kama nimekosea jina) anadai kuwa CHADEMA wamejifunza mbinu chafu za CCM so nao wanahonga wapiga kura!! Kama hayo maneno yametoka kinywani kwake basi au alikuwa amelewa(which is not an excuse anyway!!) or the guy is an authentic imbecile!! I'm afraid the second option prevails...
You CUF guys, the only way of solving the "impasse" you have fallen in, is first of all decide what u wanna do in your adulthood,politically speaking you still seem to be so unprepaired at least in the mainland i.e do you want to stay in the opposition side for the rest of your life or you want to join force with others especially CHADEMA in giving a knock out jab to CCM??? In doing this you must(i mean M.U.S.T!!!!) realize that your choices and standings in Zanzibar will determine you credibility in Tanganyika - the 2 thing can't be separated!!! in any case kama mtachelewa kuamua, wapiga kura wenu wataamua kwa niaba yenu IGUNGA docet!